Hivi huyu alishaacha kazi kule TISS?? Au naye anaendelea kama mzee wa Kiraracha?
Hata hivyo, hana jinsi zaidi ya kutumikia wale wanamuweka mjini!!
Ila ingekuwa bora akajikita kujadili yale mambo anayoyajua vizuri kuliko kudandia treni kwa mbele. Na hata hivyo, inaonesha ana hang over ya kutisha....Anaposema kuwa makundi ndani ya lichama lao la CCM yalinufaisha CHADEMA, ana maana kuwa kwa sasa makundi hakuna??
Ni bora akakaa kimya ili tuzidi kumsahau.....Hivi hawa jamaa wa BKB wana matatizo gani??....au ndo mwendo wa kutafuta mkate kama ndugu zake Salva na Mhingo Rweyemamu?.................