Pro max wengi wanajadili personality ya mtu badala ya issues.

Pro max wengi wanajadili personality ya mtu badala ya issues.

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,411
Sijui nani huwa anawaelekeza kitu cha kujadili maana huwa naona wanashambulia mtu badala ya kujibu mada husika.

Kipindi tunajadili issues za TEC na maandamano walileta mashehe kuwashambulia viongozi wa TEC badala ya kujikita kwenye issue husika ya HAKI.

Alipokuja Kitima badala ya kujibu hoja zake wakaanza kushambulia maisha yake.

Warioba kasema waliouawa tarehe 29/10 ni wengi kuliko waliouawa wakati wa vita vya Kagera na ni hatari jeshi kugawanyika, wameacha hoja yake wanajadili personality yake eti yeye ni mfumo kristo, itasaidia kitu gani kwenye mada aliyoileta.

Tukisema serikali ya Samia imeua watu wengi, utetezi wao, mnamuonea kwa kuwa yeye ni mwanamke, ni mwislam, haisaidii kitu wala haitafuta idadi ya vifo.

Wakiambiwa Marekani na nchi wahisani zitatuwekea vikwazo, utetezi wao wanatuonea wivu, Marekani akuonee wivu wewe una kitu gani kumzidi.

Machawa na wanaowatuma wajifunze kuwa kujaza chawa jukwaani hakusaidii kama hawana uwezo wa kujibu hoja ni kelele tu sawa na kelele za walevi bar.
 
Sijui nani huwa anawaelekeza kitu cha kujadili maana huwa naona wanashambulia mtu badala ya kujibu mada husika.

Kipindi tunajadili issues za TEC walileta jumuia za kiislamu kishambulia viongozi wa TEC badala ya kujikita kwenye issue husika ya HAKI.

Alipokuja Kitima badala ya kujibu hoja zake wakaanza kushambulia maisha yake.

Warioba kasema waliouawa tarehe 29/10 ni wengi kuliko waliouawa wakati wa vita vya Kagera na ni hatari jeshi kugawanyika, wameacha hoja yake wanajadili personality yake eti yeye ni mfumo kristo, itasaidia kitu gani kwenye mada aliyoileta.

Tukisema serikali ya Samia imeua watu wengi, utetezi wao, mnamuonea kwa kuwa yeye ni mwislam, ni mwanamke, haisaidii kitu wala haitafuta idadi ya vifo.

Wakiambiwa Marekani na nchi wahisani zitatuwekea vikwazo, utetezi wao wanatuonea wivu, Marekani akuonee wivu wewe una kitu gani kumzidi.

Machawa na wanaowatuma wajifunze kuwa kujaza chawa jukwaani hakusaidii kama hawana uwezo wa kujibu hoja ni kelele tu kama kelele za walevi bar, kukwepa hoja na kukimbilia personality hakutasaidia kuiokoa serikali.
Ni namna low IQ zao zilivyo, wanamshambulia mtu badala ya mada iliyopo

Why? Sababu hawawezi jibu mada so wanaona kumshambulia mtu ni rahis zaidi
 
Eti Kanyaga Twende yao ni Madelu, lijamaa lisivyo na haya wala adabu linasema maCCM walisherehekea watanganyika kuuawa kwa kula nyama Dodoma! kabla ya kuapishwa
 
Machawa ndio wanaopiga zumari, ngoma na maturumbeta wakimsifia ujinga malkia wao kuwa amependeza na mavazi yake kumbe ukweli ni kwamba malkia wao yupo uchi wa mnyama.
 
badala ya kujibu mada husika.
Ukifilisika kisiasa, ukakosa sera, ukashindwa hoja kichaka cha kuficha aibu yako ni kuingiza udini, ukabila, ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimo ( urefu na ufupi), ubaguzi umbo la mwili( mnene na mwembamba), ubaguzi wa kielimu( aliyesoma na asiye soma) . Yaani ni ubaguzi kwenda mbele kwamufilisi wa kisiasa, kisera, na kihoja....

Hawa waite "mufilisi"! Na hawatufai Hata kidogo.
 
Kuna mwingine kashatoa mada huko.Vitu aseme Warioba utetezi ni kulaumiwa TEC.Sema kuwa mpambe kazi, mbaya zaidi kichwani zikawa hamnazo.

Warioba kasema waliokufa tarehe 29 ni wengi kupita waliokufa vita ya Kagera.Wanaobisha watupe idadi kamili tufanye wenyewe comparison mbona simple tu
 
Chawa hana hoja zaidi ya kuattack mtu hata kiongozi wao bibi kiziwi badala ya kujibu hoja anaona anaonewa wivu, mara aulize wahisani wao "who are you?" Yaani mtu anakuonea wivu kisa kakemea maovu yako
 
Chawa hana hoja zaidi ya kuattack mtu hata kiongozi wao bibi kiziwi badala ya kujibu hoja anaona anaonewa wivu, mara aulize wahisani wao "who are you?" Yaani mtu anakuonea wivu kisa kakemea maovu yako
Scripts wanazopewa ni kupinga tu almradi waonekane kwa bosi wao wamepinga hata kama hakina mantiki yeyote.
 
-hauwezi ukakaa ndani mwako ukajifungia, then ukatunga uzushi wako ambao hata wewe mtungaji hauwezi kuuthibitisha halafu utake watu wajibu umbea na uzushi wako
-tutatumia kila aina ya silaha kupambana na wahuni wowote wanaokuja kwa njia yoyote ile (whether by watershed or bloodshed)

AMANI YA NCHI NI KUBWA KULIKO BAKWATA, TEC NA HUYO MZEE MHUNI (makonda alikuwa sahihi)
 
-hauwezi ukakaa ndani mwako ukajifungia, then ukatunga uzushi wako ambao hata wewe mtungaji hauwezi kuuthibitisha halafu utake watu wajibu umbea na uzushi wako
-tutatumia kila aina ya silaha kupambana na wahuni wowote wanaokuja kwa njia yoyote ile (whether by watershed or bloodshed)

AMANI YA NCHI NI KUBWA KULIKO BAKWATA, TEC NA HUYO MZEE MHUNI (makonda alikuwa sahihi)
Sawa, polisi hawakuua waandamanaji bali walijipiga risasi, tetea.
 
Sijui nani huwa anawaelekeza kitu cha kujadili maana huwa naona wanashambulia mtu badala ya kujibu mada husika.

Kipindi tunajadili issues za TEC na maandamano walileta mashehe kuwashambulia viongozi wa TEC badala ya kujikita kwenye issue husika ya HAKI.

Alipokuja Kitima badala ya kujibu hoja zake wakaanza kushambulia maisha yake.

Warioba kasema waliouawa tarehe 29/10 ni wengi kuliko waliouawa wakati wa vita vya Kagera na ni hatari jeshi kugawanyika, wameacha hoja yake wanajadili personality yake eti yeye ni mfumo kristo, itasaidia kitu gani kwenye mada aliyoileta.

Tukisema serikali ya Samia imeua watu wengi, utetezi wao, mnamuonea kwa kuwa yeye ni mwanamke, ni mwislam, haisaidii kitu wala haitafuta idadi ya vifo.

Wakiambiwa Marekani na nchi wahisani zitatuwekea vikwazo, utetezi wao wanatuonea wivu, Marekani akuonee wivu wewe una kitu gani kumzidi.

Machawa na wanaowatuma wajifunze kuwa kujaza chawa jukwaani hakusaidii kama hawana uwezo wa kujibu hoja ni kelele tu sawa na kelele za walevi bar.
Bora sisi walevi wa bar tunakuwa na point sema tu kubishana na sauti kubwa ya mziki ndo kunatifanya tuonekane hamnazo.

Hawa vyawa ni hawana hoja kabisa kabisa, yaani ni empty, sifuri, hamna kitu.
 
Bora sisi walevi wa bar tunakuwa na point sema tu kubishana na sauti kubwa ya mziki ndo kunatifanya tuonekane hamnazo.

Hawa vyawa ni hawana hoja kabisa kabisa, yaani ni empty, sifuri, hamna kitu.
Haha samahani walevi wenzangu kwa kuwachanganya na hawa watumwa wa wauaji.
 
Sijui nani huwa anawaelekeza kitu cha kujadili maana huwa naona wanashambulia mtu badala ya kujibu mada husika.

Kipindi tunajadili issues za TEC na maandamano walileta mashehe kuwashambulia viongozi wa TEC badala ya kujikita kwenye issue husika ya HAKI.

Alipokuja Kitima badala ya kujibu hoja zake wakaanza kushambulia maisha yake.

Warioba kasema waliouawa tarehe 29/10 ni wengi kuliko waliouawa wakati wa vita vya Kagera na ni hatari jeshi kugawanyika, wameacha hoja yake wanajadili personality yake eti yeye ni mfumo kristo, itasaidia kitu gani kwenye mada aliyoileta.

Tukisema serikali ya Samia imeua watu wengi, utetezi wao, mnamuonea kwa kuwa yeye ni mwanamke, ni mwislam, haisaidii kitu wala haitafuta idadi ya vifo.

Wakiambiwa Marekani na nchi wahisani zitatuwekea vikwazo, utetezi wao wanatuonea wivu, Marekani akuonee wivu wewe una kitu gani kumzidi.

Machawa na wanaowatuma wajifunze kuwa kujaza chawa jukwaani hakusaidii kama hawana uwezo wa kujibu hoja ni kelele tu sawa na kelele za walevi bar.
"Strong man discuss idea weak mind discuss people" socrate
 
Warioba ni Mnywa gongo mmoja hana credibility yoyote
 
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha,angalia hata hapa jukwaani watetezi wote wa CCM hawawezi kujibu hoja bali kumshambulia mtoa hoja
 
Back
Top Bottom