Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Kwa maandishi ya namna hii, then unamtukana prof Assa, hii nchi nyepesi sana kuongoza! Hata kama yote hayo yamefanyika lakini wizi wa kutisha pia unaibuliwa, kama vile ambavyo kikwete pia alifanya mengi na wizi pia ulikuwepo! Ngoja ukaguzi wa miradi mingine ukamilike kwanza, lakin huna huelewa hata asilimia moja wa kumzid prof na kumtukana!
We nae ni pumba tu..umemskiliza huyo professor wa itikad kali alivyoongea au unapuyanga tuu..huyo prof ni sifuri na hana chochote kwenye hilo bichwa lake.
 
We nae ni pumba tu..umemskiliza huyo professor wa itikad kali alivyoongea au unapuyanga tuu..huyo prof ni sifuri na hana chochote kwenye hilo bichwa lake.
Sio nimemsikiliza tu, namjua pia! Kamuulize spika wako anamjua pia anaongea anachoamini! Huo ni utafiti and can only be refuted na findings za utafiti mwingne! La msingi fanya utafiti wako na wew juu ya mambo ya rushwa ili matokeo yako yaje yapingane na ya Prof Assad sio porojo.
 
Eti opportunist, unaelewa kwamba mtu akishakua CAG hawezi tena kupewa nafasi yeyote ya utumishi wa umma? Unaelewa kama Assad ni vice chancellor wa chuo, sasa atafute nin!
Atafute nini? Kabla ya uteuzi wa VP alijileta humu ndani kujipigia chapuo, akakosa hiyo nafasi na sasa amekuja na huu upuuzi!
Anatamaa sana huyu mzee na anatumika vibaya! Hiyo nafasi tu aliyonayo sasa hivi hata haimudu, anapataje ujasiri wa kubwabwaja kuhusu maono makubwa ya rais JPM!?
 
Opportunistic prof!

Ktk nchi ya watu zaidi ya 60m ni mengi mabaya pia hayawezi epukika ww popoma! Nimeandika kwa hasira mpaka natetemeka kwa upuuzi uliokuwa ukiropokwa na mtu ambaye eti ni 'profesa&! Mtu kama huyu kwa ufinyu wa akili huo ndo angepewa nchi hii mbona tungeuzwa sisi na watukuu wetu watakaozazaliwa! Unakuta na mapopoma wote wenye chuki binafsi na Magu wanamsapoti Assad kwa upuuzi wake kama mazezeta mfyuuuuu!
Huyo unaemsapoti pia ndio wizi wake unaibuliwa, tulia dawa iingie!
 
Inaonekana ww ni popoma sana ktk utafiti, ubora wa utafiti unategeme na ubora wa maswali yanayoulizwa! Wengine husema "gabbage in gabbage out"! Au hujui kuna utafiti wa kupika pia? Huo utafiti wa huyo profesa uchwara ni wa kupika tu!
Hivyo atoe upiuzi wake! Tumeyaona na kuaishi maisha na utendaji wa serikali ya Magufuli! Hauwezi chafuliwa na upuuzi huu wa huyu asiyeitakia mema nchi yetu! Kwanza ukifuatilia sana utakuta ana uraia wa Oman😜!
Sio nimemsikiliza tu, namjua pia! Kamuulize spika wako anamjua pia anaongea anachoamini! Huo ni utafiti and can only be refuted na findings za utafiti mwingne! La msingi fanya utafiti wako na wew juu ya mambo ya rushwa ili matokeo yako yaje yapingane na ya Prof Assad sio porojo.
 
