Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Ktk nchi ya watu zaidi ya 60m ni mengi mabaya pia hayawezi epukika ww popoma! Nimeandika kwa hasira mpaka natetemeka kwa upuuzi uliokuwa ukiropokwa na mtu ambaye eti ni 'profesa&! Mtu kama huyu kwa ufinyu wa akili huo ndo angepewa nchi hii mbona tungeuzwa sisi na watukuu wetu watakaozazaliwa! Unakuta na mapopoma wote wenye chuki binafsi na Magu wanamsapoti Assad kwa upuuzi wake kama mazezeta mfyuuuuu!
Mkuu wahenga walisema ukubwa ni jalala unapokuwa kiongozi tena wa siasa kutukanwa kukashifiwa ni lazima sasa kinachokufanya ukasirike na kutetemeka nini kama ulitaka huyo msukuma mwenzio asisemwe vibaya ungelimshaur aachane.Na siasa.Aende kuwa Baba Mchungaji huko
 
Utakua na shida kichwani, sasa utake uteuzi wa VP ndio uje humu...kwani humu ndio wanachagua VP? Tambua hizo nafas kubwa za kiserikali hachagui mtu mmoja amejifungia, hiyo ni nchi kama ulikua huelewi,ndio maana kuna watu walikua na nguvu sana lakin akateuliwa Majaliwa from nowhere, na pia hakuna mtu alitegemea Mpango kuwa VP! Ndio ujue hizo nafasi huzipati kwa kujipigia debe, na Assad hawezi kuja humu, itakua wewe labda umetumia jina lake! Huna unalolijua, acha prof aongee alichofanyia tafiti..ikiiuma na wewe fanya tafiti, andika paper uje kuwasilisha opposite to what prof has presented yesterday na sio kupiga mayoe.
Kuna watu aina ya huyu anayejiita " hero" mpaka unajiuliza hivi huyu anatumia kiungo gani cha mwili kufikiria? Aisee still we've got along way to go, in short huyu ni walewale akina Kibajaji, when they stand to talk they just talk shit.Mpaka unajiuliza hivi huko jimboni kwake ndio the best, then what about his people?
 
Hili Jinga limetokea wapi umebanwa uharo nenda kahare gebwe wewe Unaweza kuandika analysis Yoyote kuhusu economic au unakuja kutupotezea bundles zetu wewe unaweza kumchallenge Prof. Assad ?
Mwehu kabisa Wewe tena na wanakutuma waambie warudi milembe wakanywe Dozi naona imewaishia
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Nina uhakika hujawahi kufundishwa na prof. Wewe maishani kwako.
Huwezi kujua thaman na maana ya professor
Huwezi muelewa asemalo
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Yani vitu umeandika vitu havieleweki! Hujajibu hoja za Prof Assad. Mfano alisema duniani hakuna nchi inayonunua ndege kwa cash.. nilitegemea wewe ungekuja hapa na ushahidi kuwa nchi fulani huwa inanunua kwa cash hivyo Prof Assad Ni muongo.. Yule sio size yako. Wewe endelea na mapambio na kuabudu mungu wenu marehemu... lakin Prof Assad yupo sahihi 💯
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
kunabinadamu ambaye hatumiki duniani hata wewe
 
Mbona watu humu ndani wanasema uchumi wa kati badala ya kusema uchumi wa chini kati?
Bado tupo chini. Tuna kazi ya kwenda chini juu kabla ya kuvuka hadi uchumi wa kati.
Na sio ajabu ni kati chini!
 
Kuna namna ambavyo hawa std 7 wapewe kikomo cha kuongea na kugombea mamlaka naona wanakuja kasi sana serikali isipokuwa makini itamezwa na pumba zao na kupewa wao kipaombele kwa sababu ya porojo wameandamana kuporomosha maprofesa ili watazamwe wao na wamehamia na huku JF hii ni mbaya kwa afya ya Nchi.
 
Prof Assad ni extremist ambaye anatumia zaidi hisia kuliko elimu na akili. watu wa aina yake ni hatari sana kwenye jamii kwasababu hawataki conpromise.
 
Prof. Assad kasema kuwa tunatengeneza nguvu nyingi kwa mtu 1,baada ya kutengeneza nguvu nyingi kwenye tasisi.mwisho wa siku mtu 1 anakuwa na nguvu kubwa kuliko tasisi.

Ukiangalia unaona kabisa alichongea kipo wazi.we mtu 1 anauwezo gani wa kutafuta mawaziri,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,makatibu wakuu,mabalozi,wakuu wa nyombo vya usalama,wakuu wa halmashauri,wakuu wa mashirika ya umma pamoja na bodi zake.

Huyu anakuwa ni mtu au Nabii
 
Kuandika kwa mpangilio kwenyewe haujui😀😀😀😀😀

Ni kama mhanga hivi wa report😀😀

Maana sio kwa complaining hiyo.

Anyway acha dawa ifike mahali pake.
Tanzania ina vioja kweli ,utakuta mtu ni kiazi eti naye anamkosoa prof
 
Ungeweza ukaandika Homa yako bila kumtukuna MTU mzima na hoj yako ikakubalika!

Lakini hapa unapoona ili homa yako ikubalike ni lazima Umdhalilishe Prof unakosa uhalali wa kumchallunge prof kwa Madata, mkuu.
Punguza hasira.
Kama nimemtukana pahali flani, naomba mnisamehe na anisamehe! Ila ukweli inaudhi sana mtu mzima na unajiita 'profesa' kuwa na mawazo finyu kiasi hicho na kutumia uprofesa wako kujaribu kuhadaa watu! I see inaudhi sana! Sitaki ona nchi yangu inakuwa shamba la bibi kwa kufuata mawazo ya wasomi uchwara kama hawa i see, umesikia pia wasomi uchwara wengine wa tume ya corona wamekuja na maoni ya covid-19! Shame on them😡!
 
Kama nimemtukana pahali flani, naomba mnisamehe na anisamehe! Ila ukweli inaudhi sana mtu mzima na unajiita 'profesa' kuwa na mawazo finyu kiasi hicho na kutumia uprofesa wako kujaribu kuhadaa watu! I see inaudhi sana! Sitaki ona nchi yangu inakuwa shamba la bibi kwa kufuata mawazo ya wasomi uchwara kama hawa i see, umesikia pia wasomi uchwara wengine wa tume ya corona wamekuja na maoni ya covid-19! Shame on them!
Hoja inapigwa kwa hoja ndugu.ebu chambua kifungu kimoja kimoja kuwa ni wapi Prof alipokosea
 
Prof Assad ni moja kati ya hazina ya taifa.ukiwa na watu 10 kama kina Assad basi nchi lazima iwe kama ulaya
kwa taarifa yako, Taifa halihitaji watu extremists, linahitaji watu wanaoweza kuwa compromised ili kuishi na watu wote wa tabia tofauti, bora kuongozwa na mjinga anayeelewana na watu wote bila ubaguzi kuliko kuongozwa na mwenye akili mmoja mbaguzi na mwenye misimamo mikali.walikosea hata kumpa kile cheo, alitakiwa abaki tu chuoni kufundisha wanafunzi.
 
Back
Top Bottom