Prof. Ernest Wamba Dia Wamba

Prof. Ernest Wamba Dia Wamba

Mara ya Mwisho tuliongea nae Hapa Tanzania kwenye tamasha la vitabu mwaka 2010 pale Blue Pearl Hotel.Huwezi kuchoka kumsikiliza


DAHH BROO...

Tunatamani sana tujue ulipo, tunakesha kukutafuta.

SHETANI ALIJIPA USHINDI WA KISHINDO TENA ,WATANZANIA TUNATESEKA.
 
Huyo Profesa yuko wapi sasa mkuu?

Alishafariki! Sikumbuki alifariki lini na wapi ila kwa sasa ni marehemu! Mimi pia namfahamu personally tuliwahi kuinteract naye sana maeneo ya UDASA wakati ningali memba!!
 
Back
Top Bottom