Producers wa EDM(Electronic Dance Music)

Dah mdau mwenyewe nazimaindi sana hizo kitu. Mi ni beat maker toka kanda ya kusini natengeneza hiyo midundo kwa sana tu... So imekuwa ni ngumu kuwashawishi wasanii wetu kutembea kwenye midundo hiyo.
Njia za kuwashawishi watanzania na wanamuziki wa hapa bongo waipende hii miondoko ni mbili tu..
1: Kuwa producer:
Hapa inatakiwa utulie kweli ili utoe EDM nzuri za kuwashawishi watu.
2: Kuwa DJ wa redio yoyote hapa Tz:
Njia hii hautumii nguvu nyingi kama njia ya uproducer, ukishakuwa DJ hakikisha kila kipindi chako unaipa promo ya kutosha EDM na unacheza hasa nyimbo za EDM.
Zikitumiwa vizuri hizo njia mbili hapo juu, EDM lazima itasomeka,
 
mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..


Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM

PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...

( * ) ....noma sanaaaaaa

1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *

kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..


karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC

Nilishaga hudhuria Ultra Music festival moja ya 2015 Skrillex alipiga set moja ya approx 1 hr sijawahi kuona crowd reaction kama ile. Ilikuwa Miami ni noma.
 
Nilishaga hudhuria Ultra Music festival moja ya 2015 Skrillex alipiga set moja ya approx 1 hr sijawahi kuona crowd reaction kama ile. Ilikuwa Miami ni noma.
Skrillex - Summit (feat. Ellie Goulding) [Video by Pilerats]

Skrillex 100,676,544 views
 
d4df40c0e21642f8e1e875140a723f1d.jpg

jamaaaa yupo live sasa hivi...wale washabiki wa Armin van burren nipp namcheki laivu...anashusha vitubkupitia
A STATE OF TRANCE (ASOT) EPOSED YA 809
 
Raphael hongera sana, ikiwa kati ya hivo track itashika chart nzuri kwenye media za hapa ndani basi soko litahamia kwako.

Jaribu kufanya vizuri uwezavyo, ndani ya miaka michache unawezakua mhasisi wa EDM Tanzania.
 
mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..


Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM

PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...

( * ) ....noma sanaaaaaa

1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *

kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..


karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC
Uzi poa sana huu,
Umewaacha one republic, na wale madogo One direction, Imagine dragons, owl city, Maroon five,
Huu muziki sio Wa ulimwengu huu.

Nlianzaga kuvutiwa na EDM kitambo, hasa baada ya kuzielewa kazi adimu kabisa za Regendary Avicii
Live long Producer Avicii.
 
Uzi poa sana huu,
Umewaacha one republic, na wale madogo One direction, Imagine dragons, owl city, Maroon five,
Huu muziki sio Wa ulimwengu huu.

Nlianzaga kuvutiwa na EDM kitambo, hasa baada ya kuzielewa kazi adimu kabisa za Regendary Avicii
Live long Producer Avicii.
Maroon 5 ni a rock band, not an EDM band mate. Imagine Dragons ni a rock band. One republic - rock.
I do not do pop but I guess hapo ndio One direction wako pop. Owl city however do all genres, hao sijui kama they do EDM. I do not listen to EDM
 
mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..


Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM

PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...

( * ) ....noma sanaaaaaa

1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *

kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..


karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC

Tiesto mbona ukumtaja akati ndo mkali wao
 
Kwa jina naitwa Raphael am 19, ni producer wa muziki wa EDM kutoka Dodoma kwa miaka almost 4. Swali langu ni, je kuna maproducer wa EDM specifically katika kanda ya East Aftica? Na mnahimizaje muziki huu katika society yako.
7f4e68ab73bc97f0142a5d99dbc31547.jpg
201bf0080d8522cbafe97b43264f2e1a.jpg
I like real guitar and real drums. Thats why I listen to rock. EDM kwangu ni too electrical. Nina ujuzi wa mdogo sana wa EDM lakini I heard some famous award winning DJ was to come perform here, DJ DIPLO. It wil also feature 3 Kenyan DJs: Blinky Bill, DJ Kace and Suraj. Dont know how that went down
 
Uzi poa sana huu,
Umewaacha one republic, na wale madogo One direction, Imagine dragons, owl city, Maroon five,
Huu muziki sio Wa ulimwengu huu.

Nlianzaga kuvutiwa na EDM kitambo, hasa baada ya kuzielewa kazi adimu kabisa za Regendary Avicii
Live long Producer Avicii.
lol. pole lakini sidhani kama unajua kutofautisha aina za muziki
 
mmmmmmmh....umenikuna nilipoona thred yako kuhusu EDM producers...in short EDM ndo kilevi changu tangu nianze kusikiliza nyimbo za EDM nilipokuwa form 2 na sasa nipo chuo mwaka wa mwisho.. ...nawafuatilia sana especially Show zote za
a).Miami
b).Armstadam
c).Ultra music festival live
d).Tommororland ultra music live
e).Big celebits
f).pamoja na ultra music festival zote zinaendelea duniani kote..


Bila kuzisahau best subscribes zangu especially lebel kubwa za kimataifa kama
a).Spinnin records
b).Armada music
c).Ultra music
d) proximity
e).na nyingine kibao zinauza ngoma kali za EDM

PIA SIWEZI ACHA WASAHAU HAWA VIUMBE KILA WATOAPO NGOMA KALI AU KUWA LIVE SEHEMU YOYOTE DUNIANI MIMI HUWAFUATILIA KILA DAKIKA KADRI MUNGU ANAVYONIJALIA PUMZI YANGU...

( * ) ....noma sanaaaaaa

1.david guetta *
2.Avicii *
3.martin garrix *
4. steve aoki *
5.Hardwell *
6.Dash berlin *
7.Armini van Burren *
8.Garety emery *
9.Axwell *
10.Sebastian Ingroso *
11.Alesso *
12.Calvin Haris *
13.Nick Romero *
14.petterson
15.Sweedish house mafia *
16.The chainsmoker *
17.Zedd *
18.Methew koma
19.Jay hardway
20.W&W *
21.Afrojack
22.Blasterjaxx
23.Major lazer
24.Alan walker *
25.Alex newell
26.Ashley Wallbridge *
27.Marshmello *
28.Bebe Rexha
29.Borgeous Morten
30.Codeko
31.Denis kenzo
32.Don diablo *
33.Ed sheeran *
34.Eric Turner
35.John Dahlback
35.Kat Krazy & Elkka *
36.Kygo *
37.mokita
38.Oliver heldens
39.Quintino x Cheat codes
40.Robin schulz
41.Sam Feldt
42.Skrillex *
43.Tavi castro
44.Tritonal *
45.Vicetone *
46.Vybz kartel
47.Yellow Claw *
48.Alex Gaudino
49.Krewella *
50.Nicolaz *

kwa hiyo unasema EDM unanikuna unanifanya niache kufanya kazi nianze kula ngoma kali...bila kusahau U.k top 40 april 2017
bila kusahau BILLBOARD HITS april 2017 on chart ..


karibu kwenye ulimwengu wa ELECTRONIC DANCE MUSIC
Aseee unawajuaa wote ninao wafaham ...


EDM ime take over sana kwenye industry ya music

Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa Ultra mcheki mkali tiesto akifanya ake,... Baab kubwaaa.

Apa ni ULTRA MIAMI 2017
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom