Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Yaani umeskia Assad kasema:

".... Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!..."

Basi tuseme mwenzetu una sikio zuri sana. Maana angesema hivi kungekuwa na nyuzi kibao humu zikichanganua hii hoja. Ni wewe tu.
Akili yako fupi, wenye akili walielewa alichomaanisha! Siyo lazima aseme china ili uelewe anamaanisha wachina au hujui mradi huo unamkataba na wachina na jamaa yako JK alisha umwagia wino wake wakati na huyo profesa maji taka akiwa CAG! Hujui hayo eeh😡! Usinichoshe😜!
 
Majitu Majinga kama Haya.. huwa hayakosi.
 
Peleka takwimu uchwara hizo kwa mapungu wenzio! JK alipandisha uchumi kwa kuruhuru mchwa wake wale, huku yeye akiruka kutoka nchi moja kwenda nyingine kupiga picha na PDD na kuhudhuria misiba😜😂🤣😂

Peleka takwimu uchwara hizo kwa mapungu wenzio! JK alipandisha uchumi kwa kuruhuru mchwa wake wale, huku yeye akiruka kutoka nchi moja kwenda nyingine kupiga picha na PDD na kuhudhuria misiba😜😂🤣😂!?
Jifunze nilichokufundisha kitakusaidia!
 
Opportunistic prof! Watu kama hawa mama yetu Samia ajiepushe nao kabisa kama ukoma! Watampaka matope kwa kumvuruga kwa majina ya 'uprofesa'!
Kwa Hivyo awe karibu na Ndugai, Msukuma na yule wa Njombe.
 
Akili yako fupi, wenye akili walielewa alichomaanisha! Siyo lazima aseme china ili uelewe anamaanisha wachina au hujui mradi huo unamkataba na wachina na jamaa yako JK alisha umwagia wino wake wakati na huyo profesa maji taka akiwa CAG! Hujui hayo eeh😡! Usinichoshe😜!
Wewe first year. Sasa kama umeshindwa kumuelewa Assad, basi ujue kusikiliza kwako kwa makengeza kutakufelisha.
 
Anatumika na Nani?.Jamani mtu mzima atumike na nanai?.huu usemi unaniudhi balaa.mtu anatumikaje?
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Nawe MaTaGA uliyekula buku 7 kwa kuPost uzi huu hujitambui au umetumiKa??
 
Eti opportunist, unaelewa kwamba mtu akishakua CAG hawezi tena kupewa nafasi yeyote ya utumishi wa umma? Unaelewa kama Assad ni vice chancellor wa chuo Kikuu cha Wasilamu cha Morogoro, sasa atafute nin!
Mbona ameshindwa kuendelea hicho chuo cha waislamu kama kwli ana mawazo ya kujenga. Chuo kimebaki business as usual.
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Sawa
Screenshot_20210411-180847.jpg
Screenshot_20210411-180902.jpg
Screenshot_20210411-180913.jpg
Screenshot_20210411-180743.jpg
 
Kuandika tu ni changamoto kwako halafu unampinga profesa. Hujui aliupataje na unadiliki kumdhihaki kwa hoja zako dhaifu kabisa.

Zama za mapambio zimekwisha kila mtu anatoa dukuduku lake sasa. Akisifia upuuzi "mzalendo" akisema mabaya na ubadhilifu unaofanywa *Anatumika", kwanini hamjiamini. Nenda kamsikilize na Mh. Mbowe upate kiwewe zaidi uzidi kuongeza idadi ya watu wanaotumika.

Prof. Assad alikua CAG anaongea kwa kuzingatia uzoefu aliokua nao na pia elimu aliyonayo. Sasa wewe mnyonge hiyo degree yako ya ualimu wa kiswahili unakuja kumchallenge profesa wa masuala ya uchumi na uhasibu kweeeliii. Jama jama tuwe na mipaka na ukosoaji ukizingatia taaluma zetu tulizobobea.
 
nasikia lumumba wanampango wakuwapokonya hizi tecno
 
Huyo Assad ni kichwa sana.

Huwa anawafumbua waislamu kwa mambo mengi sana pale chuo cha kiislamu Morogoro..

ANA MAONO!
 
Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Assad ana hasira tu za kutemwa u CAG
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tuupigaji hautakaa uishe bongo
 
Kwa maandishi ya namna hii, then unamtukana prof Assad, hii nchi nyepesi sana kuongoza! Hata kama yote hayo yamefanyika lakini wizi wa kutisha pia unaibuliwa, kama vile ambavyo kikwete pia alifanya mengi na wizi pia ulikuwepo! Ngoja ukaguzi wa miradi mingine ukamilike kwanza, lakin huna huelewa hata asilimia moja wa kumzid prof na kumtukana!
Halafu hakuna sehemu amemtaja Magufuli huyo jamaa naona amehehuka
 
Back
Top Bottom