Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,174
- 11,501
Nimemsikiliza sana Profesa Assad akipigia chapuo na kuhalalisha IGA ya DP World! IGA ni mkataba mama kama ilivyo katiba ya nchi kuwa ndio sheria mama juu ya sheria nyingine zinazoendesha mamlaka ya nchi.
IGA ya DP world kama ni kandamizi hakuna jinsi unaweza kuinyoosha kwa mikataba ya utekelezaji itakayosainiwa. Kinachomsumbua Prof. Assad ni udini!
Yeye anadhani rasilimali za nchi zikiuzwa kwa waarabu waislamu wenzie ndo yeye na familia yake watapona! Hapana! watakula msoto uleule kama watanzania wengine!
IGA ya DPW ndo tatizo na nilazima ifutiwe utekelezaji wake sasa hivi kabla hawa waarabu hawajaanza utekelezaji!
Vinginevyo wakishaanza utekelezaji watadai fidia tukisitisha huo mkataba!
Huyu mama kaliingiza taifa katika matatizo makubwa!
IGA ya DP world kama ni kandamizi hakuna jinsi unaweza kuinyoosha kwa mikataba ya utekelezaji itakayosainiwa. Kinachomsumbua Prof. Assad ni udini!
Yeye anadhani rasilimali za nchi zikiuzwa kwa waarabu waislamu wenzie ndo yeye na familia yake watapona! Hapana! watakula msoto uleule kama watanzania wengine!
IGA ya DPW ndo tatizo na nilazima ifutiwe utekelezaji wake sasa hivi kabla hawa waarabu hawajaanza utekelezaji!
Vinginevyo wakishaanza utekelezaji watadai fidia tukisitisha huo mkataba!
Huyu mama kaliingiza taifa katika matatizo makubwa!