Kama unataka printer tu bila photocopy na uwezo wa kuscan unapata hata kwa chini ya hio budget, last time niliziona kwa 60,000. Mfano huu
Ukitaka yenye copy/print/scan (3in1) zipo around 100,000 mpaka 120,000 hivi
Kuhusu wino mkuu cha kuangalia sio bei, unaweza ukauziwa wino wa 10,000 ukatoa page 20 na wa 30,000 ukatoa page 500 hivyo ukawa wa 10,000 ni ghali zaidi. Cha muhimu ufanye tu utafiti.
Ila zote hapo juuu ninavyofahamu ni economy hazili sana wino unless unaprint picha na vitu vinavyokula sana wino.
- Inategemea umechukua printer ipi? kuna za mitungi minne (4) au mitungi (6)kujaza wino ni approximately bei gani
Tafuta CISS printerMkuu nimependa maelezo yako...nahitaji moja ambayo naweza nikaprinti hata ream mbili bila kuisha!ni ipi?
Cartilage ni aghalitafuta hp deskjet printer 1000 or abaove
Hizi ndo zenye wino wa unga?Tafuta CISS printer
- Ina mitungi ya nje
- Running cost iko kwenye karatasi tu na sio wino wa printer - Hiki ndio cha kuzingatia zaidi
- Ziko mode/ brand nyingi tofauti tofauti kutegemea na bajeti yako
- Ila epson ndio zinapatikana kiurahisi pamoja na wino wake
View attachment 938539
View attachment 938541
Wino wa majiHizi ndo zenye wino wa unga?
kwa hiyo budget utapata printer ya inkjet ambayo siyo friendly kwenye matumizi ya wino printer nzuri ni laserjet ndiyo inatumia wino vizuri ambapo catridge moja black and white una print mpaka karatasi 1500. ila unaweza nunua inkjet ukanunua na makopo ya wino kila moja ni 5000 so utanunua manne, la nyeusi, blue, green na nyekundu utakuwa watumia sindano kujaza catriges utakaa nayo hata miaka miwili hadi wino uexpireHabari zenu wakuu.
Kwakweli kwa nafasi niliopata kazini inanilazimu niwe na printer ili nifanyie baadhi ya kazi nyumbani.
Sasa mie hizi mashine sizijui fresh, nikaona nikiingia kichwa kichwa kariakoo ntauziwa printer la stationery au printer la kitajiri lenye gharama kulitumia.
Naomba msaada ni printer ipi ndogo ndogo itanifaa na kuitumia kwake sio gharama, namaanisha iwe na gharama nafuu ya wino yaani wenu uwe unajazika mitaani na iwe inatumia chupa mbili tu za wino. Ya rangi na nyeusi.
Bajeti yangu ni 80,000 - 100, 000
Natangulisha shukrani wakuu.
mkuu hivi L800 inaweza printi juu ya cd na kuprint makasha magumu? na je ina print kwenye pvc na glossy paper?Huu ndio ukweli, kama ameelewa mleta mada, achukue hatua.
Labda kwenye pendekezo la printer
1. Kwa bajeti ya TZS350 hadi 450,000 hapo atapata EPSON L300 - ( Hii kujaza wino ni mara moja kwa mwaka - kwa matumizi ya kawaida)
2. Kwa bajeti ya TZS 550,000 hadi 800,000 - Hapo achukue L800
Hakika hatojutia.
Ndio inawezaprinti juu ya cd na kuprint makasha magumu?
Nishauri juu ya printer itumiayo wino wa unga inaweza print zaidi ya ream moja ya karataai na inauzwa si zaidi ya laki 4Wino wa maji
Nishauri juu ya printer itumiayo wino wa unga inaweza print zaidi ya ream moja ya karataai na inauzwa si zaidi ya laki 4
Zinajazwa wapi na sehemu gani ? BroEPSON Pinter nazikubali, bora ununue hata laki 8 lakini wino wa kujaza 6000 na zinafanya kazi vizur
Kama unataka printer tu bila photocopy na uwezo wa kuscan unapata hata kwa chini ya hio budget, last time niliziona kwa 60,000. Mfano huu
Ukitaka yenye copy/print/scan (3in1) zipo around 100,000 mpaka 120,000 hivi
Kuhusu wino mkuu cha kuangalia sio bei, unaweza ukauziwa wino wa 10,000 ukatoa page 20 na wa 30,000 ukatoa page 500 hivyo ukawa wa 10,000 ni ghali zaidi. Cha muhimu ufanye tu utafiti.
Ila zote hapo juuu ninavyofahamu ni economy hazili sana wino unless unaprint picha na vitu vinavyokula sana wino.
EPSON L300sMkuu nimependa maelezo yako...nahitaji moja ambayo naweza nikaprinti hata ream mbili bila kuisha!ni ipi?
HP IKIWA INKJET UTAJUTA.tafuta hp deskjet printer 1000 or abaove
- Inategemea umechukua printer ipi? kuna za mitungi minne (4) au mitungi (6)
- Pia inategemea umenunua chupa za wino zenye ujazo upi?
- Chupa za 250ml huuzwa kati ya TZ 12,000 hadi TZS 18,000
- Ukiwa na hizi chupa za ujazo wa 250ml, kwa mwaka utahitaji chupa moja moja kwa hizo za rangi wakati kwa black waweza tumia chupa mbili
View attachment 938527
Ukichukulia una mfano Epson L300
- Ina mitungi minne (4), hivyo utahitaji chupa 5tu kwa mwaka
- Chupa tatu (moja moja za rangi) na chupa mbili ambazo ni Black
- Kila chupa moja TZS 14,000 (mfano) hivyo kwa chupa 5 ni TZS 70,000
- Hivyo utaona ghalama ya kutumia printer kwa mwaka ni kiais kisichozidi TZS 70,000
Wakati kwa aina zingine za printer, kila baada ya wiki tatu unalazimika kununua cartilage mpya (sio kujaza wino) wakati hizi epson wewe unajukumu la kujaza wino tu.
View attachment 938536
NA HAPA UTAKUTA BEI YA CARTRIDGES MBILI TU INATOSHA KUNUNUA PRINTA INGINE MPYA YA AINA HIYOHIYO !!!Cartilage ni aghali
- Ni kati ya TZS 45,000 hadi 75,000
- Na haimalizi miezi mitatu iwapo matumizi ni makubwa.
Hizi ndo zenye wino wa unga?