Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,147
- 4,207
Huyu Mzee anawajibika ipasavyo Kila akipata Fursa ya kuujulisha UMMA kiukweli anaitendea haki.
Kazi/projects zilizopo na zijazo zinatia moyo sana kwa future ya taifa na mataifa jirani.
Vp wakurugenzi wengine wangekuwa productive kama huyu Mzee naamini matatizo ya usafiri, mafuta, umeme kujishughulisha hasa kwa vijana.
Ila tujiulize kesho ya taifa ipo salama kwakiasi gan angalia vijana na kamari, vijana na bodaboda, vijana na energy drinks, vijana na uzembe.
Mwisho wakurugenzi wenye dhamana ya jamii tumieni muda na maarifa yanayotakiwa kwa kesho salama ya taifa hili.
Kazi/projects zilizopo na zijazo zinatia moyo sana kwa future ya taifa na mataifa jirani.
Vp wakurugenzi wengine wangekuwa productive kama huyu Mzee naamini matatizo ya usafiri, mafuta, umeme kujishughulisha hasa kwa vijana.
Ila tujiulize kesho ya taifa ipo salama kwakiasi gan angalia vijana na kamari, vijana na bodaboda, vijana na energy drinks, vijana na uzembe.
Mwisho wakurugenzi wenye dhamana ya jamii tumieni muda na maarifa yanayotakiwa kwa kesho salama ya taifa hili.