Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,129
- 983
Njia za kuwashawishi watanzania na wanamuziki wa hapa bongo waipende hii miondoko ni mbili tu..Dah mdau mwenyewe nazimaindi sana hizo kitu. Mi ni beat maker toka kanda ya kusini natengeneza hiyo midundo kwa sana tu... So imekuwa ni ngumu kuwashawishi wasanii wetu kutembea kwenye midundo hiyo.
1: Kuwa producer:
Hapa inatakiwa utulie kweli ili utoe EDM nzuri za kuwashawishi watu.
2: Kuwa DJ wa redio yoyote hapa Tz:
Njia hii hautumii nguvu nyingi kama njia ya uproducer, ukishakuwa DJ hakikisha kila kipindi chako unaipa promo ya kutosha EDM na unacheza hasa nyimbo za EDM.
Zikitumiwa vizuri hizo njia mbili hapo juu, EDM lazima itasomeka,