Prof. Kikwete aenda Marekani


MATIBABU.
Mawaziri wake hutibiwa INDIA. Yeye, tena Rais ambaye ni Profesa, lazima aende ambako madaktari wa India walikopatia ujuzi.
 
Siku hizi haitwi tena Dkt?

Halafu hilo dali hapo juu kwenye picha ya kwanza niaje?

Anaenda Marekani kufanya nini? Kuhudhuria tamasha la Jay Z, Beyonce, na Blue Ivy?


Anakwenda kwenye ziara binafsi.....


Pia ametupa nafasi tuwakaange vizuri mapapa Wa ESCROW

subiri tu soon utaona Sakata linafukuta na watu kuchinjiwa baharini.
 
Afadhali mheshimiwa JK umetuachia ukumbi Wa kucheza sakata la ESCROW

soon report itawekwa hadharani.
 
hahahahahah le profeser, ndo raha ya kutawala wajinga hiyo
 
Duh! Hapo anapoagana na mapolisi lazima patakuwa VIP terminal, ila hio ceiling board inatisha. Napata picha sasa JNIA iko vipi!
 
Anakwenda kwenye ziara binafsi.....


Pia ametupa nafasi tuwakaange vizuri mapapa Wa ESCROW

subiri tu soon utaona Sakata linafukuta na watu kuchinjiwa baharini.

Inavyoonekana mshikaji anaipenda sana US.

Hivi kwa mwaka huu keshaenda mara ngapi?
 
Daaaah…shikamoo Proffessor……………..!!!

Umepublish pembe zetu za ndovu..ukapata promotion..!!

Hongera sana mjomba niko chini ya miguu yako!

Kumbe jamaa kawa Profesa kwa juhudi zake binafsi? Hongera zake; awali nilifikiri alipewa tu kama zawadi!!

Halafu kazi aliyo-publish inakuwa cited kweli; kuanzia Aljazeera hadi BBC, watu wanaitumia kama reference.

Ikiendelea hivi, apewe na Nobel Peace Prize kabisa, kwani anastahili huyo Profesa.
 
Ameitwa na Obama.

Hv munaonaga sifa yeye kuitwa itwa na Obama,hakuna mambo ya msingi zaidi ndani ya Nchi yetu yanayompasa kutatua zaidi ya hizo safari............Dah Mungu anisaidie niwe baba mwenye kujua Shida za familia yangu na kuzitatua Bila kuomba msaada kwa wababa wengine.
 

Bohemian grove ilishapita tayari.Ngoja nidodose nini kinaendelea mwezi huu.
 
Mkuu,kwa nini unapenda kutafutia watu ban??. shenzy type kabisa!!

Kiukweli jamaa Nimesoma michango yake hata sijui huwa anafikiria nini,hata kama ni hizo buku saba ninazosikia lkn huyo jamaa kazidi kha!
 
Sikumbuki kwakweli.

Ila huwa anafuata matibabu pia.

Matibabu ya nini? Ebola?

Na hivi kuna nchi ambayo profesa hajawahi kufika kweli?

Sijawahi kusikia kaenda Pyongyang (North Korea) akiwa rais.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…