Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
80% ya taarifa hii ni uongo umespin na kuweka maneno yako mengi , I am surprised kwamba watu wanaposti uongo munataka kugeuza hii forum isiwe source of information duh

Froida tunaomba uweke ukweli na kile kilicho ongelewa na Baregu tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Acheni uongo nyinyi watu, hiyo VOA umeisikiliza wewe tu? Mbona umegeuza alichokisema mzee Baregu? Usiwe mtu wa kulisha maneno
 
Ameongea mengi mazuri zaidi ya hayo uliyoweka,na ameyafafanua vizuri,amesema hata yeye alikuwapo kwenye kikao cha kumvua vyeo zzk na kuwavua uanachama mkumbo na mwenzake,amesema katiba ilifuatwa na kikatiba hakukua na
kosa lolote. Amesema mzozo ule ulitakiwa utatuliwe kwa busara zapande zote mbili na si kwa kushinda mahakamani. Amesema ni kawaida kwa vyama vingi vikikaribia uchaguzi lazima kuwe na vurugu za ndani.Mleta uzi naona kama ulitaka kumchafua au kumgombanisha Baregu na chama kidogo!

Mkuu achana na hawa Vichwa Samaki ambao siku zote hufikiri kwa kutumia tumbo.
Wao kila jambo wanalifanyia Propaganda
 
Hakuna haja ya kubishana na asiyetaka kujua. kwa hiyo, hebu edit taarifa unataka isomekwe vipi?? Ni kwa mujibu wa VOA.[/QUOTe


Edit wewe uliyetanguliza maneno yako usiweke hisia zako kama una quote kitu alichozungumza mtu kwa kuongeza mambo ambayo hakuyasema kabisa please
 
subirini makamanda wanakuja, mtakiona cha moto. Wako full wana nguvu ya gongo.
 
Mkuu ina maana hujui kuwa kuna watu huwatoaga Kafara wazazi wao ili wapate Mali za Kishetani ???
Mie sijui wewe unayejua umeamua kumtolea mfano Ritz, najua siyo wewe saizi umehamaki baadae ukitulia ujisome upya.
 
Mods taarifa hii ni ya uongo, Prof Baregu hajazungumza haya, mimi nimesikiliza, kwa bahati nzuri mimi nimsikilizaji wa idhaa za kiswahili zote,

Nendeni kwenye tovuti ya Voa sikilizeni vipindi vyote vya leo na hamtasikia popote hiki alicholeta huyu member,
 
Ameongea mengi mazuri zaidi ya hayo uliyoweka,na ameyafafanua vizuri,amesema hata yeye alikuwapo kwenye kikao cha kumvua vyeo zzk na kuwavua uanachama mkumbo na mwenzake,amesema katiba ilifuatwa na kikatiba hakukua na
kosa lolote. Amesema mzozo ule ulitakiwa utatuliwe kwa busara zapande zote mbili na si kwa kushinda mahakamani. Amesema ni kawaida kwa vyama vingi vikikaribia uchaguzi lazima kuwe na vurugu za ndani.Mleta uzi naona kama ulitaka kumchafua au kumgombanisha Baregu na chama kidogo!

Nashukuru Mkuu,
Me naona watu wanachukia ambacho hawajasikia. Sina nia mbaya na Prof. naheshimu mawazo ya kisomi, hata kama unaona nimeegemea upande.
Shukurani
 
Froida tunaomba uweke ukweli na kile kilicho ongekewa na Baregu tafadhali.

Unapoleta habari JF souce ikiwa public domain kama radio TV lazima ulete taarifa sahihi kwa sababu mara nyingi wengi watakuwa wamesikiliza ,mleta mada amechukua neon moja moja katika kila habari aliyosema prof akaongeza maneno kwa maana hiyo akapindua maneno mengi na kumlisha yale yasiyokuwa yake
 
huyu mzee amekijengea chama heshima kubwa sana lakini salsa amekengeuka inabidi kumpuuza tu maana anazeeka vibaya sasa nae ndo fungu amechagua tumuache.

He has nothing to lose now.

mkuu yani mtu akisema ukweli bhasi ana zeeka vibaya? Mkuu kwani nini cha uongo kaongea hapo? Pole sana Pastor.

Ikiwezekana kamati kuu hiitishwe ili kumjadili na afukuzwe uanachama.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru Mkuu,
Me naona watu wanachukia ambacho hawajasikia. Sina nia mbaya na Prof. naheshimu mawazo ya kisomi, hata kama unaona nimeegemea upande.
Shukurani
Hakuna anayechukia tunasema mengi uliyoyasikia umeyaweka kwenye hisia zako na kwa sababu taarifa yenyewe uliipata toka radio ukumbuke wengi wanasikia na kusikiliza
 
Acheni uongo nyinyi watu, hiyo VOA umeisikiliza wewe tu? Mbona umegeuza alichokisema mzee Baregu? Usiwe mtu wa kulisha maneno
Wewe ni kibaraka, mchumia tumbo, unatumia kichwa kufugia tu nywele. Kanusha kwa ushahidi sio unaropoka tu jukwaani
 
kama tatizo ni chaguzi za ndani, si wangesubiri wamshinde zito kwenye sanduku la kura??
 
Mods taarifa hii ni ya uongo, Prof Baregu hajazungumza haya, mimi nimesikiliza, kwa bahati nzuri mimi nimsikilizaji wa idhaa za kiswahili zote,

Nendeni kwenye tovuti ya Voa sikilizeni vipindi vyote vya leo na hamtasikia popote hiki alicholeta huyu member,

Hakuna kusema uongo. Naandika nikiwa nimesikia alichosema. Haya si mawazo yangu ni yake. Tuache kubuni argument zetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom