Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Huyu Princess Bagenda na Princess Diana si walikufa kipindi kimoja sasa huyu mwingine kafufukia CCM?
we, usicheze na njaa na ukichukulia kwa sasa migomba kule Rubya inaharibiwa na ugonjwa wa 'mnyauko'.
Lakini ninachokumbuka juu ya Price Bagenda alikuwa mtu mwenye akili sana ila inaonekana sasa kaamua 'kufaidika' nazo peke yake badala ya kushare na Watanzania wenzie
Kipindi flani nilisafiri na Bagenda kwenda kwenye moja ya mikutano ya Wanaharakati wa umoja wa Afrika (Mkutano uliotengeneza Azimio la Tripoli-Libya).
Tulizungumza mengi lakini nakumbuka tukiwa kwenye hoteli moja Zurich, Uswiss aliniambia, "Siasa za Tanzania hazihitaji akili nyingi.
Mimi nina watu wangu nikiwalenga wananipa hela maisha yanaenda.Kwanza mimi mwenyewe mgonjwa (Sikuchunguza ni ugonjwa gani alimaanisha) kuna hoja ukiibua hata ukimfuata mtu anakupa hela".
From there nilimu dump Bagenda Prince totally.
Itanichukua miaka ya kuzimu kujadili hoja za huyu (Old man)
Kweli huyu ni mjanja, kama aliamua kuzaa na secretery wake au huo ndo ujanja wa magamba????
Ha ha ha ha ha... huyu jamaa nasikia ni kibarua wa RA pale Sinza Kijiweni a.k.a New Habari Corporation...Msitegemee jipya toka kwake.. anandikka kuwafurahisha mabwana zake.. political theories zake unapplicable nowadays...siku moja nikutana naye Jolly Club mida ya saa 3 asubuhi Jumapili last year anabwia supu. Nikamuuliza vipi siku hizi umerudi kuwa kijani kijani? akanijibu '' mtu hawezi kuwa mpizani for all his life''..Mwacheni agange njaa zake ana watoto jamani.. Mentally fully depreciated ....MWAACHE
Dah....!! aliandika hadi kitabu cha kumsifia JK?
Ndo anajitahidi kujionesha kuwa yupo. Hivi kile kitabu chake cha 'JK: Tumaini lililorejea' kiliishia wapi baada ya yeye kutoswa uongozi na JK?
Afadhali amekiri kuwa anafanya siasa za kuganga njaaHa ha ha ha ha... huyu jamaa nasikia ni kibarua wa RA pale Sinza Kijiweni a.k.a New Habari Corporation...Msitegemee jipya toka kwake.. anandikka kuwafurahisha mabwana zake.. political theories zake unapplicable nowadays...siku moja nikutana naye Jolly Club mida ya saa 3 asubuhi Jumapili last year anabwia supu. Nikamuuliza vipi siku hizi umerudi kuwa kijani kijani? akanijibu '' mtu hawezi kuwa mpizani for all his life''..Mwacheni agange njaa zake ana watoto jamani.. Mentally fully depreciated ....MWAACHE
Kada wa chama cha mapinduzi na mwanasiasa mkongwe nchini Prince Bagenda amekishambulia chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kwa operesheni yake ya M4C inayotishia uhai wa CCM.
Katika makala yake ndani ya gazeti la RAI Prince Bagenda amedai M4C ni chama kipya cha siasa ndani ya CDM na kusema hali hiyo ni hatari kubwa kwa ukuaji wa chama hicho na amesema utatokea mvutano mkubwa kati ya wafuasi wa CDM na wafuasi wa itikadi ya M4C.
Bagenda pia amesema kampeni ya M4C wanayoongoza nchi nzima inatangaza sera za shari na chuki.Pia amesema CDM walipata kura nyingi uchaguzi mkuu uliopita kutokana na vita ya makundi ndani ya CCM na kamwe si kutokana na chama hicho kuwa na sera nzuri.Amesema CDM hawana Itikadi inayoeleweka hadi sasa ndiyo maana mpaka sasa wajanja kama yeye wako CCM.
Source:RAI Alhamisi
My Take:
Prince Bagenda alishiriki kusambaratisha chama cha NCCR Mageuzi baada ya kuongoza mgogoro mkubwa huku akikimega chama vipande viwili na yeye akiwa Katibu Mkuu kambi ya Mrema.Baada ya kufanikisha kusambaratisha NCCR,Prince Bagenda alihamia CCM ambapo hadi leo yeye ni kada mwaminifu wa CCM.
Huyu naye si aende kule kijijini ajue moja...bado yupo kwenye hizi siasa?[/
kwani kuna aliyemwomba ushauri huyo prince juu ya kuimarisha chama kingine? aimarishe tu chama chake bila kuangalie wengine wanafanya nini.