Prof. Baregu aeleza kwanini hakutumia Biblia kuapa

dah sema hii hoja huwa inaniumiza kichwa mimi ni mkristo na naamini ililetwa na kristo miaka 2000 nyuma na uislam ni miaka 700 ka sikosei..sasa imagine wachina wanaabudu ubudha toka miaka 4000 nyuma na wahindu ndo nyuma zaidi kwani wao ndo walipeleka uhindu china ikazaliwa budhism...ingawa wanaabudu hadi ng'ombe cha kujiuliza kwann mtu anakuwa na iman miaka yote hii kama anachoamini hakimake sense ndo maana nimekuja na conclusion ya kuheshimu dini zote dunianu zinazoamin katika Mungu mmona kasoro Wanaoabudu evil things either uoneve,ushetan etc
 
huo ndo upuuzi kabisa na UMBUMBUMBU uliokubuhu! Hivi kweli mtu na akili zako humwamini Mungu wa kweli? Mungu yule alotuumba na Mungu yule anayetuvumilia kwa dhañbi na makosa yetu kila leo! Hii inashangaza sana kuona mtu na elimu yake kubwa lakini anakuwa kama mwendawazimu vile, how comes mwanadamu ulieumbwa na udongo leo hii usimwamini baba yako alokuumba? In Spirutual research taifa la urusi lilianguka kiutani utani koz hawakumwamini Mungu wa kweli hatimaye mahasimu wao wa magharibi waliijua siri ya mafanikio ambayo ni kumwamini Mungu wa kweli'
MTU YEYOTE YULE HATA KAMA AWE NA UMAARUFU NA ELIMU KUBWA KIASI GANI ALAFU HAMWAMINI MUMGU WA KWELI, HUYO NI MJINGA NA MPUMBAVU KABISA KWANI NI HERI UWE MASKINI NA HUJASOMA LAKINI UNAMWAMINI MUNGU"

Mkuu it seems you are still a kid, you dont have a convincing language....you dont have an attractive langauge......you just say anathing out of your mouth....and most of the time is just abusive and disgusting langauge

Hivi dini hizi hizi ndio hawa hawa wezi, wabakaji, mafisadi, wachawi, waongo, wauaji..yet these people are representing islamic and chrstianity?? realy?
 
huo ndo upuuzi kabisa na UMBUMBUMBU uliokubuhu! Hivi kweli mtu na akili zako humwamini Mungu wa kweli? Mungu yule alotuumba na Mungu yule anayetuvumilia kwa dhañbi na makosa yetu kila leo! Hii inashangaza sana kuona mtu na elimu yake kubwa lakini anakuwa kama mwendawazimu vile, how comes mwanadamu ulieumbwa na udongo leo hii usimwamini baba yako alokuumba? In Spirutual research taifa la urusi lilianguka kiutani utani koz hawakumwamini Mungu wa kweli hatimaye mahasimu wao wa magharibi waliijua siri ya mafanikio ambayo ni kumwamini Mungu wa kweli'
MTU YEYOTE YULE HATA KAMA AWE NA UMAARUFU NA ELIMU KUBWA KIASI GANI ALAFU HAMWAMINI MUMGU WA KWELI, HUYO NI MJINGA NA MPUMBAVU KABISA KWANI NI HERI UWE MASKINI NA HUJASOMA LAKINI UNAMWAMINI MUNGU"

Mungu wa kweli ni yupi? Wa waislamu? Wa Wakristo? Wa Wayahudi? Wa Wa Buda? Wa Wazoroasti? Wa Warasta? Wa Wanyeramba? Wa Wanavajo?

Unajuaje kama katuumba? Unajua au unaamini? Unajua tofauti kati ya kujua na kuamini?

Kama mungu katuumba na kumjua ni kwa neema, utatulaumu vipi kwa dhambi? Kama mungu kaumba vyote, je kaumba dhambi nayo? Uwezo wa kutenda dhambi umetoka wapi? Kama haujatoka kwa mungu, mungu hakuumba vyote. Kama umetoka kwa mungu, utaweza kumlaumu binadamu kwa kutenda dhambi?

Kati ya anayeuliza maswali magumu na asiyekubali majibu ya juu juu na yule anayelazimisha majibu ya mapokeo yasiyo na mshiko wala yasiyojitosheleza, nani anakaribia uandawazimu?

Una ushahidi gani kwamba mwanadamu kaumbwa kwa udongo?

Una hakika kwamba Urusi ilianguka kwa sababu hawakumuamini mungu?

Mbona Uchina ni taifa lisiloamini mungu na mpaka leo linatisha kiuchumi? Mbona unachagua chagua cha kusema katika hili? Ukisema tu yanayokubaliana na hoja yako. Mbona European Union leo wana taabu za kiuchumi ingawa wanaamini mungu, na taifa la China haliamini mungu lakini ndilo hata wachumi wanasema Wachina wanaweza kuwakopesha hao wazungu?

Mungu wa kweli unamtajataja bila ya kumuelezea, huyu mungu wa kweli ni yupi? Ana characteristics gani?

Ndiye huyu huyu tuliyeletewa na wakoloni walipokuwa wanataka kutunyanganya nchi yetu?

Ndiye huyu huyu aliyetumika katika utumwa?

Ndiye huyu huyu aliyetuambia kwamba anawapendelea watu wake "wateule" wana wa Israel na sie wengine Wamakonde ni pretty much "second class citizens" katika macho yake?
 
Jamani,hivi ni lazima kuandika kwa Kiingereza.Kwanini usitumie lugha unayoiweza?
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in Africa..Africans ve abondoned their indigenous spiritualism from their own 'Gods' and what they do now is nothing other than hyprocricy..

There is spiritual push from the devevoloped world but still some respect their denominations.For example, Hinduism is still playing a big role and most respected by Indians communities."

Baregu subsribes to humanity,justice,equality ,clean environment, fairness and equity,between community and conscious building.
Source:The African,Monday,April 16 2012.

Bila shaka tumepata na upande wa pili na sasa maswali yanaweza kupungua.
 
Du, wewe ni mzembe wa kuelewa at!!!! Tuoneshe ni wapi prof amesema amwamini Mungu au kwakuwa kaandika Kiingereza cha k.prof? Kasema hivi Mungu hayuko kwenye biblia au kurani bali mungu yuko kokote, yaani mungu ni mungu na yeye anamwamini pia.

Sasa utwambie wapi cdm walisema wameshinda kwa Biblia au kurani. Imani yako isikufanye uwe MPUMBAVU. Mungu si kifaa kinachokumbatiwa na wakristo wala waislam, Mungu ni wa Wahindu,....... wapagani.......!

Wewe ni kiongozi wa VIPOFU huwezi mwongoza mwenye macho ya kuona kama mimi kawaongoze vipofu wenzako. Huwezi mtaja Mungu from nowhere lazima kuna misaafu hata wahindi wana misaafu ambayo ina waelekeza jinsi ya kumwabudu Mungu wao. Kama wewe nawe ni mpagani endelea kuwa mpagani unaumia nini ninapoongea fact. Kama soma Mungu hujidhihirisha kwa maneno yake na maneno yake yako kwenye msaafu. Imani ya mtu na mwoongozo kwa Mungu Mungu wake hutokana na kusoma maandiko kama Bible na Quran na ndo maana watu wanatumia hv vitabu wakati wa kuapa kama basis ya wanachokiamini.
 
Hapo hata mimi nampa support sana hapana taka unafik,ila we believe in one GOD
UNA UHAKIKA kuwa tunaamini MUNGU mmoja? fikiri mara mbili, mimi siamini hicho kitu cha kuamini MUNGU mmoja, hata wale unaosali au kuswali pamoja na jamaa zako usiamini kuwa wote mko dini moja. Nimejifunza mabo mengi sana kutokana na msiba wa Kanumba. Tangu siku hiyo hata kama tuko dini moja usiniamini sana kuwa niko dini moja na ww

kuna miungu inaabudiwa na kusujudiwa na kundi fulani ambayo ww huenda sio muumini wake. Usiamini kila mtu kuwa mko dini moja. Fikiria jinsi wanaapa pale ikulu na wengine wanaapia ktk uwanja wa Taifa ili Taifa zima liwaone kuwa watakuwa waaminifu kwa Taifa lkn ni wezi wa kufa mtu, wanaiba mabilioni ya sh. na hawakamatwi na hizo pesa wanampeleka sadaka kwa mungu wao, kama sivyo tungeona viwanda wanajenga kuwasaidia ajira watz. MUNGU INUSURU TANZANIA
 
