Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Hakuna anayechukia tunasema mengi uliyoyasikia umeyaweka kwenye hisia zako na kwa sababu taarifa yenyewe uliipata toka radio ukumbuke wengi wanasikia na kusikiliza
Weka ulichosikia wewe kibaraka wa mbowe sio unaleta njaa zako humu
 
Acheni uongo nyinyi watu, hiyo VOA umeisikiliza wewe tu? Mbona umegeuza alichokisema mzee Baregu? Usiwe mtu wa kulisha maneno

habari yako yai?? maana hata levo ya kifaranga hujaifikia subiri hata yai lipasuke ili uwe kifaranga maana kwa hichi kiherehere unaeza kugeuka kuwa Viza
 
Hamjifichi na wala haihitaji hata Certificate kuwajua.
Hivi hamna kazi nyingine zenye staha za kufanya kuwaingizia kipato ili muepuke kero zetu JF ???
Hivi mna mioyo gani isiyo na haya nyie viumbe????

Ndio maana nimesema unahitaji msaada wa kifikra! Huwezi ukawa na akili ndogo kisha ukaitambua akili kubwa hata siku moja
 
hakuna anayechukia tunasema mengi uliyoyasikia umeyaweka kwenye hisia zako na kwa sababu taarifa yenyewe uliipata toka radio ukumbuke wengi wanasikia na kusikiliza

mbona una zunguka sana?sema alicho ongea.
 
Hakuna kusema uongo. Naandika nikiwa nimesikia alichosema. Haya si mawazo yangu ni yake. Tuache kubuni argument zetu.
Yeriko ni kibaraka wa mbowe, anataka kututoa kwenye mstari tuache kuadili aliyosema baregu ( msomi) tubaki tukibishana naye. Hapo ameshapata ujira.
 
Huyu mzee amekijengea chama heshima kubwa sana lakini salsa amekengeuka inabidi kumpuuza tu maana anazeeka vibaya sasa nae ndo fungu amechagua tumuache.

He has nothing to lose now.
Ungesikiliza VOA usingekuja na hitimisho hilo ,pia uwe mzoefu kwenye jamvi tarrifa nyingi siku hizi zinawekwa kipropaganda lazima uwe mwangalifu sana ,unaweza kuingia kichwa
 
Baregu ana umri gani hivi? tusije tukamlaumu kumbe umri umemwacha akili zinarudi nyuma
 
Yeriko ni kibaraka wa mbowe, anataka kututoa kwenye mstari tuache kuadili aliyosema baregu ( msomi) tubaki tukibishana naye. Hapo ameshapata ujira.
Zaidi ya propaganda kitu gani huwa unajadili wewe ni mmoja wa wanachama wa JF waliofukuza wanachama wengine au kuwapoteza wasijadili kwa jinsi unavyoharibu mada
 
Baregu ana umri gani hivi? tusije tukamlaumu kumbe umri umemwacha akili zinarudi nyuma
alikuwa anaelezea mchakato ulivyokuwa kwenye kamati kuu ,mleta mada kachukua neon moja kutoka hapa na pale akayatungia sentensi
 
Watanzania ni wafuataji wazur wa siasa za upepo! Hujui chanzo unaropoka huyu hafai,kahongwa,kanunuliwa,aondoke.... Sawa umechunguza?!? Achen kufuata upepo! Werevu wanajua ukwel ninyi mnagombana huku! Hiv lin mtaznduka kwenye giza la ujinga.? Napita tu.
 
Hakuna aliposema "kufukuzwa kwa ZZK ni kwa sababu ya kukaribia kwa uchaguzi ndani ya vyama na Uchaguzi Mkuu"

Alichosema ni kuwa ikaribia wakati wa uchaguzi wa madiwani au wa wabunge au wa rais na nk.. ni msimu ambao vyama vyote vinapitia katika mtikisiko na hasa kwenye vyama vichanga ,inawezekana katiba zipo ila unajikuta, vitendo vya mwanachama au chama chenyewe kinakwenda/anakwenda kiyume cha kitaba kwa sababu havijajiwekea/hatujajiwekea katiba kama utamaduni....
 
mbona una zunguka sana?sema alicho ongea.
nazunguka kwa vipi unaakili wewe nimekwambia alichokile mleta mada ni uongo kwa aslimia 80 awe mwangalifu sasa kama unataka mwambie aandike ambacho watu wote tumekisikia halafu tukijadili hunibabaishi wewe tunakujua kwa kuspin habari nawe ni kundi hilo hilo la propaganda za kijinga munaharibu jamvi mukidhani watu hawajui maudhui yenu ukisoma thread zangu za nyuma nimemuambia aliyoyaongeza unataka nikutafunie nikubandikie kwenye ubongo wako
 
Mods taarifa hii ni ya uongo, Prof Baregu hajazungumza haya, mimi nimesikiliza, kwa bahati nzuri mimi nimsikilizaji wa idhaa za kiswahili zote,

Nendeni kwenye tovuti ya Voa sikilizeni vipindi vyote vya leo na hamtasikia popote hiki alicholeta huyu member,
Wewe usitake kuwapangia Mods kazi umesikia weka basi ulichoongea Prof Baregu wewe juzi si umesema Zitto hajawahi kukata rufani ulivyokuwa muongo unadhani kila mtu muongo.
 
Yeriko ni kibaraka wa mbowe, anataka kututoa kwenye mstari tuache kuadili aliyosema baregu ( msomi) tubaki tukibishana naye. Hapo ameshapata ujira.

Wewe hayawani hebu sikiliza hapa kama yapo hayo maneno yenu ya kizanfiki,

http://www.voaswahili.com/audio/Audio/363572.html
 
Wewe usitake kuwapangia Mods kazi umesikia weka basi ulichoongea Prof Baregu wewe juzi si umesema Zitto hajawahi kukata rufani ulivyokuwa muongo unadhani kila mtu muongo.

Wala siwapangii, usijitoe ufahamu,

Sikiliza hapa,

http://www.voaswahili.com/audio/Audio/363572.html
 
hakika le prof.baregu umetoa sumu nyingine ya kuimaliza chadema
 
80% ya taarifa hii ni uongo umespin na kuweka maneno yako mengi , I am surprised kwamba watu wanaposti uongo munataka kugeuza hii forum isiwe source of information duh

kweli mkuu nilitaka kudhania radio yangu ilikuwa inaongea kinyume nyume!!!kwani huyu aliyeleta hii habari amepotosha kwa kiwango kikubwa sana.Unapo ripoti habari ushabiki uweke pembeni leta habari kama ilivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom