Prince Charles kuwasili leo kwa mwaliko wa Kikwete

mjukuu wangu sheba mbona unahaha kumtetea prince ?unafanya kazi british council?labda nikwambie tu maandamano yatatoa ujumbe kwa familia ya malkia kuwa kijana wao cameron alikosea kutishia nchi maskini kisa hazikubali ushoga.

Asante Babu Jingalao kwa ushauri. Nakubaliana nawe. Nina tatizo tu kuwa lengo halijawekwa clear na mwenye kutoa thread. Kama ndio hilo, hata wao wameshaliona ndio maana Balozi wao amekimbilia kutoa tamko la kukanusha mapema. Yako mambo mengi ya muhimu ya kuandamania kuliko hili. Si kuwa jambo hili halistahili kuandamaniwa, ila naamini kuwa tunamuandamania mtu asiyehusika. Tuandamane basi kwenda Ubalozini tufike tuwasilishe ujumbe wetu pale maana ndio njia inayotumika duniani kote.

Je, angekuwa haji Prince Charles tungefanyaje?
 
Yani hapa mpo mnazunguka point, ushoga ni sera ya freemasons. Na malkia ni m1 wa memba na viongoz wa freemason tena mwenye rank ya juu i.e 33 degrees. So ni kama kutoa hela mfuko wa kushoto na kuweka wa kulia. Stil hela zitaendelea kuwa zako. Conclusion n kwamba royal family=government= freemasons=ushoga. Sioni cha kumtetea malkia hapo na kumtenganisha na ushoga.
 
Jamaa anakuja kufundisha ushoga wa ki magharibi ili wale mashoga wa Magomeni waachane na ushoga wa Kiarabu waanze ushoga wa Kiingereza
 
Asante Babu Jingalao kwa ushauri. Nakubaliana nawe. Nina tatizo tu kuwa lengo halijawekwa clear na mwenye kutoa thread. Kama ndio hilo, hata wao wameshaliona ndio maana Balozi wao amekimbilia kutoa tamko la kukanusha mapema. Yako mambo mengi ya muhimu ya kuandamania kuliko hili. Si kuwa jambo hili halistahili kuandamaniwa, ila naamini kuwa tunamuandamania mtu asiyehusika. Tuandamane basi kwenda Ubalozini tufike tuwasilishe ujumbe wetu pale maana ndio njia inayotumika duniani kote.

nadhani jambo hili limeshika kasi kuanzia ijumaa jioni kwa hiyo kama ni maandamano yangefanyika jumatatu lakini kwa bahati nzuri fursa imejitokeza basi hatuna budi kuitumia kuelezea hisia za kitanzania dhidi ya ushoga.cameron lazima afuatilie safari za familia ya malkia kwa ukaribu hivyo ujumbe utamfikia tu.kumbuka maandamano ya wanachuo wa uingereza kupinga ongezeko la ada yalipewa airtime baada ya kushambulia msafara wa prince(sisemi tuushambulie huo msafara)
 
Ushoga ziiii.......HATA NG'OMBE AMBAO NI HAYAWANI HAWAUKUBALI USHOGA. Itakuwa sisi binaadamu wenye akili zetu!.
 
Prince Charles na mkewe Camilla, wanatarajiwa kuwasili nchini jioni ya leo kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete kwa ziara ya siku tatu nchini.

Watakuwa nchini hadi Novemba 9 ambapo atatembelea maeneo mbalimbali, kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Ubalozi wa Uingereza nchini, Mark Polatajko, Prince Charles na mkewe watapokewa na Rais Kikwete na mkewe, Salma Kikwete na kutumbuizwa na vikundi vya ngoma za asili.

My take: Kwa nini ikulu na rais Kikwete wamekubali ziara ya mashoga? tuseme habari wanazotutangazia kina Membe ni unafiki? wanatudanganya wananchi huku wao viongozi wakiukubali ushoga nyuma ya pazia??

Mkuu pole kwa mstuko uliokupata,usije ukafa kwa presha bure? Hivi ni lini kiongozi wa serikali ya JK aliongea kile wakifanyacho? wengi wao ni wanafiki tu...tazama hawa hapa nadhani utanielewa..

  1. Samwel Sitta
  2. Nape Nnauye
  3. Jaji Warioba nk
Hawa wanadhihirisha kile hawa watu wakifanyacho...Ushoga ulikwisha ingizwa kinyemela,hivi unadhani JK atakula wapi akiwagomea hawa washenzi?
 
Nachangia humu kwa kuweka tu kumbukumbu sawa. Kwanza, Kwa vyovyote vile, Prince Charles hawezi kuwa amealikwa jana kuja Tanzania. Mwaliko wake utakuwa wa siku nyingi kabla Waziri Mkuu David Cameroon hajatoa msimamo wake Mkutano wa Chama chake cha Conservative na alipokutana na mwandishi wa BBC huko Perth. hivyo, ziara ya Prince Charles ilikuwapo kabla ya tamko hili, naye hajawahi kujitangaza kama ni shoga. Anajulikana kuwa ni rijali tena mwenye kupenda sugar mummy na ndio maana akazamia kwa Bi. Camila akamuacha Princess Diana.

Pili, ni muhimu pia kuelewa kuwa, ndani ya Uingereza mwenyewe hakuna muafaka juu ya suala hili. Serikali ya Chama cha Conservative inajaribu kuifanya kuwa agenda ya kitaifa na kimataifa. Wameanzia katika kutafuta muafaka kwenye Chama chao na sasa wanataka kutungia Sheria. Miaka miwili tu iliyopita wakati wa Serikali ya Labour Party, jambo hili halikupewa nafasi kabisa ingawa kilio hiki kilikuwamo ndani ya Uingereza. Hivyo, hadi sasa, sio Sera rasmi ya NJE ya Uingereza na kwa vyovyote haihusiani na ziara ya Prince Charles. Balozi wa Uingereza hapa nchini ameshajitokeza Jana kukanusha, jambo ambalo linaashiria kuwa Waziri Mkuu Cameroon aliteleza ulimi kutokana na ugeni wake katika Uongozi wa Nchi.

Tatu, Prince Charles anakuja nchini kama Mwakilishi wa Malkia (Royal Family) na si Serikali ya Uingereza. Katika Siasa za Uingereza, Waziri Mkuu ndio kiongozi wa Serikali. Prince Charles hana mamlaka ya kutoa msaada wala kuingia Mkataba wowote kwa niaba ya Uingereza. Hivyo, si mtu anayeweza kuathiri Sera au kushawishi Sera fulani. Ujio wake Tanzania ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru na hivyo hauhusiani na tamko la Waziri Mkuu wake. Kwa mantiki hiyo huwezi kuhusisha ziara yake na kupromote ushoga.

Hayo ndio maoni yangu ikiwa pengine jambo hili halikufanyiwa utafiti na muanzisha mada. Ila kama mwenye mada aliamua kupotosha kwa makusudi, basi maoni haya yapuuzwe.


a
Mnajitahidi sana ku justify ujio wa shoga kwamba yeye hahusiki na serikali ni kama kitimoto siri ila huwa nakunywa mchuzi wake watanzania mnafurahisha sana.
 
Prince Charles na mkewe Camilla, wanatarajiwa kuwasili nchini jioni ya leo kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete kwa ziara ya siku tatu nchini.

Watakuwa nchini hadi Novemba 9 ambapo atatembelea maeneo mbalimbali, kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Ubalozi wa Uingereza nchini, Mark Polatajko, Prince Charles na mkewe watapokewa na Rais Kikwete na mkewe, Salma Kikwete na kutumbuizwa na vikundi vya ngoma za asili.

My take: Kwa nini ikulu na rais Kikwete wamekubali ziara ya mashoga? tuseme habari wanazotutangazia kina Membe ni unafiki? wanatudanganya wananchi huku wao viongozi wakiukubali ushoga nyuma ya pazia??

ina maana prince charles Shoga tuwekeni saw tafadhali
 
Sun, Nov 6th, 2011
Sun, Nov 6th, 2011| Tanzania




Prince-Charles.jpg


Royal Highnesses Prince of Wales (Prince Charles)


Their Royal Highnesses Prince of Wales (Prince Charles) and the Duchess of Cornwall arrive in Tanzaniatoday for a four-day official visit at the invitation of President Jakaya Kikwete.

The visit to Tanzania forms part of a Commonwealth tour that includes South Africa, which the Royal couple have just visited.

The visit by Their Royal Highnesses will be part of celebrations to mark the 50th anniversary of
Tanzania's independence.


The British High Commissioner to Tanzania, Ms Diane Corner, told the ‘Sunday News' in an exclusive interview earlier this week that the couple will visit
Dar es Salaam, Zanzibar and Kilimanjaro.


The Prince of Wales' last official visit to Tanzania was in March 1984. This will be the Duchess of Cornwall's first visit to Tanzania.


The High Commissioner said that "President Kikwete and First Lady Mama Salma Kikwete will host Their Royal Highnesses at a state dinner as part of ceremonial events of the visit."


The High Commissioner explained that while in
Dar es Salaam, Their Royal Highnesses will also visit projects funded by the UK's Department for International Development (DfID) and have the opportunity to see the activities of the British Council, World Wildlife Fund (WWF) and other British Non-Governmental Organizations (NGOs) operating in Tanzania.


In both Commonwealth countries there will be a focus on the WWF's work to protect endangered species and fragile ecosystems. The High Commissioner highlighted that The Prince of Wales had recently become President of WWF UK.

Their Royal Highnesses will also meet British investors in Dar es Salaam and find out more about how they have assisted in creating jobs and developing skills of local Tanzanians, according to Ms Corner.

In addition, there will be visits to the WAMA Foundation, which is run by the First Lady, Mama Salma Kikwete and to witness READ International donating their millionth book to Tanzania.


On Their Royal Highnesses' visit to
Zanzibar, they will meet the President of Zanzibar, Dr Mohamed Ali Shein after which they will have an opportunity to explore the fusion of different cultures in the island.


"While in Zanzibar the Royal couple will also learn about the spice industry and development projects funded by the UK," the High Commissioner said.


They will also take the opportunity to visit the House of Wonders, where they will learn about a number of aid projects supported by the British Government and by British NGOs working in Zanzibar.


The visit will also include a trip to a local school in Bububu to see how the British Council, with VSO, is promoting English language education in Zanzibar.

The Prince and Duchess will also take part in a celebration to mark the Golden Anniversary of the UK's Voluntary Service Oversees (VSO) in Tanzania.

On the Royal visit to the
Arusha region, Their Royal Highnesses will visit a Maasai village to gain knowledge of how the nomadic pastoralists have adapted to effects of climate change.


"During the visit to
Arusha, there will be an opportunity to meet British investors and also talk to Tanzanian entrepreneurs, who are supported by DfID through a project aimed at promoting Small and Medium Enterprises (SMEs)," Ms Corner declared.


DfID assistance in promoting provision of quality education at Leganga School in
Arusha will be another focus of the visit, where their Royal Highnesses will have the opportunity to see how Government and donors have worked together to improve access to education.


Their Royal Highnesses will end their visit to Tanzania by visiting Arusha National Park, where they will be able to appreciate the beauty of Tanzania's extraordinary natural heritage.


During the visit to Arusha National Park, Their Royal Highnesses will learn about wildlife protection and ongoing educational programmes in conservation.

Their Royal Highnesses' Commonwealth tour to Tanzania and South Africa will have a focus on trade and investment promotion to support Britain's economic recovery and to strengthen the economies of the UK's trading partners.

The tour will also focus on employment opportunities, development issues as well as education and practical support for disadvantaged young people and the disabled and sustainability issues in the run-up to the Durban Climate Summit.

By ALVAR MWAKYUSA, Tanzania Daily News

 
Prince Charles na mkewe Camilla, wanatarajiwa kuwasili nchini jioni ya leo kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete kwa ziara ya siku tatu nchini.

Watakuwa nchini hadi Novemba 9 ambapo atatembelea maeneo mbalimbali, kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Ubalozi wa Uingereza nchini, Mark Polatajko, Prince Charles na mkewe watapokewa na Rais Kikwete na mkewe, Salma Kikwete na kutumbuizwa na vikundi vya ngoma za asili.

My take: Kwa nini ikulu na rais Kikwete wamekubali ziara ya mashoga? tuseme habari wanazotutangazia kina Membe ni unafiki? wanatudanganya wananchi huku wao viongozi wakiukubali ushoga nyuma ya pazia??

Siyo bure una mtindio wewe. Yeye anahusikaje na kauli ya serikali? Au kwa ufinyu wako wa mawazo unamaanisha kila muingereza ni shoga au anaunga mkono kauli ya serikali yake kuhusu ushoga? Mitizamo finy kama hii ndiyo inawafanya wengi wenu kudhani kwamba kuna jamii ya watakatifu watupu au ya waovu watupu!
 
Kwa nia njema kabisa, ningeshukuru kama WAMA wangepunguza kuomba omba! Hakuna kiongozi anayekuja hapa bila kuonana na kiongozi wa 'WAMA' na ukufuatilia wanachotafuta ni misaada. Alipita kiongozi wa India hapa (Singh) a very brief visit lakini WAMA hawakupoteza muda wa kupitisha bakuli na unakuta wakati mwingine wanaomba $15,000! Sijui wamefanya nini hasa lakini kama taifa WAMA inatia aibu ni hii tabia ya omba omba. Tuepusheni na hii fedheha.
 
Back
Top Bottom