Prof. Assad hajitambui au anatumika?

Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Tanzania ni masikini sana sana magu anawadanganya
 
Nimemsikiliza Prof. Assad, na nimestaajabu sana kuwa ni profesa!

Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ndege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliue shirika la ndege ili kukwepa madeni. Dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Hao wanaodai nao wana haki ya kulipwq kama wanamadai ya haki!

Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi, huyu huoni ndani ya miaka 5 tumeingia uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni Tz kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kwamba huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu ktk utumishi wake wa umma, uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao!

Ni wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mtu anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!

Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa mzee mzima anakosa hata hekima tu ya kizee anakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe. Hivi Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari sisi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni!
Shame on you Assad!

Nimegundua una mtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata hastahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu.
Kwa takwimu zilizopo benki ya dunia, waliochangia pakubwa nchi kuingia uchumi wa kati walikuwa ni Mkapa na JK.
Magufuli kachangia kiduchu tu (9%) huku JK akiongoza kwa 44% akifuatiwa na Mkapa 31%.

Vijana muwe mnauliza kwanza muelimishwe - matango pori mnayopewa huko na kina Musiba ni sumu, inaua!
 
Asad yupo sahihi sana sana sana Ila kwa vilaza na wapumbavu hata iishe miaka mia moja hawata elewa kitu !!?jpm alitaka kuonekana yeye ni Kiongozi kuzidi watangulizi wake akazima vyanzo vya taarifa za seikali yake akaache vile vinavyomtukuza kua yeyye ndio kila kitu akafikia mahali akaitwa Mungu !??? Sisi wenye akili tulijua kinachoendelea tukajiuliza kwann nguvu kubwa kiasi kile ilitumika kupambana na wapinzani ambao kikatiba wapo kihalali!?? Kwann Rais anapambana na media!?? Tulijua kua alikua anafucha udhaifu tuu!!?? Hiyo ndio saikolojia rahisi !!! Hata shuleni ukiona mwalim ni mkali kuliko kiasi ujue anaficha kitu fulani !!! Either hajui kufundisha hivyo anatumia ukali kupita kiasi asiulizwe maswali au ana shida nyingine!?? Huyo Asad unaesema anatumija alikua ni CAG proffessional kitaaluma ana ushahid anayoyasema na ni utaalam nasio ukada wa ccm kama mlivyo nyie !!! Mfano Asad anasema aliomba apatiwe risiti na mchakato wa kununua ndege ili atoe ushauri wa kitaalamu ( ambalo ni jukumu lake kisheria ) lakin rais alimnyima!!!! Sasa hapo nani anamakosa!?? Watanzania tuamke jamani tuache ujinga kudhani JPM alijua Mungu !!! Tunatakiwa kujenga Taasisi imara na sio Mtu imara mtu anakuja na atapita Taasisi itadumu
Peleka ujinga kwa popoma mwenzio assad!
Mi jitu kama ninyi ndio ilikaa na kukubaliana na kuwaletea madhira hapo zambia😡! Bure kabis ninyi mfyuuuuuu 😡!
 
Peleka ujinga kwa popoma mwenzio assad!
Mi jitu kama ninyi ndio ilikaa na kukubaliana na kuwaletea madhira hapo zambia! Bure kabis ninyi mfyuuuuuu !
Safari hii kazi mnayo vip ule mchakato wa kumuongezea muda!?? Mwambie gwaji aka..........
 
Peleka ujinga kwa popoma mwenzio assad!
Mi jitu kama ninyi ndio ilikaa na kukubaliana na kuwaletea madhira hapo zambia! Bure kabis ninyi mfyuuuuuu !
Uncircumicised hooligan from lake zone trying to defend rubbish!???
 
Kwa takwimu zilizopo benki ya dunia, waliochangia pakubwa nchi kuingia uchumi wa kati walikuwa ni Mkapa na JK.
Magufuli kachangia kiduchu tu (9%) huku JK akiongoza kwa 44% akifuatiwa na Mkapa 31%.

Vijana muwe mnauliza kwanza muelimishwe - matango pori mnayopewa huko na kina Musiba ni sumu, inaua!
Peleka takwimu uchwara hizo kwa mapungu wenzio! JK alipandisha uchumi kwa kuruhuru mchwa wake wale, huku yeye akiruka kutoka nchi moja kwenda nyingine kupiga picha na PDD na kuhudhuria misiba😜😂🤣😂
Kwa takwimu zilizopo benki ya dunia, waliochangia pakubwa nchi kuingia uchumi wa kati walikuwa ni Mkapa na JK.
Magufuli kachangia kiduchu tu (9%) huku JK akiongoza kwa 44% akifuatiwa na Mkapa 31%.

Vijana muwe mnauliza kwanza muelimishwe - matango pori mnayopewa huko na kina Musiba ni sumu, inaua!
Peleka takwimu uchwara hizo kwa mapungu wenzio! JK alipandisha uchumi kwa kuruhuru mchwa wake wale, huku yeye akiruka kutoka nchi moja kwenda nyingine kupiga picha na PDD na kuhudhuria misiba😜😂🤣😂!?
 
Kwa heshima na tahadhima niwapongeze wote mlioweza kusoma kichwa cha habari na kuendelea kusoma upupu mwingine uliofuata tofauti na hapo sina neno lingine....ALAMSIKI
 
Badala yake Assad eti anataka Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!
Usipotoshe mkuu.
Kuhusu Bandari ya Bagamoyo hakutoa uamuzi. Amesema hata yeye hajaona huo mkataba. Akashauri uwekwe hadharani watu wausome na kutoa maoni yao.
 
Usipotoshe mkuu.
Kuhusu Bandari ya Bagamoyo hakutoa uamuzi. Amesema hata yeye hajaona huo mkataba. Akashauri uwekwe hadharani watu wausome na kutoa maoni yao.
Sijapotosha chochote, ww naye ni mgumu kuelewa duh! Irudie tena utasikia, kama akili zimo, lakini kama hamazo utakuja tena kupinga mfyuuuuuu 😡!
 
Wewe ndo kichaa hujui kitu..Profesa yupo sahihi Magufuli hakua na nia njema na nchi ndo maana akifilisi na muda si mrefu matokeo yataonekana.

Leo Mbowe ndo kamalizia msumari wa mwisho hakuna unafki hapa
 
Yani Mataga ni Kama kasuku,wanaimba walichokaririshwa hawana hints ndogo ndogo juu ya Katiba wala sheria
Mwongozo kutoka kwa slow slow, bsr, au misiba haupo tena! Sasa ni juhudi binafsi hakuna wa kuedit. Mpaka mwaka uishe watu watatamani michango yao humu bora isingerekosiwa
 
Sijapotosha chochote, ww naye ni mgumu kuelewa duh! Irudie tena utasikia, kama akili zimo, lakini kama hamazo utakuja tena kupinga mfyuuuuuu 😡!
Yaani umeskia Assad kasema:

".... Bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa sisi hatuwezi kujenga wenyewe!..."

Basi tuseme mwenzetu una sikio zuri sana. Maana angesema hivi kungekuwa na nyuzi kibao humu zikichanganua hii hoja. Ni wewe tu.
 
Back
Top Bottom