Prince Charles kuwasili leo kwa mwaliko wa Kikwete

Yani hapa mpo mnazunguka point, ushoga ni sera ya freemasons. Na malkia ni m1 wa memba na viongoz wa freemason tena mwenye rank ya juu i.e 33 degrees. So ni kama kutoa hela mfuko wa kushoto na kuweka wa kulia. Stil hela zitaendelea kuwa zako. Conclusion n kwamba royal family=government= freemasons=ushoga. Sioni cha kumtetea malkia hapo na kumtenganisha na ushoga.
mkuu umenena vema. hakuna cha kutenganisha hapa. malkia na mrithi wake ni watawala wa uingereza na wakuu wa kanisa na ndio maana anapokelewa na mkuu wa nchi. Kama ni symbolic tu si angepokelewa na mtoto wa chief wa wapogoro ambaye ni prince mwenzake?!
 
Kwa hili ni wewe ambaye hauna uelewa mpana na unachanganya mambo mawili ambayo hayana uhusiano



Prince Charles na mkewe Camilla, wanatarajiwa kuwasili nchini jioni ya leo kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete kwa ziara ya siku tatu nchini.

Watakuwa nchini hadi Novemba 9 ambapo atatembelea maeneo mbalimbali, kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Ubalozi wa Uingereza nchini, Mark Polatajko, Prince Charles na mkewe watapokewa na Rais Kikwete na mkewe, Salma Kikwete na kutumbuizwa na vikundi vya ngoma za asili.

My take: Kwa nini ikulu na rais Kikwete wamekubali ziara ya mashoga? tuseme habari wanazotutangazia kina Membe ni unafiki? wanatudanganya wananchi huku wao viongozi wakiukubali ushoga nyuma ya pazia??
 
basi ungesema na watanzania wote walioko Uingereza warudi na wale wanaotarajia kwenda wasiende nchi ya mashoga
 
suala la ushoga limeelezwa kwamba Tanzania itaendelea kupinga naona hujaelewa na ndio sababu Rais Kikwete tumeambiwa alimkataa balozi shoga
 
Nilikutana naye mwaka 1984 alipotembelea ujenzi wa barabara ya Makambako - Songea. Karibu tena Prince Charles!
 
Prince Charles mwana wa malkia Elizabeth wa Uingereza ametua nchini jana, na kupokewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda mtoto wa mkulima, Prince Charles ambaye ameandamana na mkewe Camilla Parker Bowles wamekuja nchini wakati kwa lengo la kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ambazo zinaendelea, Natumaini ujio huu wa mwana malkia ni muafaka kwetu hasa kipindi hiki ambacho kuna mjadala juu ya kauli iliyotolewa na waziri mkuu wa Uingereza, kuwa ili tuendelee kupata misaada ni lazima tuzitambue haki za mashoga, Charles leo atakutana na Rais wa Tanzania mh.Kikwete, sijui mwenzangu ungependa Kikwete amueleze nini huyu mkoloni
 
Kikwete angedelegate issue ya kumkaribisha huyu Shoga kwa Prince Ridhiwan
 
Prince Charles mwana wa malkia Elizabeth wa Uingereza ametua nchini jana, na kupokewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda mtoto wa mkulima, Prince Charles ambaye ameandamana na mkewe Camilla Parker Bowles wamekuja nchini wakati kwa lengo la kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ambazo zinaendelea, Natumaini ujio huu wa mwana malkia ni muafaka kwetu hasa kipindi hiki ambacho kuna mjadala juu ya kauli iliyotolewa na waziri mkuu wa Uingereza, kuwa ili tuendelee kupata misaada ni lazima tuzitambue haki za mashoga, Charles leo atakutana na Rais wa Tanzania mh.Kikwete, sijui mwenzangu ungependa Kikwete amueleze nini huyu mkoloni
Rais amuambie bila kumumnya kuwa hatutaki ushoga.
 
Back
Top Bottom