Atafute nini? Kabla ya uteuzi wa VP alijileta humu ndani kujipigia chapuo, akakosa hiyo nafasi na sasa amekuja na huu upuuzi!
Anatamaa sana huyu mzee na anatumika vibaya! Hiyo nafasi tu aliyonayo sasa hivi hata haimudu, anapataje ujasiri wa kubwabwaja kuhusu maono makubwa ya rais JPM!?
Utakua na shida kichwani, sasa utake uteuzi wa VP ndio uje humu...kwani humu ndio wanachagua VP? Tambua hizo nafas kubwa za kiserikali hachagui mtu mmoja amejifungia, hiyo ni nchi kama ulikua huelewi,ndio maana kuna watu walikua na nguvu sana lakin akateuliwa Majaliwa from nowhere, na pia hakuna mtu alitegemea Mpango kuwa VP! Ndio ujue hizo nafasi huzipati kwa kujipigia debe, na Assad hawezi kuja humu, itakua wewe labda umetumia jina lake! Huna unalolijua, acha prof aongee alichofanyia tafiti..ikiiuma na wewe fanya tafiti, andika paper uje kuwasilisha opposite to what prof has presented yesterday na sio kupiga mayoe.
 
Mpaka huu mwaka uishe Mataga mtapata shida sana hamtaki Mungu wenu asemwe kwa chochote.
Wacha apigwe spana
 
Huyo unaemsapoti pia ndio wizi wake unaibuliwa, tulia dawa iingie!
Sikia ww, wizi lazima uibuliwe ndio maana kuna ofisi y CAG! Ingawa utendsji wake pia unawalakini hasa ukisikia huku kwenye halmashauri! Zipo halmashauri ziko choka mbaya kiutendaji lakini CAg amewapa hati safi!
Ndio maana hata siyapapatikii sana haya matokeo yao!
 
Utakua na shida kichwani, sasa utake uteuzi wa VP ndio uje humu...kwani humu ndio wanachagua VP? Tambua hizo nafas kubwa za kiserikali hachagui mtu mmoja amejifungia, hiyo ni nchi kama ulikua huelewi,ndio maana kuna watu walikua na nguvu sana lakin akateuliwa Majaliwa from nowhere, na pia hakuna mtu alitegemea Mpango kuwa VP! Ndio ujue hizo nafasi huzipati kwa kujipigia debe, na Assad hawezi kuja humu, itakua wewe labda umetumia jina lake! Huna unalolijua, acha prof aongee alichofanyia tafiti..ikiiuma na wewe fanya tafiti, andika paper uje kuwasilisha opposite to what prof has presented yesterday na sio kupiga mayoe.
Ww ndio jitafakari! Mh. Rais kwa siku za mwanzo amekuwa akifuatilia sana mijadara ya social media, na hata kufikia kuona yale yalijadiriwa humu tumeshuhudia yakitokea! Kwa kujua hivyo na huyu nae asiyejitambua akaja kupiga chapuo😜;
 
Pumba tupu, kajifunze kuandika halafu uje kuandika tena labda tutaelewa.
 
Eti opportunist, unaelewa kwamba mtu akishakua CAG hawezi tena kupewa nafasi yeyote ya utumishi wa umma? Unaelewa kama Assad ni vice chancellor wa chuo Kikuu cha Wasilamu cha Morogoro, sasa atafute nin!
Yani Mataga ni Kama kasuku,wanaimba walichokaririshwa hawana hints ndogo ndogo juu ya Katiba wala sheria
 
Pumba tupu, kajifunze kuandika halafu uje kuandika tena labda tutaelewa.
Ndio walewale msiojitambua! Wanaojitambua wameshaelewa! Na ndio lengo la huu uzi!
 
Watanzania Hamuezi endelea hamjui nchi inataka Nini, mtu kuharibu asisemwe? Miaka 5 wafanyakazi Hakuna nyongeza watu wasiseme? Mazuri ni mengi ndiyo ila na mabaya Pia, asad alisema ukweli akatolewa mmesahau?
 
Uchumi wa kati unaujua au unausikia? Kununua ndege na kujenga flyover ndiyo umeingia uchumi wa kati?

Hapo hapo umeshindwa kuongeza mishahara kwa watumishi, umeshindwa kuajiri na mbali na hiyo kuna wanafunzi wanakaa chini, hakuna madawati, hakuna maabara shuleni na hakuna maji vijijini.

Uchumi wa kati unaujua?
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom