Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

Mie sijui, wewe unaweza kujibu swali langu kwamba "Unajuaje kwamba mungu yupo?

Karanga;
Naomba nikuulize swali. Kwani wewe upo? Na kama upo umejuaje kama upo? Au kama haupo umejuaje kama haupo na kwa nini haupo? Kama upo, nini kimesababisha mpaka wewe ukawa upo, accident? Nadhani hata argumentum ad ignorantium ina argue better kuliko wewe! Pole sana. Ukiamini kwamba Mungu yupo, hatimaye utajua kuwa Mungu yupo. But if you do not, then you wont. Just look for the basic facts which will make you believe, and then you will know. Mind you, IF YOU LOOK FOR THE EVIDENCES OF GOD, THEY ARE ALMOST EVERYWHERE!
 
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.

Bila shaka tumepata na upande wa pili na sasa maswali yanaweza kupungua.
Here comes another Kingunge sculputure....akimaliza weka katiba inayoruhusu mgombea binafsi....atakujagundua hakuna dini ya mtu binafsi..yaani utengeneze theology yako na uiongoze wewe mwenyewe na uifuate wewe mwenyewe, then uweze synchronize na jamii..its like shooting in the darkness..finally utajikuta ukiwa sympathizer wa uovu.

You cant be more humane that inhumane mankind.
Huyu prof hajui hata ktk paper watu waandikazo huwa wana reference toka paper zingine hata km hazipo perfect.So far ningumu kuishi bla influence za hizi dini achilia mbali influence aliyoipata utotoni. Ni ngumu kuona Justice kwa vipimo sawa.

Political correctness haiwezi exist in interfaith life. E.g You cant fight racist using Hinduism V/S Christianity/Islam or Evolution V/S Cretionism. You cant fight for women right while in between Islam V/S Christianity/Hinduism. and many more of such.Only politically correct guys/hipocrites play this kind of games.

Dunia ya leo ni ngumu kuishi bila defined principals km ilivyo ngumu nchi kusema wanaweza ishi bila mifumo ya kisiasa na kiuchumi iliyopo duniani.Ni CCM tuu ndio wanajidanganya hivi kwa kudai kuwa bado tunafuata ujamaa na kujitegemea ,huku wanabinafsisha vitu kwa kwenda mbele, tuna mabepari na wezi kibao.
 
Haya sasa...........ndiko tunakoenda huko,.....ngoja vitoto vyetu kama kweli vitajua hii issue ya mungu.
 
Kibaya zaidi ya kuwa na mawazo ya "kikata kata" ni kushindwa kuya dismiss mawazo ya "kikata kata" kwa arguments.

Unacholeta wewe hapa ni hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja. Sasa ukiona mtu anatumia hoja ya nguvu dhidi ya kile kinachoitwa "mawazo ya kikata kata" utajua ama hayo yanayoitwa "mawazo ya kikata kata" yamemshinda kwa sababu si ya kikata hivyo, au kama ni kweli ya kikata kata, huyo maamuma mwingine anayeyapinga bila ya kuyapangua yuko hoi bin taaban zaidi ya mawazo ya kikata kata.

Naomba unionyeshe mawazo yangu yamekaa "kikata kata" wapi ili twende in the toe by toe Kiranga tradition. Vinginevyo utaidhihirishia kadamnasi ya JF kwamba umeshindwa kumuelimisha mtu mwenye mawazo ya "kikata kata"

Sasa mie na wewe unaye fanya assumptions tu kwamba nina au nataka kuwa na watoto bila ya kunijua nani ana mawazo finyu?

Halafu unaproject shule za kata, the sheer temerity!

he..... Shule za kata hizi zina kazi sana yani miaka minne yote ulosomaga bado tu kichwani empty set, lowasa alifanya makosa makubwa ku conduct huu mradi wa shule za kata kwani umetuzalishia na mtu janga kama ww kwani hata Mungu huamini kama yupo. Du.......
 
Adheism ndiyo nini? Kama hujui spelling kwa nini niamini kwamba content, delivery na analysis yako ni sawa?

A true atheist does not believe in neither god nor the devil, because these are both mythical supernatural figures representing the ultimate good (god) and evil (the devil).

Kwa definition hiyo, atakayetaka kuwatoa watu kumwamini mungu waende kumwamini shetani si atheist, tafuta jina jingine.Kwani huyu anaamini katika nguvu za shetani.

