Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
4,582
Reaction score
2,783
Nasikiliza VOA. Prof. Baregu anasema kufukuzwa kwa ZZK ni kwa sababu ya kukaribia kwa uchaguzi ndani ya vyama na Uchaguzi Mkuu.

Anasema misuguano ndani ya vyama inawachanganya wanachama na usuluhishi ndani ya chama ni muhimu.

Anasema katiba imefuata lakini kuna mgogoro katika kuwafukuza wanachama.

========================
USAHIHI WA KILICHOONGELEWA:

Kwa anayetaka kupata uhalisia wa kilichoongelewa, asikilize Audio hii - www.voaswahili.com/audio/Audio/363572.html
 
Hawa chadema ni kama familia ya kambale kila mtu ana ndevu,Kwanini na huyu tusimfukuze ili tubaki wenyewe tu.
 
Hawa chadema ni kama familia ya kambale kila mtu ana ndevu,Kwanini na huyu tusimfukuze ili tubaki wenyewe tu.
Yes, fukuzeni kila mwenye mawazo huru! Ili mubakiwe na wafanyabiashara za VIKOBA, SACCOS, Real Estate, Entertainment; Wasomi noma kwenye chama wanataka nondo zao zionekane zina maana.
 
hivi 2009 aliambiweje tena? ukweli utadhihirika tu
 
Hawa chadema ni kama familia ya kambale kila mtu ana ndevu,Kwanini na huyu tusimfukuze ili tubaki wenyewe tu.

Mnataka wasema uongo wale wa min kabaang! Cdm msitake kulaumu dobi kutakasa kaniki hali rangi yake mnaijua
 
taratibu tu tutazijua takataka zote,angalieni sasa maneno machafu ya wanachadomo yatakayofuata..hawana hoja utawackia na yeye aondoke..
 
Hii kauli akiisikia Mbowe na Dr.Slaa haiwezi kumletea matatizo?
Suala la ZZK lina mlengo wa kisomi zaidi. Ushabiki hapa sidhani kama una nguvu sana. Wote wanajua hayo. Na hiki najua Prof. amekisema ndani ya chama.
 
Nasikiliza VOA. Prof. Baregu anasema kufukuzwa kwa ZZK ni kwa sababu ya kukaribia kwa uchaguzi ndani ya vyama na Uchaguzi Mkuu.

Anasema misuguano ndani ya vyama inawachanganya wanachama na usuluhishi ndani ya chama ni muhimu.

Anasema katiba imefuata lakini kuna mgogoro katika kuwafukuza wanachama.

80% ya taarifa hii ni uongo umespin na kuweka maneno yako mengi , I am surprised kwamba watu wanaposti uongo munataka kugeuza hii forum isiwe source of information duh
 
CHADEMA hawajui wanaenda au wanarudi.

Ningetegemea Dr. Baregu abonde CCM na serikali, ningeona ni kazi yake.

Lakini akisema vyama vyote, (msisitizo, vyote maana yake chama "twawala" na upinzani) hapo itabidi nisikilize kwa makini.

Hili tulishalisema siku nyingi, ni vizuri kusikia wenyewe wana confirm.
 
Ruttashobolwa, mwekundu, sauti nzito, Unyanga, Kasheshe, Ritz , Gaza and Israel and the Whole Lumumba Buku 7 FC.
Naona Mmejianzishia thread, mnajichangia wenyewe na kugongeana likes za Hapa na Pale.
Inshort ni Kama mnajitekenye wenyewe na kuchekeleana Wenyewe kwa Wenyewe.
No Comment for this kwa kuwa sijajua Jinsia zenu Nyote.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom