Prof. Assad ameonewa. Siri ni nzito, tuwe kimya tu

Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
We mgogo tulia!
 
bunge litekeleze haya nataka niwaambie jambo hili limemkwaza hata Rais maana anashangaa nini kinaendelea na ili kuwa mbali na mgogoro huu amewaacha wale matapishi yao wenyewe. Rais hana ugomvi Wala hana mgogoro wowote na Prof Assad. Ila watu wanajuwa tu yao.
Siamini Hii kitu.... Lazima atakuwa ametoa Baraka zake. Kwa jinsi ilivyo sasa hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya haya ya Ndugai bila Baraka nyuma yake. Hata press release ya Msigwa inaidai kuwa Kurugenzi ya Mawasiliano imesikitishwa.... Siyo Ofisi ya Rais au Rais mwenyewe. Sasa what is Kurugenzi ya Mawasiliano..!!?
 
Sikiliza Dogo kama hujui siasa polesana, hakuna maamuzi yoyote yanaweza kufikiwa bungeni bila Rais kufahamu usijifanye hakujua, naona unatetea upande wa Utawala. Huu mchezo ndo uko robo
Habari ambazo sijazithibitisha. Prof Assad anaonewa tena wanao muonea sio kwa masilahi ya Taifa ila wanayo yajuwa wao.

Pia watu wanasema kuwa spika anamtega Rais ila kama tunavyo juwa Rais ni taasisi hawezi kukurupuka kumuwajibisha CAG maana kama ilivyo semwa hapo awali italeta mtikisiko mkubwa sana wakikatiba hivyo Mh Rais anatumia kila uwezo alio nao pasipo kushawishi Bunge kuacha jambo hili lipite nalo ila watakutana kwenye kamati za cc


Wapo watu wanasema Rais amsimamishe kiukweli watunga katiba walikuwa makin sana wakijuwa kuna siku litaibuka bunge kama la sasa kutaka kufanya mambo yao. Sasa ili Rais amsimamishe kuna takiwa kuwe na hoja ila hoja nzito sio hoja hii nyepesi ya spika. Wenye mamlaka wanauliza tusi au neno dhaifu maana yake nini na hapo ndipo bunge limeonekana kuchemka. Pia mchakato wakumuondoa CAG sio wakitoto maana wanatakiwa majaji wa nne walio iva kufanya uchunguz na sio kama zao za bunge sasa kiukweli kabisa kama rais akiunda hiyo Tume upo uwezekano mkubwa Prof akasafishwa jambo litaleta dowa baya sana kwa serikali na ndio maana wenye akili wanahepa maamuz ya bunge kwasababu azimio walilo litoa litawatafuna wenyewe take from me.

CAG ni mtu hatari sana kucheza na cheo chake kwakuwa nimkono unao tafuta matumiz mabaya ya serikal mpaka bunge sasa lazima awe na kinga Labda niwaulize nani amewahi jiuliza why spika anapambana na Huyu prof? Je issue ni hii hii au kuna siri nzito?


Wapo. Watu wanaamini Mkuu ndia alie amuru bunge litekeleze haya nataka niwaambie jambo hili limemkwaza hata Rais maana anashangaa nini kinaendelea na ili kuwa mbali na mgogoro huu amewaacha wale matapishi yao wenyewe. Rais hana ugomvi Wala hana mgogoro wowote na Prof Assad. Ila watu wanajuwa tu yao.

Yote tutayajuwa niswala la Muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
Shame on you!!
 
Habari ambazo sijazithibitisha. Prof Assad anaonewa tena wanao muonea sio kwa masilahi ya Taifa ila wanayo yajuwa wao.

Pia watu wanasema kuwa spika anamtega Rais ila kama tunavyo juwa Rais ni taasisi hawezi kukurupuka kumuwajibisha CAG maana kama ilivyo semwa hapo awali italeta mtikisiko mkubwa sana wakikatiba hivyo Mh Rais anatumia kila uwezo alio nao pasipo kushawishi Bunge kuacha jambo hili lipite nalo ila watakutana kwenye kamati za cc


Wapo watu wanasema Rais amsimamishe kiukweli watunga katiba walikuwa makin sana wakijuwa kuna siku litaibuka bunge kama la sasa kutaka kufanya mambo yao. Sasa ili Rais amsimamishe kuna takiwa kuwe na hoja ila hoja nzito sio hoja hii nyepesi ya spika. Wenye mamlaka wanauliza tusi au neno dhaifu maana yake nini na hapo ndipo bunge limeonekana kuchemka. Pia mchakato wakumuondoa CAG sio wakitoto maana wanatakiwa majaji wa nne walio iva kufanya uchunguz na sio kama zao za bunge sasa kiukweli kabisa kama rais akiunda hiyo Tume upo uwezekano mkubwa Prof akasafishwa jambo litaleta dowa baya sana kwa serikali na ndio maana wenye akili wanahepa maamuz ya bunge kwasababu azimio walilo litoa litawatafuna wenyewe take from me.

CAG ni mtu hatari sana kucheza na cheo chake kwakuwa nimkono unao tafuta matumiz mabaya ya serikal mpaka bunge sasa lazima awe na kinga Labda niwaulize nani amewahi jiuliza why spika anapambana na Huyu prof? Je issue ni hii hii au kuna siri nzito?


Wapo. Watu wanaamini Mkuu ndia alie amuru bunge litekeleze haya nataka niwaambie jambo hili limemkwaza hata Rais maana anashangaa nini kinaendelea na ili kuwa mbali na mgogoro huu amewaacha wale matapishi yao wenyewe. Rais hana ugomvi Wala hana mgogoro wowote na Prof Assad. Ila watu wanajuwa tu yao.

Yote tutayajuwa niswala la Muda tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
wakupimwa wewe sio bure
FB_IMG_1553280831321.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
kama limechafuliwa si watumie OMO kujisafisha.
 
Habari ambazo sijazithibitisha. Prof Assad anaonewa tena wanao muonea sio kwa masilahi ya Taifa ila wanayo yajuwa wao.

Pia watu wanasema kuwa spika anamtega Rais ila kama tunavyo juwa Rais ni taasisi hawezi kukurupuka kumuwajibisha CAG maana kama ilivyo semwa hapo awali italeta mtikisiko mkubwa sana wakikatiba hivyo Mh Rais anatumia kila uwezo alio nao pasipo kushawishi Bunge kuacha jambo hili lipite nalo ila watakutana kwenye kamati za cc


Wapo watu wanasema Rais amsimamishe kiukweli watunga katiba walikuwa makin sana wakijuwa kuna siku litaibuka bunge kama la sasa kutaka kufanya mambo yao. Sasa ili Rais amsimamishe kuna takiwa kuwe na hoja ila hoja nzito sio hoja hii nyepesi ya spika. Wenye mamlaka wanauliza tusi au neno dhaifu maana yake nini na hapo ndipo bunge limeonekana kuchemka. Pia mchakato wakumuondoa CAG sio wakitoto maana wanatakiwa majaji wa nne walio iva kufanya uchunguz na sio kama zao za bunge sasa kiukweli kabisa kama rais akiunda hiyo Tume upo uwezekano mkubwa Prof akasafishwa jambo litaleta dowa baya sana kwa serikali na ndio maana wenye akili wanahepa maamuz ya bunge kwasababu azimio walilo litoa litawatafuna wenyewe take from me.

CAG ni mtu hatari sana kucheza na cheo chake kwakuwa nimkono unao tafuta matumiz mabaya ya serikal mpaka bunge sasa lazima awe na kinga Labda niwaulize nani amewahi jiuliza why spika anapambana na Huyu prof? Je issue ni hii hii au kuna siri nzito?


Wapo. Watu wanaamini Mkuu ndia alie amuru bunge litekeleze haya nataka niwaambie jambo hili limemkwaza hata Rais maana anashangaa nini kinaendelea na ili kuwa mbali na mgogoro huu amewaacha wale matapishi yao wenyewe. Rais hana ugomvi Wala hana mgogoro wowote na Prof Assad. Ila watu wanajuwa tu yao.

Yote tutayajuwa niswala la Muda tu.
Walitukuta watatuacha ila wakifanya mambo ya hovyo hatuta nyamaza
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
Kwanza jua kutofautisha serikali na bunge
Hili bunge ni la kiboya na wala usilipe huo umaarufu..hata mtoto anaona udhaifu wa yule mgogo mpuuzi na kile kibibi kigagula tulia tuli..
 
Sio siri kuwa Magufuli ni Rais asiyependa Watu Wenye msimamo thabiti katika uendeshaji wa chi; ndio maana yeyote anayepinga matakwa yake anaondolewa kwasababu zisizokuwa na kichwa wala miguu!! Sintaona ajabu kuwa yeye JPM ndio yuko nyuma ya maazimio yote ya Bunge kuhusu CAG!!! Ukweli ni kwamba toka CAG aumbue upotevu wa shs. 1.5 tril. huko serikalini, JPM amekuwa akionesha wazi wazi kutofurahia utendaji kazi wa CAG!!!! Anatafuta sababu ya kumuondoa ASSAD na aweke mtu wa kwao atakayemfichia madhambi ya ubadhirifu wanaofanyia nchi. Time will tell!
 
Sijaona alipoonewa CAG binafsi, Prof kiukweli alilikosea bunge na ata wakati anahojiwa na kamati ya maadili na hadhi ya Bunge bado hakutaka kuona kama kauli yake ni mbaya alionesha dharau na kiburi bado na kusema ataendelea kuitumia kauli hii..! bado CAG amekuwa mjivuni mnoo kwa kuidharau Taasisi na Muhimili na sioni kama CAG yuko juu ya muhimili wowote kikatiba alipaswa kuwa na tahadhali juu ya kauli zake.
samahani mi naomba kujua mfano nikiona bunge lina mapungufu flani flani nikitaka kutoa maoni yangu kama raia natumia maneno yapi ili niendeleee kuwa raia mwema na mzalendo?
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????

Hebu angalia hii reasoning!
Uko sawa kichwani?
 
Acha kupotosha, msio kuwa na uelewa wa mambo ndiyo mnashabikia ukosefu wa maadili na kupungukiwa kwa hekima kwa huyo Prof Assad wenu. Nyie subirini muziki toka Ikulu lazima ang'olewe huyu mkeuka maadili, kwanza anaonekana hana siri, yaani hana maadili ya kazi yake, nyie mtapiga kelele lakini serikali huwa haishikwi sharubu na huwa haichezewi kabisa hata kidogo, just be alerted mtaona maamuzi very soon. Na endeleeni kumpa kichwa maji huyo Prof wenu. Huwezi kubishana na serikali, serikali ni mfumo na mfumo una mkono mrefu sana, yaani huwezi ukalidharau bunge ukadhani eti wewe una linda professional professional gani hiyo inayoruhusu kudhihaki mhimili mkuu wa nchi????
Unasubiria embe chini ya mnazi?
 
Aliyerikoroga ni Assad mwenyewe...alibug sana kuropoka dhidi ya taasisi kama bunge...angekaa kimya nafkr haya yote yasingetokea... Et watu fulani wapuuzi wanajifariji ni hoja dhaifu, hyo sio hoja dhaifu hata kidogo ni ukosefu mkubwa wa maadili ukizingatia na ukubwa wa ofisi kama CAG ndo kabisaa, alichoropoka kinawafanya bunge kujihisi enferior yaan kana kwamba CAG ndo mkubwa wa bunge ana uwezo wa kuwanyea atakavyojisikia, na wanachotakiwa kufanya lazima kimfurahshe CAG, huo ni uzwazwa aisee....

hakuna riport ya CAG iliyoleta msuguano huu yaan wanaohusisha sakata hili na trion 1.5 wanatakiwa wakapimwe mkojo, alichokiongea CAG kwenye media ndo matokeo yake haya na si trion 1.5 ....

