Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Povu linawatoka vifaranga na mayai kama vimeachwa na mama zao.
 
Watanzania tuache kurubunika na CV za watu, who is Baregu by then, is he a God? No! He is a human being like you, he is not perfect at all, he has own perceptions like what others have, and he should be crisized like others negatively or postively. Baregu nimekuwa nikimfuatilia sana kama kiongozi wangu, rejea gazeti la Raia mwema kipindi cha tume kuandika maoni ya katiba mpya, Baregu aliongea nini kwenye lile gazeti kuhusiana na malalamiko ya chama dhidi ya mwenendo wa tume. Haya, hapo kasema katiba imefutwa kumuadhibu Zitto, sasa hiyo kauli nyingine ya nini kwa wakati kama huu, anataka kuongea nini dhidi ya msaliti huyu anayetaka kuua taasisi ambayo ni tegemeo la wengi, bado naendelea kumfuatilia kiongozi wangu huyu, mwisho nasema, kumtetea Zitto ni kushirikiana na ccm ambaye ndiye tunayeshindana naye, hivyo kumsafisha Zitoo kwa sasa, inabidi ujitoe ufahamu kwanza, sababu hata kule kijini wtu wanajua Zitto alichowafanyi .watanzania
 
Prof baregu nasikia ndo M2 au chadema mpya?au ndo yuko kundi la CDM academia?

Mimi sijasema suala la Zitto.

Mtoa mada ni mnafiki amechambua habari na kupoteza maana

Mods taarifa hii ni ya uongo, Prof Baregu hajazungumza haya, mimi nimesikiliza, kwa bahati nzuri mimi nimsikilizaji wa idhaa za kiswahili zote,

Nendeni kwenye tovuti ya Voa sikilizeni vipindi vyote vya leo na hamtasikia popote hiki alicholeta huyu member,

Kiongozi naona unaomba msaada MOD, funguka bro. Mwamhie aing'oe kabisa ili wana magwanda mpumue. Mbona hampendi kuambiwa ukweli. You need to change ur mindset man
 
CHADEMA hawajui wanaenda au wanarudi.

Ningetegemea Dr. Baregu abonde CCM na serikali, ningeona ni kazi yake.

Lakini akisema vyama vyote, (msisitizo, vyote maana yake chama "twawala" na upinzani) hapo itabidi nisikilize kwa makini.

Hili tulishalisema siku nyingi, ni vizuri kusikia wenyewe wana confirm.
Samahani mkuu mpe heshima yake ni PROFESA na Siyo DR.
 
Vyama vya siasa vina matatizo sana ya ndani kama hivi sasa cdm kuna tatizo ndani ila siri hiyo wanayo wenyewe sisi huku tunalumbana bila kujitambua,tuwe makini katika kuchambua mambo bila ushabiki
 
Watanzania tuache kurubunika na CV za watu, who is Baregu by then, is he a God? No! He is a human being like you, he is not perfect at all, he has own perceptions like what others have, and he should be crisized like others negatively or postively. Baregu nimekuwa nikimfuatilia sana kama kiongozi wangu, rejea gazeti la Raia mwema kipindi cha tume kuandika maoni ya katiba mpya, Baregu aliongea nini kwenye lile gazeti kuhusiana na malalamiko ya chama dhidi ya mwenendo wa tume. Haya, hapo kasema katiba imefutwa kumuadhibu Zitto, sasa hiyo kauli nyingine ya nini kwa wakati kama huu, anataka kuongea nini dhidi ya msaliti huyu anayetaka kuua taasisi ambayo ni tegemeo la wengi, bado naendelea kumfuatilia kiongozi wangu huyu, mwisho nasema, kumtetea Zitto ni kushirikiana na ccm ambaye ndiye tunayeshindana naye, hivyo kumsafisha Zitoo kwa sasa, inabidi ujitoe ufahamu kwanza, sababu hata kule kijini wtu wanajua Zitto alichowafanyi .watanzania
 
Mods taarifa hii ni ya uongo, Prof Baregu hajazungumza haya, mimi nimesikiliza, kwa bahati nzuri mimi nimsikilizaji wa idhaa za kiswahili zote,

Nendeni kwenye tovuti ya Voa sikilizeni vipindi vyote vya leo na hamtasikia popote hiki alicholeta huyu member,

Mimi mwenyewe nimesiklliza na kilichoandikwa hapo ndicho alichosema baregu
 
Ndugu yangu sikilza mahojiano.. Buk7 wameweka chumvi.. Prof. kaongea vitu vingine kabisa..

Acha utaahira wewe, prof. Baregu hajipendekezi kama wewe mchumia tumbo. Ameweka wazi kuwa yanayotokea chadema leo ni kwabsababu ya uchaguzi mkuu ndani ya chadema
 
Nasikiliza VOA. Prof. Baregu anasema kufukuzwa kwa ZZK ni kwa sababu ya kukaribia kwa uchaguzi ndani ya vyama na Uchaguzi Mkuu.

Anasema misuguano ndani ya vyama inawachanganya wanachama na usuluhishi ndani ya chama ni muhimu.

Anasema katiba imefuata lakini kuna mgogoro katika kuwafukuza wanachama.

Huyu mzee naye chenga tu, Profesa mzima anachanganya madesa
 
Attach audio kama inawezekana tusikilize kama ni ukweli au ndio nyie maccm mliokosa hoja kazi yenu kujadili ZZK huu mtandao umekuwa wa kiduanzi sana nowadays uongo mwingiiiiiiiiiiiii
 
Baregu msaliti mbona siku nyingi!!Alitukana tangu tunajitoa ktk mchakato wa katiba!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom