Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Kuikana bible wewe ni ant crist n may b u ar frmsn
ha ha ha! Heshima mkuu kiranga! Even if commnt yako ni non sense but umenichekesha sana and u made my night funy,
Tanx a lot mkuu!
Wewe unaonekana ama ni mkristo ama ni muislamu. Umejinyima nafasi ya kukubali kuwa Mungu anaweza akawa na fomular tofauti ya kumuelewa. Si lazima fomular hiyo iwe ni ile ya Biblia au Qur an. Unweza ukute fomular ni kufanya ibada chini ya miti mikubwa. Funguka uwe open minded. Mungu yupo alright. Kuna ulazima gani awe ni huyo anayetajwa na Wakristo? Au yule anayetajwa na Waislamu, mungu ambaye ni kwa maono ya culture tatu tu za binadamu: Myahudi, ambaye ndiye alibuni wazu la huyo Mungu kwa mara ya kwanza, kisha culture za Wazungu na Waarabu waliopokea huyo Mungu wa Wayahudi na kukarabati namna ya kumfikia, kila mtu kadri ya taratibu za mila zake.
Wewe unaonekana ama ni mkristo ama ni muislamu. Umejinyima nafasi ya kukubali kuwa Mungu anaweza akawa na fomular tofauti ya kumuelewa. Si lazima fomular hiyo iwe ni ile ya Biblia au Qur an. Unweza ukute fomular ni kufanya ibada chini ya miti mikubwa. Funguka uwe open minded. Mungu yupo alright. Kuna ulazima gani awe ni huyo anayetajwa na Wakristo? Au yule anayetajwa na Waislamu, mungu ambaye ni kwa maono ya culture tatu tu za binadamu: Myahudi, ambaye ndiye alibuni wazu la huyo Mungu kwa mara ya kwanza, kisha culture za Wazungu na Waarabu waliopokea huyo Mungu wa Wayahudi na kukarabati namna ya kumfikia, kila mtu kadri ya taratibu za mila zake.
"muda mwingine ukimya ni jibu tosha kwa mpumbavu kama ww"
Unajuaje kwamba mungu yupo?
The notion that Christian GOD exist came from Europe
The notion that Islam ALLAH exist came from Middle east
The fallacy that GOD does not exist came from abroad (Europe, America etc)
So whether you believe or not believe you are still under the influence of Europe or America. Usitudaganye wewe bado ni mtumwa wa fikra za hao hao wazungu, hata hiyo statement ya kuhusu nini unaamini tushaiona kwa ''wazungu'' kibao........wasioamini. Ungesema unaamini mizimu angalau ungekuwa na hoja...
Swali serious sana hilo, kama umeliona la kuchekesha ni kwa sababu tu ushazoea kuchekelea mambo ya hatari.
Mi naamini Prof. ana kitu anakificha maana kama ni imani yake hiyo basi tujue kuwa dini na maadili ni ndugu na kama ni uchakachuaji wa maadili si kwa sababu ndiyo lengo la dini. Kuna watu wanatumia dini vibaya na wako wanaotumia dini vizuri na wakawa faraja kwa jamii na kwao wenyewe. Bado naamini Tanzania inahitaji kiongozi mcha Mungu na mwenye kuogopa pia uwepo wa Mungu. Asiyeamini katika Mungu anaamini anaamini katika akili yake na kichwa chake na huo ni UDIKTETA Mkubwa.
Swali serious sana hilo, kama umeliona la kuchekesha ni kwa sababu tu ushazoea kuchekelea mambo ya hatari.
Swali serious sana hilo, kama umeliona la kuchekesha ni kwa sababu tu ushazoea kuchekelea mambo ya hatari.
Muda mwingine mpumbavu huficha upumbavu wake kwa ukimya, na kumuita mwenzake "mpumbavu".
Kama ukimya ni jibu tosha kwa upumbavu wangu, umeshindwa kunipa jibu hilo maana umenijibu.
Nani mpumbavu hapa sasa?
Ukisoma tena topic, utaona kwamba Baregu Hajamkataa Mungu.Huyu dingi anashangaza sana ni wazi kwamba CHADEMA walishinda kwa sababu wana MUNGU na CCM wana FEDHA iweje tu baada ya Uchaguzi baregu anamkataa Mungu aliyeipa CDM ushindi Arumeru? Falsafa yake ya kipagani abaki nayo humo humo ila akija Arusha ambako watu wengi wanamheshimu Mungu hatapata support ya upagani wake. kam siyo mnafiki na wakutaka kumfurahisha Devil basi angekuja na kitabu cha hiyo dini yake ili tujue anachokiamini. Lazima at some point binadamu walikuwa wanaamini kitu, iwe miti, mawe n.k. kama ana ujasiri angeleta hata jiwe au kipande cha mti basi tujue anaamini nini?. kwa hili prof. anaonekana kuyumba simpi support hata kidogo na CDM katu msiendekeze hii imani ikataeni kwani ni KWA SABABU YA KUMTUMAINI MUNGU MMEFIKA HAPO MLIPOFIKA. Mkikosea kumfuatisha Baregu mtatetereka within no time. Lets keep our faith on God tuache ujinga.
Hii imetoka kwenye gazeti la kiingereza. Mleta mada kashindwa kuitafsiri kwa kiswahili..Jamani,hivi ni lazima kuandika kwa Kiingereza.Kwanini usitumie lugha unayoiweza?
Am interested in knowing how the professor has endocrinate his off springs into his subscription and promote their spiritual and their morals well being."I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..
There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For
example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."
Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.
Bila shaka tumepata na upande wa pili na sasa maswali yanaweza kupungua.
Ukisoma tena topic, utaona kwamba Baregu Hajamkataa Mungu.
Mafisadi wote wanashika vitabu vya dini