Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

Ukiwa politically correct ,utatumia darubini kutafuta kilicho chema ktk hizi imani za kiafrika.The issue ni kuwa Baregu ana invest ktk wrong project.
- Km ni spirutuality Christianity ya Jesus ilikuwa hiyo kwani alichokuja kamilisha nacho Torat ndicho hicho.Yaani alihamisha mtazamo wa kuangalia kosa likiwa limefanyika na kuhamishia watu ktk kuzuia mambo yanayopelekea kufikia dhambi.Aliwaondoak watu toka kufanya ibada kwa kueleke vitu.Ikiwepo Milima ya Sinai(alipopewa musa Agano), na Yerusalem lilipokuwa Hekalu.

- Km ni suala Mungu african traditions kutoa machache km masai(ingawa nao hawana clear picture ni yupi) wana imani, vitu km Mungu. Mizimu(ambao ni Binadamu mfu,asiye na uwezo wa kushinda kifo), Na phusical objects.So tayari anajicontradict(Mungu mmoja) halafu unataka accomodate imani zinazobeba miungu kibao na nyingine zinaambudu vitu weak sana na vya kipuuzi.

- Kuna jamaa ametaja communism km sehemu(katumia depatment) ya ushetani(hapa katumia freemasons), hii imekuwa ni imani ya wasomi wengi na hata wahubiri wa kimarekani na marais wa marekani walio na misingi thabiti ya Ukristu walilifahamu hilo.Bahati mbaya sisi hatukulijua ndio maana hatujui wapi tulipopotea.Na hii notion in nguvu sana, na ukweli ndani yake.Utaona communist countries hazitaki Ukristu zaidi. wanajua Mungu atakuwa beyond state, wanajua binadamu ni selfish, na Mungu alipommilikish Abrahamu nchi alimwambia ni yake (siyo yenu), Wakristu wanaamini ktk Mungu.wao wanataka watu waamini ktk Dola kutatua kila tatizo(sisemi mahali dola ni Tatizo Km Tz na inahitaji tolea) .Ujamaa na Ukomunist una angalau mambo haya:
-Kutaka tawala fikra za watu.(kwa kuweka mipaka ya taarifa-angalia uhuru wa habari ktk nchi yoyote ya kijamaa dunia hata leo Urusi, uchina, Cuba, north korea, Tz, saudi, Sudan,Soamalia, iran etc.)

-Kutaka tawala maisha ya nje ya kila raia.(uvaaji, umiliki wa rasilimali) kuanzia kuishi ktk familia hadi maisha binafsi ya mtu.
- Wanapenda jenga vitisho ili kuleta hofu n akufanya watu waabudu state( na baadaye viongozi wake, angalia uchina na Korea watu wanaabudu kabisa viongozi waasisi wao)

Kuna mtu mwingine kasema hapa jamvini kuwa Chritianity ni ya Europe, Nadhani naye atasema Islam ni ya Europe.Kwani Uislam Ulipata nguvu ni ulipoingia Turkey(Turkey haipo rasm ktk jumuia ila ni sehemu ya Mabara mawili).Wafuasi wa Yesu ote walikuwa wayahudi Include Yeye mwenyewe.Ila ulipat nguvu baada ya Kuchukuliwa na wasomi wa Kigiriki na watawala ya Dunia ya kipindi Kile ambao walikuwa ni Warumi.

Tatizo alilonalo prof ni influence za kijamaa na kutoweza tenganisha ukristuw ake na mzungu.Ni kushindwa jua njia nyingi anazoweza tumia mzungu tawala dunia. wazungu wana brand(Nike, BWV, Boeing, wan bekham, wan Tiger Woods, walikuwa na akina Tyson, wan Jerem Lin, wana google,wana faceboook, twitter,wana Ipad, etc,wan CNN,weakleaks),anabaki kuwa victim wa communism.Mwl mwenyewe alikiri ujamaakushindwa kwa lugha ya kijanja ii aepuke changanya watu.Ndio maana wasomi wetu na viongozi wetu wapo ktk wrong tracks mara zote hasa linapokuja ktk kuangalia vitu kwa makini kimataifa na kitaifa.
mfano.
-Suala la libya akina Membe hata na wasomi wetu hawakulingalia vyema(Na ndio maana Salim A hakuweza pita ktk kuutafuta ukatibu wa UN).
-Suala la mashariki ya kati.
-Suala la N korea.
-Ktk suala la human rights.

Sasa km Kikwete anampeleka balozi wa Vatican Mwislam,na Saudi Arabia Mwislam.Wakati US walimweka Obama ktk enzi Watu wanagombania resources za Africa, wanampeleka mzaliwa wa Korea Kusini ktk bank ya Dunia.Wanao masupa star wa Kichina(HongKong,Taiwanese,na mainlanders) ktk NBA , wanafacebook,twitter,utube google (ina kila kitu wanachohitaji wapanga sera washington na kwa malkia), hawajapata picture kwa nini Vatican wana Telescope yao ya kunagalia anga za mbali wakati Muslims &Arabs wanatafuta silaha.
Napata shida kuelewa watu bora ktk ya wasomi wetu wanaweza tupaa nini(Hawa jamaa hawajui kila kitu unachokifanya kwa taifa unahitaji angalia beyond the box n aikibidi kila risasi ilenge zaidi ya ndege mmoja).NIMEWEKA THREAD INAYOHUSU VIONGOZI NA WAANDISHI WETU NA UWEZO WAO WA KUKUTA NA maswali magumu, maswali yanayoudhi ila yanalenga jibu yaliyopo moyoni kwa watu wengi.
 
ata mi mwenyewe ni mkristo jina sehemu kubwa na ya maisha yangu,tofauti yangu na baregu ni kuwa nina unafiki wa kwenda kanisani mara chahe kwa mwaka au siendi kabisa kwa mwaka mzima..i see apoint kwenye mistari ya baregu..
 
Ukisoma post ya 116 utaona nimeandika atheism, so hizo ni minor errors. Katika list ya departments za Illuminati nimetaja Fake Christianism, sasa kwa kutokujua umerefer fake christianism kama ndio christianity.

Sasa kwa taarifa yako hakuna Illuminati/FM ambaye ni Christ Follower. They have faked Christianity for a purpose...and many have been taken astray...note here, the devil is the father of lies.

Real Christianity ndiyo ikoje hiyo? na hiyo authenticity imeipataje? Kwa mujibu wa nani?
 
sasa inajauwaje unakuwa dogmatic na kitu ambacho hujui?
kama hakuna Mungu hiyo ultimate good ndio nini? imetoka wapi na inapimwaje?
dah yaani....

1. Mtu ambaye kashakubali hajui, hawezi kuwa dogmatic. Ilikuwa dogmatic inabidi ujue cha kuwa dogmatic about.

dog·ma

   [dawg-muh, dog-] Show IPA

noun, plural dog·mas or ( Rare ) dog·ma·ta  [dawg-muh-tuh] Show IPA.1.an official system of principles or tenets concerning faith,morals, behavior, etc., as of a church. Synonyms: doctrine,teachings, set of beliefs, philosophy.

2.a specific tenet or doctrine authoritatively laid down, as by achurch: the dogma of the Assumption; the recently defineddogma of papal infallibility. Synonyms: tenet, canon, law.

3.prescribed doctrine proclaimed as unquestionably true by aparticular group: the difficulty of resisting political dogma.

4.a settled or established opinion, belief, or principle: theclassic dogma of objectivity in scientific observation.Synonyms: conviction, certainty.



2. Ultimate good umeitaja wewe, labda nikuulize wewe, ultimate good ni nini? Mie siifahamu. Yaani concept ui-inroduce wewe mwenyewe, halafu maswali yake uniulize mie? Haki hiyo?

Mie nikikuuliza msakunjala ni nini, imetoka wapi na inapimwaje, kabla ya kukueleza msakunjala ni nini utanielewa?

