- Thread starter
- #121
Hahahahahaha, CCM ina itikadi gani? Kweli ujinga ni mzigo mzito saaaana!!!!!! Hivi kipindi chote kile alipokuwa NCCR MAGEUZI kumbe lengo lilikuwa kujaza tumbo tu? sasa yupo na akina tumbo tumbo akili haifikiri tena. Hivi hakuna mwenye busara katika CCM nyakati hizi? Akisimama Mukama utumbo, akisimama Nape uozo mtupu, Wasira akisimama upuuzi tu, akisimama Pinda liwalo na liwe (huku akilia), akisimama Bagenda naye kumbe ndio matope matupu. Sipati jibu tulifikiaje kunaongozwa na watu hawa.
Hakika kwa hili Bagenda amejivua nguo na kubaki mtupu.....