Ndiyo maana nikasema hao Freemasons wako karibu na Wakristo/ Waislam kuliko inavyofikiriwa. tena ndio hao hao walioandika na ku edit biblia.

Angalia hapa mtu ana list ya Bishops, Monsignors and Cardinals of the catholic Church known to have been Freemasons.


Masons control the Vatican

Halafu ndio mtu Mkristo aje hapa kusema the ultimate goal of Freemasons ni kuwafanya watu wasimwamini mungu wakati Vatican imejaa Freemasons?

Mi naona the ultimate goal of Freemasons ni kuwafanya watu wamuamini mungu, na kupata mtu kama papa kusadikika kama muwakilishi wa mungu duniani.

Mtu yeyote anayejua human psychology atajua ni rahisi zaidi kupata unachotaka kwa kutumia authority ya mungu. Binadamu alivyo anataka kuamini katika authority, and nature abhors a vacuum, so ukimwambia hili neno la mungu ndio njia nyepesi kabisa ya kutawala mawazo yake.

Sasa kama Freemasons wanataka kutawala dunia, kwa nini wasiitumie hii njia nyepesi kuwatawala watu?

Ukisoma post ya 116 utaona nimeandika atheism, so hizo ni minor errors. Katika list ya departments za Illuminati nimetaja Fake Christianism, sasa kwa kutokujua umerefer fake christianism kama ndio christianity.

Sasa kwa taarifa yako hakuna Illuminati/FM ambaye ni Christ Follower. They have faked Christianity for a purpose...and many have been taken astray...note here, the devil is the father of lies.
 
Mie nilishasema hakuna ninalojua, sio tu sijui, sijui hata kama sijui.

Sasa nyie mnaojua nijuzeni na mie nisiyejua nijue.

Unajuaje kama mungu yupo?

Mtu anapouliza "unajuaje kama mungu yupo?" haimaanishi kwamba kasema mungu hayupo. Comprehension ndogo tu mzigo halafu unataka kuniambia unajua kwamba mungu yupo.

Jibu swali. Unajuaje kwamba mungu yupo?

sasa inajauwaje unakuwa dogmatic na kitu ambacho hujui?
kama hakuna Mungu hiyo ultimate good ndio nini? imetoka wapi na inapimwaje?
dah yaani....
 
Jamani naomba mwenye jibu anipe.Nani anaweza kuthibitisha kuwa Mungu hayupo?Je yupo anaeweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo?
 
Blanket statements za kuwaita watu wengine wapagani, au wafanyakazi wa Lucifer ni neurotic defense mechanisms za makundi ya kiimani kujilinda dhidi ya perceived threats kutoka makundi mengine yenye mawazo tofauti. Katika saikolojia za Freud, defense mechanisms huwa pamoja na kuona tatizo, au kosa, ama udhaifu katika mwingine ili mradi lengo ni subconsiously kuficha udhaifu ulio nao wewe. Kwa lugha nyingine, maneno ya kuwaita watu wapagani, au wafanyakazi wa Lucifer yanaweza kabisa yakawa maneno kutoka kwa wagonjwa wa akili in groups: collective neurosis.





  • The ultimate goal ya Illluminati/Freemasons ni kuwatoa watu wasimwamini Mungu (Yehova) ili awaokoe. Wanafanya kazi ya Lucifer (shetani) na baadhi ya departments zao ni Adheism, Communism, Fake Christianism, uchawi, Music, Film industry, mitindo, technology, to mention just a few.[/QUOTE]




    A true atheist does not believe in neither god nor the devil, because these are both mythical supernatural figures representing the ultimate good (god) and evil (the devil).



    ...Freemasons wako karibu na Wakristo/ Waislam kuliko inavyofikiriwa. tena ndio hao hao walioandika na ku edit biblia.

    Angalia hapa mtu ana list ya Bishops, Monsignors and Cardinals of the catholic Church known to have been Freemasons.

    Masons control the Vatican

    Halafu ndio mtu Mkristo aje hapa kusema the ultimate goal of Freemasons ni kuwafanya watu wasimwamini mungu wakati Vatican imejaa Freemasons?

    Mi naona the ultimate goal of Freemasons ni kuwafanya watu wamuamini mungu, na kupata mtu kama papa kusadikika kama muwakilishi wa mungu duniani.

    Mtu yeyote anayejua human psychology atajua ni rahisi zaidi kupata unachotaka kwa kutumia authority ya mungu. Binadamu alivyo anataka kuamini katika authority, and nature abhors a vacuum, so ukimwambia hili neno la mungu ndio njia nyepesi kabisa ya kutawala mawazo yake.

    Sasa kama Freemasons wanataka kutawala dunia, kwa nini wasiitumie hii njia nyepesi kuwatawala watu?[/QUOTE]
 
Haya sasa...........ndiko tunakoenda huko,.....ngoja vitoto vyetu kama kweli vitajua hii issue ya mungu.
Tukipeleka watoto madrasa huwa mnatuona hatujui tufanyalo ! Mtoto wa Kiislaam akifika umri kati ya 12 na 14, amekariri Quran yote, baada ya hapo anafunishwa tafsiri na lugha.
 

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.

Professing to be wise Baregu has become a fool....read for details......Roman 1:22..........everything he believes in, Christ Jesus, his God espouses the same commandment....peruse for further illustrations....Mathew 23:23
 
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

Baregu believes in one God.....well......he has done well, but even the demons do so and they tremble....study James 2:19....while Baregu is not trembling, inferring that he is worse than demons...........
 
Naomba Urudi shule ukajifunze maana ya mpagani na kwa taarifa yako hakuna mwaafrika mpagani. mawazo yako yamejaa imani za kigeni
 
The notion that Christian GOD exist came from Europe
The notion that Islam ALLAH exist came from Middle east
The fallacy that GOD does not exist came from abroad (Europe, America etc)

So whether you believe or not believe you are still under the influence of Europe or America. Usitudaganye wewe bado ni mtumwa wa fikra za hao hao wazungu, hata hiyo statement ya kuhusu nini unaamini tushaiona kwa ''wazungu'' kibao........wasioamini. Ungesema unaamini mizimu angalau ungekuwa na hoja...

Ha ha ha ha... well said
 
Karanga;
Naomba nikuulize swali. Kwani wewe upo? Na kama upo umejuaje kama upo? Au kama haupo umejuaje kama haupo na kwa nini haupo? Kama upo, nini kimesababisha mpaka wewe ukawa upo, accident? Nadhani hata argumentum ad ignorantium ina argue better kuliko wewe! Pole sana. Ukiamini kwamba Mungu yupo, hatimaye utajua kuwa Mungu yupo. But if you do not, then you wont. Just look for the basic facts which will make you believe, and then you will know. Mind you, IF YOU LOOK FOR THE EVIDENCES OF GOD, THEY ARE ALMOST EVERYWHERE!

Hujajibu swali, mie nishakwambia sijui, na sijui hata kama sijui.

Naweza kusema "I think, therefore I exist" kama Rene Descartes, lakini inawezekana kabisa nikawa ni ndoto tu katika supercomputer fulani. Au avatar kama avatar yako hapa JF. Ipo kama avatar lakini haiwezi ku claim kuwa wewe just because watu wakiangalia posts zako wanaona avatar yako.

Kwa hiyo sijui kama nipo au sipo, na hata sijui kama sijui kwa sababu nikiangalia sana naona kama najua na kusema kwamba sijui ni over-extrapolation and splitting atoms. Lakini kama kujua ni certainty, sijui.Kwa sababu so far uelewa wangu ni mdogo sana na ninachoona ni kwamba tunapunguza ujinga polepole, na hatujafika pa kusema "tunajua". Hata ikiwa tunaongelea ka subatomic particle kamoja, hatukajui position na momentum yake katika muda mmoja wowote, according to Heisenberg's Uncertainty Principle. Wait, the entire concept of "muda mmoja" is Newtonian and laughable and not consinstent with Einstein's Relativity.

Kwa hiyo hata ukiniuliza "saa ngapi sasa hivi" siwezi kukujibu mpaka nikuulize tena wewe "saa ngapi ya wapi?" ma

Wewe unajua?
 
ila inawezakana ni kweli, kwani dini nyingi siku hizi zimekuwa za kinafiki sana?Big up babu Baregu
!
ukisoma historia ya imani za kibantu kabla ya uislam na ukristo utagundua kulikuwepo mapungufu ambayo yalihusisha kudhulumu,kutupa watoto walemavu,kukeketa wanawake na hizi imani za kutumia viungo vya albino ili kupata utajiri ni sehemu ya imani zetu za asili,sasa je profesa anajitenga na dini za nje ili atende mema au naye aungane na wanaochuna ngozi na kuuza viungo vya albino? Ukweli ninaoujua ni KILA ATENDAYE DHAMBI NI WA IBILISI KWA KUWA YEYE ALIZITENDA TOKEA ZAMANI.na ukisoma vitabu vya dini utagundua shetani alikuwepo kabla ya kuwepo ukristo na uislam Kwa hiyo ni wazi aliwatumikisha hao ambao hawakuwa na dini.Najiuliza swali hili profesa amekataa kushika kitabu cha Mungu ili aje atende haki au afanye uhalifu bila nafsi yake kumhukumu?kwa sababu ameacha unafiki unaofanywa na wengi wanaoapa kwa kushika vitabu kisha wakafanya kinyume,Na kama atetenda haki atakuwa anamuiga Mungu au shetani maana ingekuwa vyema kujiahinisha ili akifanya vyema tuige mfano wake.Profesa sio wa kwanza kuapa kwa njia hii,alitanguliwa na Kingunge Nmwilu,Vipi story ya ubungo bus terminal?ambapo ilikuwa ni ufisadi kwa kwenda mbele. mi nasema shetani hana sura ukijilegeza anakuvaatu na wewe mwenyewe unabaki kujishangaa haijalishi una dini au huna.Mimi ni mpenzi wa busara za Prof. Baregu ila ili limenishangaza,lakini namtakia kila la kheri asimamie haki tupate katiba itakayoleta maslahi kwa watanzania wote.
 
walikuwepo wabunge walioapa kwa kutumia vitabu vya dini isio yao. yaani waislamu waliapa kwa kutumia biblia na wakristo waliapa kutumia msahafu. sababu ni kwamba walifahamu kuwa wanachukua kazi kwa masilahi yao binafsi na sio kuwasaidia watu waliowachagua hivyo waliamua kuapa kwa vitabu wasivyoviamini ili viapo vyao visiwarudie.
 
With all due respect to Baregu. I know he is an expert in politics and he has made a name in it, I am afraid to say that he should not start to be intoxinated with his success and think that he is an expert in everything. He wears political spectacles and he views spiritual matters politically. Baregu needs to understand that spiritual affairs is a different area, he has a hurmer in his hand and he should not think everything is a nail. Politics has it catch words like western country, developed country, African and nationalism etc the area where Baregu is an expert. The converse of it in spiritual world, phrases like faith, love and spirit, the area which Baregu is dead ignorance. Baregu should stop indulging in areas he is ignorance with lest him misuse the trust he has achieved in politics to mislead innocent people who have religious faith.

I rest here;
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.

Bila shaka tumepata na upande wa pili na sasa maswali yanaweza kupungua.
 
Tukipeleka watoto madrasa huwa mnatuona hatujui tufanyalo ! Mtoto wa Kiislaam akifika umri kati ya 12 na 14, amekariri Quran yote, baada ya hapo anafunishwa tafsiri na lugha.[/QUOTE]

Wewe nawe madrasa(sijui chuo)huko si ndiko wanawadumaza watoto kifikra...kutwa kulalama na hawajishughulishi na lolote juu ya ufumbuzi wa matatizo yao.....mnawafundisha ulalamishi,kuvaa visuruali vifupi,kujitoa mhanga,kupiga soga kwenye vijiwe vya kahawa,jinsi ya kula ubwabwa,..na upuuzi mwingine usio na tija kwenye maisha yao......kukariri quran ndio nini?
 
walikuwepo wabunge walioapa kwa kutumia vitabu vya dini isio yao. yaani waislamu waliapa kwa kutumia biblia na wakristo waliapa kutumia msahafu. sababu ni kwamba walifahamu kuwa wanachukua kazi kwa masilahi yao binafsi na sio kuwasaidia watu waliowachagua hivyo waliamua kuapa kwa vitabu wasivyoviamini ili viapo vyao visiwarudie.
Mkuu, Kama una ushahidi tunaomba utuwekee hapa tuweze kuwachambua vizuri . Lakini suala sio kuapa kwa Biblia au Msahafu, bali ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi.
 
Back
Top Bottom