Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Prof. Assad hajitambui au anatumika?

[emoji23][emoji23] ....
Wewe ni hero au hereon??[emoji28][emoji28]
 
Kuandika kwa mpangilio kwenyewe haujui😀😀😀😀😀

Ni kama mhanga hivi wa report😀😀

Maana sio kwa complaining hiyo.

Anyway acha dawa ifike mahali pake.
Mhanga!? Mimi mhanga!? We nae akili finyu sana!
 
Mhanga!? Mimi mhanga!? We nae akili finyu sana!

Sasa nani hana akili kati ya mm na wewe😂😂😂😂😂😂

Mapomole wengine sio hata wa kuangaika nao😂😂😂😂
 
Uchumi wa kati unaujua au unausikia? Kununua ndege na kujenga flyover ndiyo umeingia uchumi wa kati?
Hapo hapo umeshindwa kuongeza mishahara kwa watumishi, umeshindwa kuajiri na mbali na hiyo kuna wanafunzi wanakaa chini, hakuna madawati, hakuna maabara shuleni na hakuna maji vijijini.
Uchumi wa kati unaujua?
Usinitolee povu, siyo mimi niliyeipandisha kwa vigezo Tz mpaka uchumi wa kati chini, ni wenye mamlaka hayo! Kama unsng'aka, kawang'akie wao😂🤣😂😂! Moto wa Magu haukuwa wa kitoto etiii😜!
 
Pole sana mnyonge. Nchi hii bado kuna wajinga sana. Hata akitokea mtu akawapa ma... Vi akawambia hiki ni chakula, bado kuna watu wataamini ni chakula na watakula.
Huyo shujaa wa zamani bado unamuwaza tu? Ashakufa hayupo tena.
Kwahiyo waliposema ukiwa na cherehani mbili ni kiwanda na ww ulikubali?
🔫💉
Usinitolee povu, siyo mimi niliyeipandisha kwa vigezo Tz mpaka uchumi wa kati chini, ni wenye mamlaka hayo! Kama unsng'aka, kawang'akie wao😂🤣😂😂! Moto wa Magu haukuwa wa kitoto etiii😜!
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake kwa ufinyu wa akili yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee linakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi huyo Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu ni finyu sana, na kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua unamtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu ambapo upuuzi wote huongelewa hapo!
Wewe binadsi huo uchumi wa kati au katikati umekusaidia nini?
Mshahara wako umepanda?
Biashara na mtaji wako vimeomgezeka?
 
Mkuu it seems aliyoongea Prof Asaad yamekuchoma sana pole ndio ukweli wenyewe huo ukweli mtupu. Nchi ilikuwa inaendeshwa na Wajinga Ukiwakosoa Wanakupoteza Damn it.
JamiiForums-478590869.jpg
 
Pole sana mnyonge. Nchi hii bado kuna wajinga sana. Hata akitokea mtu akawapa ma... Vi akawambia hiki ni chakula, bado kuna watu wataamini ni chakula na watakula.
Huyo shujaa wa zamani bado unamuwaza tu? Ashakufa hayupo tena.
Kwahiyo waliposema ukiwa na cherehani mbili ni kiwanda na ww ulikubali?
🔫💉
You are a Useless fool!
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
unabahati sana signature yako inakuilinda upumzike kwa amani.By the way andikawosia
 
Wewe binadsi huo uchumi wa kati au katikati umekusaidia nini?
Mshahara wako umepanda?
Biashara na mtaji wako vimeomgezeka?
Upeo wako upo duni sana aisee!
Nchi ipo uchumi wa kati, swala la ww kuwepo ktk uchumi huo ni juhudi zako binafsi, utawalaumu wasiolaumiwa buree😜!
 
Huyu mzee angekua nuclear scientist sijui ingekuwaje maana hapo ni Prof wa kufunga yale wanaita makabati taabu tunayoipata??
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
We kweli ndezi,vumilieni tu,maana ndivyo haki na ukweli ulivyo.
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Profesa wengi wa Tanzania wamekariri tu .Hakiandika kipepa akaitwa Professor anajifanya anajua.Mwambie huyo kama ana project iliyoajili vijana hata wawili.Ni mganga njaa tu.
 
Mtatapatapa sana mwaka huu.Mlifikiri nchi ni yenu wenyewe baada yakufunga wengine midomo wasionge sasa hivi yesu wenu hayupo mnalalama.Una akili gani zakumzidi Asaid wewe.Hao ndio wazalendo na wanaotumia vichwa na taaluma zao vizuri bila unafiki sio wewe uliyekabidhi akili zako kwa mtu akusaidie kufikiri na kuamua.
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Asad yupo sahihi sana sana sana Ila kwa vilaza na wapumbavu hata iishe miaka mia moja hawata elewa kitu !!?jpm alitaka kuonekana yeye ni Kiongozi kuzidi watangulizi wake akazima vyanzo vya taarifa za seikali yake akaache vile vinavyomtukuza kua yeyye ndio kila kitu akafikia mahali akaitwa Mungu !??? Sisi wenye akili tulijua kinachoendelea tukajiuliza kwann nguvu kubwa kiasi kile ilitumika kupambana na wapinzani ambao kikatiba wapo kihalali!?? Kwann Rais anapambana na media!?? Tulijua kua alikua anafucha udhaifu tuu!!?? Hiyo ndio saikolojia rahisi !!! Hata shuleni ukiona mwalim ni mkali kuliko kiasi ujue anaficha kitu fulani !!! Either hajui kufundisha hivyo anatumia ukali kupita kiasi asiulizwe maswali au ana shida nyingine!?? Huyo Asad unaesema anatumija alikua ni CAG proffessional kitaaluma ana ushahid anayoyasema na ni utaalam nasio ukada wa ccm kama mlivyo nyie !!! Mfano Asad anasema aliomba apatiwe risiti na mchakato wa kununua ndege ili atoe ushauri wa kitaalamu ( ambalo ni jukumu lake kisheria ) lakin rais alimnyima!!!! Sasa hapo nani anamakosa!?? Watanzania tuamke jamani tuache ujinga kudhani JPM alijua Mungu !!! Tunatakiwa kujenga Taasisi imara na sio Mtu imara mtu anakuja na atapita Taasisi itadumu
 
Kwa maandishi ya namna hii, then unamtukana prof Assad, hii nchi nyepesi sana kuongoza! Hata kama yote hayo yamefanyika lakini wizi wa kutisha pia unaibuliwa, kama vile ambavyo kikwete pia alifanya mengi na wizi pia ulikuwepo! Ngoja ukaguzi wa miradi mingine ukamilike kwanza, lakin huna huelewa hata asilimia moja wa kumzid prof na kumtukana!
Zamani nilikuwa najua professor ni mtu mwenye akilin sana kumbe akili yangu ya ujesriamali inamzidi hawa watu

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom