cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
dah sema hii hoja huwa inaniumiza kichwa mimi ni mkristo na naamini ililetwa na kristo miaka 2000 nyuma na uislam ni miaka 700 ka sikosei..sasa imagine wachina wanaabudu ubudha toka miaka 4000 nyuma na wahindu ndo nyuma zaidi kwani wao ndo walipeleka uhindu china ikazaliwa budhism...ingawa wanaabudu hadi ng'ombe cha kujiuliza kwann mtu anakuwa na iman miaka yote hii kama anachoamini hakimake sense ndo maana nimekuja na conclusion ya kuheshimu dini zote dunianu zinazoamin katika Mungu mmona kasoro Wanaoabudu evil things either uoneve,ushetan etc