Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
80% ya taarifa hii ni uongo umespin na kuweka maneno yako mengi , I am surprised kwamba watu wanaposti uongo munataka kugeuza hii forum isiwe source of information duh

Hakuna haja ya kubishana na asiyetaka kujua. kwa hiyo, hebu edit taarifa unataka isomekwe vipi?? Ni kwa mujibu wa VOA.
 
Wasomi wengi wa TZ ni njaa kali&omba omba,na ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo,kazi yao ni kuropoka,maneno yao hayafanani na matendo yao.
 
Mtoa mada ni mnafiki amechambua habari na kupoteza maana
 
Mimi sijasema suala la Zitto.
Ritz Njaa inakufanya Upofuke Kabisa.
No wonder nyie ndo wale mnaokuwaga tayari kuwatoa hata wazazi wenu Kafara kwa uvivu wenu wa kutafuta riziki na kupenda shortcut.
 
Last edited by a moderator:
Ruttashobolwa, mwekundu, sauti nzito, Unyanga, Kasheshe, Ritz and the Whole Lumumba Buku 7 FC.
Naona Mmejianzishia thread, mnajichangia wenyewe na kugongeana likes za Hapa na Pale.
Inshort ni Kama mnajitekenye wenyewe na kuchekeleana Wenyewe kwa Wenyewe.
No Comment for this kwa kuwa sijajua Jinsia zenu Nyote.

We kila mtu ni lumumba buku7! Sikulaumu ndo uwezo wako wa kufikiri na uamuzi wako ulipofikia! Ni suala la kukusaidia tu kufikiri
 
Last edited by a moderator:
80% ya taarifa hii ni uongo umespin na kuweka maneno yako mengi , I am surprised kwamba watu wanaposti uongo munataka kugeuza hii forum isiwe source of information duh

Chadema hawana sera siasa chafu zitawaumbua
 
Huyu mzee amekijengea chama heshima kubwa sana lakini salsa amekengeuka inabidi kumpuuza tu maana anazeeka vibaya sasa nae ndo fungu amechagua tumuache.

He has nothing to lose now.
 
Hata kama kaongea ni jambo jema na ndio uhuru wa kutoa maoni.Tujaribu kutofautisha na kupambanua baina ya uhuru wa kutoa habari na tuhuma.Nahisi kama jamvi limevamiwa na watoto au watu wenye uelewa wa kawaida sana.
 
We kila mtu ni lumumba buku7! Sikulaumu ndo uwezo wako wa kufikiri na uamuzi wako ulipofikia! Ni suala la kukusaidia tu kufikiri

Mku usimohofie huyo anaendeshwa na mihemko,ukute hata kura hajawahi kupiga huyo hata kadi hana ndo maana hana uchungu,so far viroba ndo size yake
 
Ritz Njaa inakufanya Upofuke Kabisa.
No wonder nyie ndo wale mnaokuwaga tayari kuwatoa hata wazazi wenu Kafara kwa uvivu wenu wa kutafuta riziki na kupenda shortcut.
Mkuu vipi tena mambo ya wazazi yamekujaje tena kamanda.
 
Last edited by a moderator:
We kila mtu ni lumumba buku7! Sikulaumu ndo uwezo wako wa kufikiri na uamuzi wako ulipofikia! Ni suala la kukusaidia tu kufikiri

Hamjifichi na wala haihitaji hata Certificate kuwajua.
Hivi hamna kazi nyingine zenye staha za kufanya kuwaingizia kipato ili muepuke kero zetu JF ???
Hivi mna mioyo gani isiyo na haya nyie viumbe????
 
Ameongea mengi mazuri zaidi ya hayo uliyoweka,na ameyafafanua vizuri,amesema hata yeye alikuwapo kwenye kikao cha kumvua vyeo zzk na kuwavua uanachama mkumbo na mwenzake,amesema katiba ilifuatwa na kikatiba hakukua na
kosa lolote. Amesema mzozo ule ulitakiwa utatuliwe kwa busara zapande zote mbili na si kwa kushinda mahakamani. Amesema ni kawaida kwa vyama vingi vikikaribia uchaguzi lazima kuwe na vurugu za ndani.Mleta uzi naona kama ulitaka kumchafua au kumgombanisha Baregu na chama kidogo!
 
Mkuu vipi tena mambo ya wazazi yamekujaje tena kamanda.

Mkuu ina maana hujui kuwa kuna watu huwatoaga Kafara wazazi wao ili wapate Mali za Kishetani ???
 
CHADEMA hawajui wanaenda au wanarudi.

Ningetegemea Dr. Baregu abonde CCM na serikali, ningeona ni kazi yake.

Lakini akisema vyama vyote, (msisitizo, vyote maana yake chama "twawala" na upinzani) hapo itabidi nisikilize kwa makini.

Hili tulishalisema siku nyingi, ni vizuri kusikia wenyewe wana confirm.

Chadema wanamtafutia site,watasema ndo M2 huyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom