Prof. Ernest Wamba Dia Wamba

Prof. Ernest Wamba Dia Wamba

Mpitagwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2012
Posts
2,338
Reaction score
1,126
WanaJF,

Naomba update za huyu Professor, Binafsi ninamkubali sana huyu prof kwa uchambuzi wake wa historia na falsafa ya kiafrika. kwa muda mrefu sijamsikia wala kusoma machapisho yake mapya?

Naomba yeyote mwenye taarifa zake aniupdate? Yupo wapi kwa sasa na anafanya nini? Na kama kuna mwenye machapisho yake ya kuanzia 2005 na kuendelea nitafurahi sana akinisaidia jinsi ya kuyapata.
 
Huyu mtu ninavyojua alikuwa mmoja wa watu walioleta na wanaoendelea kuleta fujo kongo DRC.lkn nashindwa kukuelewa unamhitaji wa nini ?
 
WanaJF,Naomba update za huyu Professor, Binafsi ninamkubali sana huyu prof kwa uchambuzi wake wa historia na falsafa ya kiafrika. kwa muda mrefu sijamsikia wala kusoma machapisho yake mapya? Naomba yeyote mwenye taarifa zake aniupdate? Yupo wapi kwa sasa na anafanya nini? Na kama kuna mwenye machapisho yake ya kuanzia 2005 na kuendelea nitafurahi sana akinisaidia jinsi ya kuyapata.

Unakumbuka alikwenda MSITUNI kuwa MPINZANI wa MUBUTU Zaire... na alikuwa na CHAMA CHAKE tofauti na CHA MZEE KABILA... lakini MIZENGWE ilimshinda akawafuata wanae USA
 
Mara ya Mwisho tuliongea nae Hapa Tanzania kwenye tamasha la vitabu mwaka 2010 pale Blue Pearl Hotel.Huwezi kuchoka kumsikiliza

Vipi hakutoa mada kwenye hilo tamasha? Kama alitoa naomba copy pls
 
Huyu mtu ninavyojua alikuwa mmoja wa watu walioleta na wanaoendelea kuleta fujo kongo DRC.lkn nashindwa kukuelewa unamhitaji wa nini ?

Mbona nimesema mkuu, namkubali hoja zake.
 
he is a great african man, thinker, researcher and activist
 
Huyu mtu ninavyojua alikuwa mmoja wa watu walioleta na wanaoendelea kuleta fujo kongo DRC.lkn nashindwa kukuelewa unamhitaji wa nini ?
Huyu prof. alikuwa moja ya vichwa mahili pale UDSM miakay 90 madarasa aliyokuwa anafundisha walikuwa wana mkubali sana kule idara ya History
 
Ni senetor kwenye serikali ya DRC kwa sasa.

According Wikipedia.
 
WanaJF,Naomba update za huyu Professor, Binafsi ninamkubali sana huyu prof kwa uchambuzi wake wa historia na falsafa ya kiafrika. kwa muda mrefu sijamsikia wala kusoma machapisho yake mapya? Naomba yeyote mwenye taarifa zake aniupdate? Yupo wapi kwa sasa na anafanya nini? Na kama kuna mwenye machapisho yake ya kuanzia 2005 na kuendelea nitafurahi sana akinisaidia jinsi ya kuyapata.

UDADISI: Rethinking in Action: Tweets from a Meeting with Professor Wamba

UDADISI: Rethinking in Action: Mrejesho: Ziara ya Kumtembelea Prof. Wamba

UDADISI: Rethinking in Action: Professor Wamba dia Wamba on the Importance of Teaching Philosophy in East and Central Africa
 
Wewe utakua Maimai wewe, maana alikisa sana na hilo kundi lake.
 
Prof. Wamba ni kiboko. Kuna siku alikalia kiti masaa kibao bila kunyanyuka mpaka sherehe za kusaini mkataba wa amani zikaahirishwa. Waandaji walimtenga na hawakumuwekea nafasi ya kukaa. Akakaa kwenye viti vya wageni maalum wanaotakiwa kuweka saini!!!
 
Huyu Prof nadhani alipewa kazi ya kuandika Katiba Mpya ya DRC sasa akataka kupindua Nchi.
 
ERNEST WAMBA DIA WAMBA ni nani??


wamba.JPG

RAIS JAKAYA KIKWETE AKISALIMIANA NA ERNEST WAMBA DIA WAMBA
 
Huyu aliwahi Mwalimu UDSM na kina Kabila walioanza harakati za kumtoa Mobutu alienda kujiunga nao
akawa msemaji wao
later on akatofautiana na Laurent Kabila....akajiunga na waasi wa kutaka kumtoa Kabila..
watusi kina marehemu Bizima Karaha,...sijui ikawaje tena
 
Former history lecturer at udsm....kwa sasa naskia ni gavana kule kongo.
 
Back
Top Bottom