Prince Waleed bin Talal awasili Tanzania

Prince Waleed bin Talal awasili Tanzania

mkuu sio kila mwarabu mwislamu,na sio kila muislamu muumini wa kweli.huyu prince walid ni msaudi lkn hayupo kwenye serikali na nimfanya biashara.naona ni tajiri wa 15 duniani.jamaa anaitwa mwislamu poa.yaani mwislamu jina.
Atabaki kuwa muislamu tu.
 
...nitafuta hadithi moja inaoesha wazi kizazi cha warabu kwa asilimia kubwa ni wayemen wote.hakuna mwarabu kwenye kisiwa cha warabu ambaye hana damu ya yemen. sio warabu feki wa misri au libya algeria tunisia.

Unazidi kuchanganya, hatutaki hadithi leta HISTORIA ya waarabu na vizazi vyao, unapo tuambia kuna warabu feki na original tufafanulie na hawa ngozi nyeusi wanaojifanya wanafuata uarabu (uislamu) zaidi kuliko hata hao waarabu feki tuwaeleweje?
 
Mh! Huyo mke wa Prince alivyovaa! Jamani, isije kuwa huku uswahilini tunadanganywa na hao waliotuletea imani zao? Huyu si alitakiwa awe mfano bora? Sasa nimeamini kila jambo pima mwenyewe na changanya na zako vinginevyo wengine tutaishia kufia dini wakati wenyewe wanatumbua kwa raha zao!

Mkuu wenye njaa na mawazo mgando ndiyo wanapiga kelele sana na mambo yaleeeeeee ya Ba kwa ta branch ya CCM ila wanao jua dini na wako poa wanavaa kama ulivyo ona mwenyewe .Wameleta wao uislam na bado wanavaa ki west utadhani wanatoka west sasa shangaa .
 
Kingdom Holding ndiyo mmiliki wa hoteli inayojulikana kama Movernpick; Movernpick wenywenye ni kampuni ya Ki-Swiss inayoendesha tu Hotel.

na yeye pia ni mmiliki wa movenpick..... anazo hisa zipatazo asilimia 36 katika mnyororo wa movenpick, lakini anazo properties zake zinazoendeshwa na movenpick management.
 
Unazidi kuchanganya, hatutaki hadithi leta HISTORIA ya waarabu na vizazi vyao, unapo tuambia kuna warabu feki na original tufafanulie na hawa ngozi nyeusi wanaojifanya wanafuata uarabu (uislamu) zaidi kuliko hata hao waarabu feki tuwaeleweje?


acha ugonjwa wa kufikiri warabu ni waislamu na waislamu ni warabu.uislamu ni dini tu.warabu ni kabila tu.kuna warabu waislamu na sio waislamu.

naposema warabu feki ni wale watu waliotawaliwa na warabu kama north africa sudan na nchi zingine.wakawa wanaongea kiarabu kama lugha yao ya kwanza basi hao kisomi wame arabishwa.lkn sio warabu waasili

warabu waasili ni nchi hizi hapa saudi arabia,yemen,oman,UAE,bahrain,qatar,kuwait,iraqi kusini,pande chache za sham(syria,jordan,palestina,israel)sio wote bali baadhi.na misri ya sinai.

sahivi neno muarabu halifuati asili,bali lugha kama lugha yako ya kwanza ni kiarabu bac wewe ni mwarabu,haijali rangi au kitu kingine chochote.


unajuwa sahivi msomali anatambulika kama muarabu? kwasababu wamejiunga na umoja waarabu.

ngozi nyeusi kama uliposema ni waumini wa dini ya kiislamu na wala sio dini ya warabu.na mwarabu hana cheo au uadhifa wowote kwenye uislamu.tena mtume muhamad alisisitiza sana kutokubaguana kisa huyu ni mwarabu na huyu sio.


unajua warabu hawafiki asilimia 15 ya waislamu wote duniani?.
 
acha ugonjwa wa kufikiri warabu ni waislamu na waislamu ni warabu.uislamu ni dini tu.warabu ni kabila tu.kuna warabu waislamu na sio waislamu.

naposema warabu feki ni wale watu waliotawaliwa na warabu kama north africa sudan na nchi zingine.wakawa wanaongea kiarabu kama lugha yao ya kwanza basi hao kisomi wame arabishwa.lkn sio warabu waasili

warabu waasili ni nchi hizi hapa saudi arabia,yemen,oman,UAE,bahrain,qatar,kuwait,iraqi kusini,pande chache za sham(syria,jordan,palestina,israel)sio wote bali baadhi.na misri ya sinai.

sahivi neno muarabu halifuati asili,bali lugha kama lugha yako ya kwanza ni kiarabu bac wewe ni mwarabu,haijali rangi au kitu kingine chochote.


unajuwa sahivi msomali anatambulika kama muarabu? kwasababu wamejiunga na umoja waarabu.

ngozi nyeusi kama uliposema ni waumini wa dini ya kiislamu na wala sio dini ya warabu.na mwarabu hana cheo au uadhifa wowote kwenye uislamu.tena mtume muhamad alisisitiza sana kutokubaguana kisa huyu ni mwarabu na huyu sio.


unajua warabu hawafiki asilimia 15 ya waislamu wote duniani?.
Kama ni ivyo basi asilimia 75 ambayo ni makabila mengine hawatendewi haki kutumia lugha ya kiarabu kwenye uislamu ambapo asilimia 15 tu ndo waarabu ktk dini hii.
 
Uislam hautumii kiarabu bali Quran,however huwezi tenganisha uislam na uarabu.
 
Halafu mbona Ramadhani Dau kapinda (hayuko wima)? Is he bowing to the princes (kinyumenyume au kikwerekwere)?
 
naona kaja kuchukua mafile ya eneo la kuchimba madini ya URANIUM
 
Kama ni ivyo basi asilimia 75 ambayo ni makabila mengine hawatendewi haki kutumia lugha ya kiarabu kwenye uislamu ambapo asilimia 15 tu ndo waarabu ktk dini hii.



dah haha.ndugu hesabu kidogo 100-15=85.

tuendelee.mkuu kwanza lugha kiarabu ndio lugha iliyoshukia quran.pili kiarabu ni lugha inayoongoza kwa ufasaha wake na kwa grama zake.tatu kutafsiri kitu kwenda lugha nyingine hupati maana kamili lkn hulingana.nne unapoenda china ukisika adhana unaenda kusali lkn wakiwa wana azini kwa kichina sijuwi kama ungeingia.hapa wakristo hamuna lugha moja ya sala,ukienda ujerumani sijuwi kama utamuelewa padri.
 
mwaka wa maprince kuinajisi TZ kwa ushoga, nyie ngojeni muone tena vasco da gama yeye anachoangalia ni msaada wa suti kushney
 
Mh! Huyo mke wa Prince alivyovaa! Jamani, isije kuwa huku uswahilini tunadanganywa na hao waliotuletea imani zao? Huyu si alitakiwa awe mfano bora? Sasa nimeamini kila jambo pima mwenyewe na changanya na zako vinginevyo wengine tutaishia kufia dini wakati wenyewe wanatumbua kwa raha zao!

Tatizo la wana Ufalme wengi wa kiarabu....wamelishwa elimu na utamaduni wa kimagharibi.....,nchi Zao zinasimamia sharia...lakini wake Zao wanavaa nguo zinazacha vifua na miguu wazi.....wakati wananchi wao wanavaa hijab zinazobakisha macho tu.......wamarekani wwjanja sana kwenye kueneza influence....na mwalimu aliwahi kusema ukoloni mbaya na wa kifkra nia utamaduni.......
Wakati muislamu wa Tanzania anasimamia Dini kuanzia mavazi Hadi maisha.....wana Ufalme wa Saudis na nchi Nyingine zq kiislamu ....wmefanya uwekezaji mkubwa duniani kwenye kumbi za hanasa,mahoteli etc.....yanayouza bombe na kuchezesha Kamari ....

Lingine ni kuwa Huyu ...Ramadhan Dau Naye yupo WAMA? Na kila mgeni anayekuja lazima achangie hiyo shule binafsi ya Mama salma ya WaMa Nakayama?????.......zile billion 10 alizopewa na wajapani....hazikutosha? Au ndio kajangea hotel Yake ya Lindi........ni muhimu katiba mpya iifanye ofisi ya first lady....iwe rasmi....ili kuepuka hili la kila mke wa rais anayeingia kuweka ofisi za kupokelea rushwa za familia ya rais kwa mlango wa nyuma.......it's becoming serious now....
 
dah haha.ndugu hesabu kidogo 100-15=85.

tuendelee.mkuu kwanza lugha kiarabu ndio lugha iliyoshukia quran.pili kiarabu ni lugha inayoongoza kwa ufasaha wake na kwa grama zake.tatu kutafsiri kitu kwenda lugha nyingine hupati maana kamili lkn hulingana.nne unapoenda china ukisika adhana unaenda kusali lkn wakiwa wana azini kwa kichina sijuwi kama ungeingia.hapa wakristo hamuna lugha moja ya sala,ukienda ujerumani sijuwi kama utamuelewa padri.


Kabla ya miaka ya 60 ....wakatoliki wote duniani ...walikuwa wanasali Kilatini....lakini mtagaso wa Roma wa pili mwaka 1963..ukafuta waraka uliotaka taratibu zote za kilitrujia kanisani kufanyika Kilatini......wakaja na kitu kinachoitwa Utamadunisho....hii ililenga kueneza injili kwa kuzingatia...Lugha na Utamaduni wa sehemu husika......hii ililenga kuondoa malalamiko Kama haya kwa waislamu kuwa asilimia 15 Nya waislamu duniani .....na kuwa uarabu sio uislamu...
Wakatoliki waliliona muda mrefu hili ...na wakatenganisha Kilatini na ukatoliki....
Mkatoliki wa Leo anaweza kufuatilia Ibadan popote duniani....kwa lugha ya sehemu husika ....hatashindwa kuelewa kwa kuwa mtiririko wa Ibada kote duniani hufanana....sana sana .....mahubiri ndio yatampita....na nyimbo pia hi it's kwa vionjo vya eneo kwa eneo.....mfano nilisali china.....kila kitu ni sawa ...ila wanaokaa chini....kabisa..kanisani...
 
Kama alivokuja Prince Charles, Prince Waleed bin Talal naye yuko Tanzania kwa ziara siku moja:
p30.jpg


Presdent Jakaya Kikwete and his guest HRH Prince Alwaleed Bin Talal Bin Abdulaziz


Huyu ndiye alimuhonga mwanamume sutti...thank God Kama hakuwa masharti Kama ya ulaya..
 
Back
Top Bottom