Unafanya assumption tu kwamba kila mtu anaaamini katika kuwepo kwa "ultimate good" tu kama ulivyofundishwa wewe?

Usi assume kwamba kila mtu anaamini unavyoamini wewe, na kabla ya kutoa maswali kuhusu "ultimate good" kama vile "ultimate good" inakubalika "by fiat", kubaliana na unayemuuliza kwanza kama anaamini katika "ultimate good".
 
Jamani naomba mwenye jibu anipe.Nani anaweza kuthibitisha kuwa Mungu hayupo?Je yupo anaeweza kuthibitisha kuwa Mungu yupo?

Huwezi kuthibitisha kwamba kitu chochote hakipo, mie naweza kukwambia kwamba kuna kabila la Wachagga wenye miguu mitatu wanaishi juu ya mlima Kilimanjaro, na nikikuambia unithibitishie kwamba hawapo huwezi.

Maana hata ukipanda mlima na usiwaone hujathibitisha kwamba hawapo, inawezekana wamekukimbia hawataki kuonana na watu wenye miguu miwili.

kwa hiyo huwezi kuthibitisha chochote hakipo.

Lakini, nikikwambia kuna kabila la wachagga wenye miguu mitatu wanaishi juu ya mlima Kilimanjaro, ukapanda, ukawaona, ukamkamata mmoja, ukamfanyia uchunguzi wa kina na madaktari wazoefu, ikakubalika na waganga wakuu wa dunia yote kwamba ana miguu mitatu, utakuwa umeonyesha kwamba kuna wachagga watu wenye miguu mitatu wanaishi juu ya mlima Kilimanjaro.

Burden of proof ni kwa yule anayesema kitu kipo, akionyeshe.

Yule anayesema hakipo kazi yake ni ndogo tu, kusema "hakipo, kama kipo nionyeshe".

Kusema mungu yupo ni sawasawa na kusema kuna Wachagga wenye miguu mitatu wanaishi juu ya mlima Kilimanjaro. Huwezi ku disprove kwamba kuna wachagga hawa kama vile ambavyo huwezi ku disprove kwamba mungu yupo.

Lakini kama kweli wachagga hawa wapo unaweza ku prove, na kama kweli mungu yupo burden of proof ni kwa wale wanaosema yupo watuonyeshe kwamba yupo, si kwa wale wanaosema hayupo watuonyeshe kwamba hayupo kwa sababu tushaona hili haliwezekaniki.

Na mie hata nikisema "sijui kama yupo au hayupo" bado walio na kazi ya kunionyesha kitu ni wale wanaosema yupo.
 



Professing to be wise Baregu has become a fool....read for details......Roman 1:22..........everything he believes in, Christ Jesus, his God espouses the same commandment....peruse for further illustrations....Mathew 23:23

Hivyo vitabu vimeandikwa na nani?
 
ukisoma historia ya imani za kibantu kabla ya uislam na ukristo utagundua kulikuwepo mapungufu ambayo yalihusisha kudhulumu,kutupa watoto walemavu,kukeketa wanawake na hizi imani za kutumia viungo vya albino ili kupata utajiri ni sehemu ya imani zetu za asili,sasa je profesa anajitenga na dini za nje ili atende mema au naye aungane na wanaochuna ngozi na kuuza viungo vya albino? Ukweli ninaoujua ni KILA ATENDAYE DHAMBI NI WA IBILISI KWA KUWA YEYE ALIZITENDA TOKEA ZAMANI.na ukisoma vitabu vya dini utagundua shetani alikuwepo kabla ya kuwepo ukristo na uislam Kwa hiyo ni wazi aliwatumikisha hao ambao hawakuwa na dini.Najiuliza swali hili profesa amekataa kushika kitabu cha Mungu ili aje atende haki au afanye uhalifu bila nafsi yake kumhukumu?kwa sababu ameacha unafiki unaofanywa na wengi wanaoapa kwa kushika vitabu kisha wakafanya kinyume,Na kama atetenda haki atakuwa anamuiga Mungu au shetani maana ingekuwa vyema kujiahinisha ili akifanya vyema tuige mfano wake.Profesa sio wa kwanza kuapa kwa njia hii,alitanguliwa na Kingunge Nmwilu,Vipi story ya ubungo bus terminal?ambapo ilikuwa ni ufisadi kwa kwenda mbele. mi nasema shetani hana sura ukijilegeza anakuvaatu na wewe mwenyewe unabaki kujishangaa haijalishi una dini au huna.Mimi ni mpenzi wa busara za Prof. Baregu ila ili limenishangaza,lakini namtakia kila la kheri asimamie haki tupate katiba itakayoleta maslahi kwa watanzania wote.

Hizo imani za ukristo na uislam za leo hazina makosa?
 
With all due respect to Baregu. I know he is an expert in politics and he has made a name in it, I am afraid to say that he should not start to be intoxinated with his success and think that he is an expert in everything. He wears political spectacles and he views spiritual matters politically. Baregu needs to understand that spiritual affairs is a different area, he has a hurmer in his hand and he should not think everything is a nail. Politics has it catch words like western country, developed country, African and nationalism etc the area where Baregu is an expert. The converse of it in spiritual world, phrases like faith, love and spirit, the area which Baregu is dead ignorance. Baregu should stop indulging in areas he is ignorance with lest him misuse the trust he has achieved in politics to mislead innocent people who have religious faith.

I rest here;

Baregu anatumia uhuru wake wa kikatiba wa kuamini/ kutoamini dini anayoitaka. Lawama kwake zinaonyesha kutoelewa msingi wa uhuru huu ambao kila mtanzania anao.
 
...... Hata kama Mungu yupo namna ya kumfikia siyo kupitia hizo dini za kigeni....
-Ni haki ya mtu kuamini kila kiaminicho.
-Ni haki kutoamini chochote.
-Hata haya mamabo ya dini zote kuwa ni njia tofauti tuu ya kunfikia Mungu,is a toatala lie kutoka kwa politically right fools.Ukisoma theology ya kila dini.Si kweli wanamaanisha Mungu Mmoja.Unless huyo Mungu amejichanganya.
-Ni busara kuamini kitu kinacho, unachokifahau,kitu unachoelwa principals zake, na pincipal zake ziwe clear,ili baadaye watu wanaokuzunguka waweze heshimu mipaka yako na kukupa mamlaka wakiamini kuwa utaenda ktk njia zinazoeleweka.Ni sidhnai km ktk dini au utamaduni kuna free style.Especially ukishakuwa ktk position fulani ktk jamii ambayo unaweza influence watu.Kutoambulika ktk jamii nyingi makini kunakuzuia kuongoza watu.Kumjua Ariel Sahron kuwa ni radical kunakufaa sana kujua ,kuliko kuwa na viongozi km wiper ambao huna hakika km leo atakuwa kwa jinsi alivyokuwa jana.Bush pamoja na kuwa alichukiwa ila waliomjua walijua anachosema hakipindi.Watu wakiahidiwa madaraja na mtu asiyesimamia kauli yake,naoaka leo wanasubiri.
-UKISHAINGIA KTK POLITICS UNPREDICTABILITY NA SIJUI PRIVACY SI ISSUE ZA KUJIFANYA NI PERSONAL.NDIO MAANA OBAMA ALIPITIA MICHUJO MIKALI ILI AAMINIKE,ILA BADO KILA ANACHOKIFANYA WATU WENGINE BADO WAMESHIKILIA ROHO ASIJEKUWA SIYE WALIYEMTEGEMEA


... Mpagani kwa maana heathen kwa lugha ya kiingereza ni yule asiyetambua uwepo wa Mungu...
- Hakuna neno sahihi kwa Atheist ktk kiswahili (kama lipo waswahili watupe)kwa vile ktk black Africans ,miaka ya nyuma haikuwa kitu rahisi umpate mtu asiyeamini chochote kihusianacho na spirit yoyote.Katik miaka ya karibuni.

- Mpagani kwa tafsiri ya jumla nimtu anayeamini imani tofauti na Abrahamic religions(Judaism,Christianity and Islam), waislam wanawataja km Mushrikeen/kafir.Wote wakiwa na maana ya mtu anayemshirikisha Mungu(Yahwe) na miungu wengine au kuamini vitu vingine.(Hindu, Taoism,budha,shintoism, africa beliefs).


ANGALIZO.

Ila hata hao wajitao atheist,si kweli ni si waamini wa kitu fulani. Wakomunist wengi nao wanapenda itambulisha kuwa hawaamini Mungu yeyote,ila waliabudu viongozi wao na kuamini serikali, wasioamini uwepo wa Mungu wanaamini kutokuwepo kwake.Kwa hiyo nao wana imani fulani.Wapo km akina Kingunge wanamini ktk ktk state/chama/na katiba.

Watu wengine wanakosoa hiyo approach kwa vile unaamini kwa vitu ambavyo vinavyoweza kuwa chini yao na hivyo haviwapi hope wala malengo ya juu.So watu wenye kuamini uwepo wa Supernatual Power na kuwa life zaidi ya maisha haya,kwao sky is the limit kwao kufanya vitu vya muda mrefu nijambo jema. Judeo Christian Europe ikiwa na motisha na hope walijenga majengo ya kudumu, waliijenga ulaya na waliwekeza ktk tafiti za muda mrefu.Hata Islamic society walikuwa na malemgo marefu yanayoenda zaidi ya maisha Muislam mmojmmoja.

Kuamini kitu kikubwa kuliko binadamu,kuamini kuwepo kwa maisha zaidi ya haya na kuwa na bidii kunajenga chance ya kufanikia hata hapa duniani.Ndio maana watu mashaiki ya mbali waliofanikiwa sana ,wamekuwa na dini.Ingawa nchi zao zimepiga sana vita dini za Kigeni.Ila ukuaji wa dini ktk uchina,hong kong, south korea nimkubwa sana.Na communist countries zimefail kwa kuwa Godless.Binadamu hakuumbwa kubaki bila cha kuamini.

Kuna kitu kigumu watu kuamini,ila watanzania wengi bado wan chembechembe za kuabudu serikali, watu wengi utawasikia wakidai serikali haijawatendea vitu fulani(Kuanzia afya, michezo , ulinzi etc).
 
somehow!
we can now compare the No. of muslims and Christians

You will never get the correct answer. Just try to think how Christian are Christians in Tanzania? How islamic are moslems in Tanzania? The answer you will get will be terrible. Or just go to prisons and try to get the number inmates, there will be more Christians and Moslems than atheists. I would say that Profesa is being more realistic than hypocritical. Tnasikia kila siku wanasiasa mafisadi wanakuwa mstari wa mbele kwenda makanisani na misikitini, wengine hata tunasikia kuwa ni wauaji. Are they Christians? Muslims? or just "Christians" and "muslims". Ukisikia issue ya dini Tanzania ni ulaghai tu, na unaweza kuona kuwa wao wanauhusiano mzuri zaidi na shetani kuliko Atheists.
 
Real Christianity ndiyo ikoje hiyo? na hiyo authenticity imeipataje? Kwa mujibu wa nani?

Ndio ile iliyokuwa authored na Yesu na ameweka criteria za kujua ipi ni ya kweli na ipi ni fake, na ni rahisi kujua ukiangalia criteria.

Authenticity ni Yesu mwenyewe na kwa mujibu wa Yesu mwenyewe. (HARD MEAT TO CHEW) kama hujakidhi vigezo na masharti.
 
Is it a big deal?
Big time , to me its a big deal. An intellectual from an oppressed society economically expressing his mind freely without fear or any hint of mental slavery or bondage from the neocolonists .
After all our currents beliefs and religions inclinations are nothing but historical,colonial and demographic accidents.
 
Back
Top Bottom