Sikubaliani na mambo mengi ya JPM na Ndugai ila kwa hii issue nipo totally against CAG


Mkuu:
Hapo neno kuropoka una maana gani.
CAG hakutamka kama unavyo andika wewe ni vyema ungerejea ile clip ya mahojiano na chombo cha habari cha UN ndipo unaweza kubaini nini alicho kisema CAG.
 
Sio siri kuwa Magufuli ni Rais asiyependa Watu Wenye msimamo thabiti katika uendeshaji wa chi; ndio maana yeyote anayepinga matakwa yake anaondolewa kwasababu zisizokuwa na kichwa wala miguu!! Sintaona ajabu kuwa yeye JPM ndio yuko nyuma ya maazimio yote ya Bunge kuhusu CAG!!! Ukweli ni kwamba toka CAG aumbue upotevu wa shs. 1.5 tril. huko serikalini, JPM amekuwa akionesha wazi wazi kutofurahia utendaji kazi wa CAG!!!! Anatafuta sababu ya kumuondoa ASSAD na aweke mtu wa kwao atakayemfichia madhambi ya ubadhirifu wanaofanyia nchi. Time will tell!
Naked Truth yeye ndiye anafanya yote haya na Assad ameamua kutoidhalilisha taaluma yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio siri kuwa Magufuli ni Rais asiyependa Watu Wenye msimamo thabiti katika uendeshaji wa chi; ndio maana yeyote anayepinga matakwa yake anaondolewa kwasababu zisizokuwa na kichwa wala miguu!! Sintaona ajabu kuwa yeye JPM ndio yuko nyuma ya maazimio yote ya Bunge kuhusu CAG!!! Ukweli ni kwamba toka CAG aumbue upotevu wa shs. 1.5 tril. huko serikalini, JPM amekuwa akionesha wazi wazi kutofurahia utendaji kazi wa CAG!!!! Anatafuta sababu ya kumuondoa ASSAD na aweke mtu wa kwao atakayemfichia madhambi ya ubadhirifu wanaofanyia nchi. Time will tell!
Mmebadili upepo tena...si mlidai Assad analindwa na Katiba..mnatuletea vifungu viingi, wengine walimu failure lakn wanajifanya wanasheria na wataalam wa katiba....mlidai Assad kung'olewa ni mchakato mgumu mara mpak majaji kutoka nje na kuwe na hoja nzitto na sio hoja ya spika ambayo mnaiita hoja dhaifu 😀😀😀😀😀....ha ha ha wapinzani wa serikali bhana ni kituko kweli kweli....

Wayahudi wakiwa wamechoshwa na kodi kubwa za warumi, walimuuliza Yesu kama ni halali kulipa kodi hzo kandamizi...mana lengo lao walitaka wakiamshe (wagome) ila walitaka support ya Yesu, na Yesu akawachomea utambi, akakazia akasema wanatakiwa walipe kodi tena kwa uaminifu, na haijalishi kodi inaumiza kias gan.....

Kiuhalisia Assad hana uelewano mzur na Jiwe, pamoja na Ndugai, ila walikuwa wanamuotea pa kumpigia ....alivyo boya akaingia mkenge. amewatengenezea uchochoro na hapo hapo ndo wanamchomea, ameanza wao wanamaliza.....unalitukana bunge tukufu kuwa ni dhaifu..alafu badae unwapelekea Ripoti yako ili waijadili, 😁😁😁😁😁😁
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom