Siasa za Tanzania hazihitaji akili nyingi..Mimi nina watu wangu nikiwalenga wananipa hela;Maisha yanaenda..kuna hoja ukiibua hata ukimfuata mtu anakupa hela".Sikubaliani naye kuwa siasa za Tanzania zinahitaji akili...hapo kwenye nyekundu sasa akili ipo wapi hapo?! Kumlenga mtu na hoja ukiwa na lengo la kupata hela ndio akili! Siwezi hata kuuita 'ujanja' huo!
Siasa za Tanzania hazihitaji akili nyingi..Mimi nina watu wangu nikiwalenga wananipa hela;Maisha yanaenda..kuna hoja ukiibua hata ukimfuata mtu anakupa hela".Sikubaliani naye kuwa siasa za Tanzania zinahitaji akili...hapo kwenye nyekundu sasa akili ipo wapi hapo?! Kumlenga mtu na hoja ukiwa na lengo la kupata hela ndio akili! Siwezi hata kuuita 'ujanja' huo!
Huo ni U-Condom wala si ujanja Mkuu.
Kipindi flani nilisafiri na Bagenda kwenda kwenye moja ya mikutano ya Wanaharakati wa umoja wa Afrika (Mkutano uliotengeneza Azimio la Tripoli-Libya).
Tulizungumza mengi lakini nakumbuka tukiwa kwenye hoteli moja Zurich, Uswiss aliniambia, "Siasa za Tanzania hazihitaji akili nyingi.
Mimi nina watu wangu nikiwalenga wananipa hela maisha yanaenda.Kwanza mimi mwenyewe mgonjwa (Sikuchunguza ni ugonjwa gani alimaanisha) kuna hoja ukiibua hata ukimfuata mtu anakupa hela".
From there nilimu dump Bagenda Prince totally.
Itanichukua miaka ya kuzimu kujadili hoja za huyu (Old man)
SASA ANATOFAUTI GANI NA CHANGUDOA VIZEE VYA SIKU HIZI HAVINA HATA HEKIMA,HALAFU HII CHADEMA ITAWATOA NYONGO MWAKA HUU.Siasa za Tanzania hazihitaji akili nyingi..Mimi nina watu wangu nikiwalenga wananipa hela;Maisha yanaenda..kuna hoja ukiibua hata ukimfuata mtu anakupa hela".
Huo ni U-Condom wala si ujanja Mkuu.
SASA ANATOFAUTI GANI NA CHANGUDOA VIZEE VYA SIKU HIZI HAVINA HATA HEKIMA,HALAFU HII CHADEMA ITAWATOA NYONGO MWAKA HUU.
Haha.. Mkuu usiniponze nipate BAN mapema yote hii.. Mwenzio ndo kwanza nimeingia huku jana!..loh.
Hivi kumbe bado yupo??
Ah! Jamaa kaibuka! Naona anaosha nyota. Too late.
Hivi kumbe bado yupo??
Kada wa chama cha mapinduzi na mwanasiasa mkongwe nchini Prince Bagenda amekishambulia chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kwa operesheni yake ya M4C inayotishia uhai wa CCM.
Katika makala yake ndani ya gazeti la RAI Prince Bagenda amedai M4C ni chama kipya cha siasa ndani ya CDM na kusema hali hiyo ni hatari kubwa kwa ukuaji wa chama hicho na amesema utatokea mvutano mkubwa kati ya wafuasi wa CDM na wafuasi wa itikadi ya M4C.
Bagenda pia amesema kampeni ya M4C wanayoongoza nchi nzima inatangaza sera za shari na chuki.Pia amesema CDM walipata kura nyingi uchaguzi mkuu uliopita kutokana na vita ya makundi ndani ya CCM na kamwe si kutokana na chama hicho kuwa na sera nzuri.Amesema CDM hawana Itikadi inayoeleweka hadi sasa ndiyo maana mpaka sasa wajanja kama yeye wako CCM.
Source:RAI Alhamisi
My Take:
Prince Bagenda alishiriki kusambaratisha chama cha NCCR Mageuzi baada ya kuongoza mgogoro mkubwa huku akikimega chama vipande viwili na yeye akiwa Katibu Mkuu kambi ya Mrema.Baada ya kufanikisha kusambaratisha NCCR,Prince Bagenda alihamia CCM ambapo hadi leo yeye ni kada mwaminifu wa CCM.
we, usicheze na njaa na ukichukulia kwa sasa migomba kule Rubya inaharibiwa na ugonjwa wa 'mnyauko'.
Lakini ninachokumbuka juu ya Price Bagenda alikuwa mtu mwenye akili sana ila inaonekana sasa kaamua 'kufaidika' nazo peke yake badala ya kushare na Watanzania wenzie