Napingana na wanaomshambulia Prof. Baregu. Namuunga mkono Baregu kwa kuwa mkweli kwa anachokiamini, amejiweka huru mbele ya jamii inayotetea na kupigania kitu wasichokielewa. Niseme wazi kuwa wanaomshambulia Baregu ni wanafiki sana maana sijawahi kuwasikia watu hao wakipinga mifumo inayokataa uwepo wa mungu. Sayansi ya asili (phizikia, kemia na baolojia) ni elimu iliyojipambanua wazi kupinga kabisa uwepo wa mungu lakini watu kwa miaka mingi wamehangaika kukumbatia elimu ya sayansi, nilitarajia kabla ya kumshambulia Baregu wangeanza na kupiga vita sayansi na hata tawala kama vile za china na korea kaskazini. Wasingeishia hapo wangepinga hata zile nchi zinazosema hazina dini kama Tanzania maana kama dini ni kitu cha msingi ktk maisha ya binadamu basi lazima serikali ilitakiwa iwe na dini ili iwaepushe watu wake dhidi ya jehenamu.
Baregu ni muumini wa mungu wa kweli na haamini ktk management za kidini duniani ambazo zimeimarisha nguvu ktk kuhamasisha michango ya kifedha ili kujineemesha, Baregu amekataa kutishwa na vitu visivyoonekana na kwa kuwa yuko ktk nchi inayoruhusu ktk uhuru wa kuamini na kuabudu mwacheni aamini anavyoamini kama nanyi mnavyoamini.
Baregu anaamini kuna mungu mmoja tu, mie naamini kuna miungu wawili: mungu wa kweli ambaye ni muumba, mwenye huruma, upendo, mvumilivu na mwenye hekima na busara, mungu wa pili ni yule wa kutengenezwa na binadamu huyo ana hasira anaweza kuteketeza viumbe vyake mwenyewe enzi za rutu na nuhu, anayewakomoa wazinzi kwa kuleta ukimwi, anayeruhusu kuua kwaajili ya dini anayewapa thawabu wanaojilipua na kuua waumini wa dini nyingine. Katika hao wawili namwamini yule muumba na kwa imani yangu kitabu sio ishu.
 
Nakubaliana kabisa na wewe Shardcole. Mungu yupo, na ni Mungu mwenye nguvu. Swali: How should we believe in this God? Through churches and mosques? au?

Mungu wa kweli ni mmoja 2, alowaumba waislamu ndio alowaumba wakristo but take this as a quiz then usome Bible and quaran alafu takonclude mwenyewe wapi panakufaa but most nikuamin 2 sometyms inatosha kuliko kuwa kama karl max na wakina kingunge kwani inasikitisha sana hii dunia imewazoa wengi na kujisahau na kutofahamu kama tupo hapa duniani just 4 tempo, wameshindwa kujiuliza kuwa baada ya hapa kama kuna mahali ambapo tutakiwa tukatoe hesabu ya matendo yetu ambapo hatajalisha kuwa ww ulikuwa nani duniani kwani wote 2talie on the same judgement line and whatever kama ullikuwa tajiri ama maskini.
 
Mungu wa kweli ni mmoja 2, alowaumba waislamu ndio alowaumba wakristo but take this as a quiz then usome Bible and quaran alafu takonclude mwenyewe wapi panakufaa but most nikuamin 2 sometyms inatosha kuliko kuwa kama karl max na wakina kingunge kwani inasikitisha sana hii dunia imewazoa wengi na kujisahau na kutofahamu kama tupo hapa duniani just 4 tempo, wameshindwa kujiuliza kuwa baada ya hapa kama kuna mahali ambapo tutakiwa tukatoe hesabu ya matendo yetu ambapo hatajalisha kuwa ww ulikuwa nani duniani kwani wote 2talie on the same judgement line and whatever kama ullikuwa tajiri ama maskini.

Am sorry to disappoint you, lakini kuna miungu na MUNGU wa miungu yote ambae ni MUNGU wa Israel!
 
Mkuu it seems you are still a kid, you dont have a convincing language....you dont have an attractive langauge......you just say anathing out of your mouth....and most of the time is just abusive and disgusting langauge

Hivi dini hizi hizi ndio hawa hawa wezi, wabakaji, mafisadi, wachawi, waongo, wauaji..yet these people are representing islamic and chrstianity?? realy?

we umeona ufisadi na ubakaji ndio dhambi pekee?! Ni heri mtu wa namna hiyo kwani ipo siku atabadilika 2 kuliko ww ambaye usieamini kbisa kwani utafananishwa na msichana mzuri lakini asiyezaa,
Sulemani kupitia mithali anasema "mjibu mpumbafu kwa upumbafu wake" but mi sijafanya hivyo lakini unatakiwa ujue kwamba maisha haya ya dunia is jst tupo hapa 4 tempo so kwa wapumbavu kama w msioamini kitu ni sawa na mizoga ya tembo.
MUNGU KWANZA.
 
Am sorry to disappoint you, lakini kuna miungu na MUNGU wa miungu yote ambae ni MUNGU wa Israel!

Kwa nini mungu wa miungu yote awe mungu wa Israel na si mungu wa Wakurya? Huoni kwamba mungu akiwa wa Israel atakuwa hawatendei haki Wakurya?
 
Huyu ni mpagani wa wapagani. Aliowafundisha pale UDSm wanafahamu vizuri. Yeye na Kingunge ni kundi moja.
usimsahau jenerali ulimwengu na salim ahmed salim pia marhemu Haroub othman ambae hata hivyo mwishoni mwishoni kabla ya kifo chake alianza kuonekana misikitini
 
Kwa nini mungu wa miungu yote awe mungu wa Israel na si mungu wa Wakurya? Huoni kwamba mungu akiwa wa Israel atakuwa hawatendei haki Wakurya?

ha ha ha! Heshima mkuu kiranga! Even if commnt yako ni non sense but umenichekesha sana and u made my night funy,
Tanx a lot mkuu!
 
Mungu wa kweli ni mmoja 2, alowaumba waislamu ndio alowaumba wakristo but take this as a quiz then usome Bible and quaran alafu takonclude mwenyewe wapi panakufaa but most nikuamin 2 sometyms inatosha kuliko kuwa kama karl max na wakina kingunge kwani inasikitisha sana hii dunia imewazoa wengi na kujisahau na kutofahamu kama tupo hapa duniani just 4 tempo, wameshindwa kujiuliza kuwa baada ya hapa kama kuna mahali ambapo tutakiwa tukatoe hesabu ya matendo yetu ambapo hatajalisha kuwa ww ulikuwa nani duniani kwani wote 2talie on the same judgement line and whatever kama ullikuwa tajiri ama maskini.



Wewe unaonekana ama ni mkristo ama ni muislamu. Umejinyima nafasi ya kukubali kuwa Mungu anaweza akawa na fomular tofauti ya kumuelewa. Si lazima fomular hiyo iwe ni ile ya Biblia au Qur an. Unweza ukute fomular ni kufanya ibada chini ya miti mikubwa. Funguka uwe open minded. Mungu yupo alright. Kuna ulazima gani awe ni huyo anayetajwa na Wakristo? Au yule anayetajwa na Waislamu, mungu ambaye ni kwa maono ya culture tatu tu za binadamu: Myahudi, ambaye ndiye alibuni wazu la huyo Mungu kwa mara ya kwanza, kisha culture za Wazungu na Waarabu waliopokea huyo Mungu wa Wayahudi na kukarabati namna ya kumfikia, kila mtu kadri ya taratibu za mila zake.
 
Back
Top Bottom