Primary school nzuri yenye Boarding jijini DAR

GAMBLER

JF-Expert Member
Nov 22, 2009
303
11
Habari zenu wakuu, Ninatafuta shule nzuri yenye Boarding kwa hapa DAR, Kijana wangu anasoma Boarding ya St. Marys ya Tabata(primary) nataka kumtoa kwa sababu hii shule ni ya kisanii, naomba msaada wenu kwa mwenye kujua.......
 
Helo man what i can advice you achana na masuala ya kupeleka watoto borading school wakiwa wadogo,now days wazazi wanajivua majukumu ya kulea na kuwaachia waalimu unajua madhara yake?upendo wa mtoto kwa wazazi unapoa na mtoto anakuwa haoni umuhimu wa wazazi anaona hata bila wazazi anaweza akaishi yeye mwenyewe hata anapokuwa likizo unaweza ukaugua ukashangaa mbona mtoto haulizi hata hali yangu?kumbe haoni umuhimu wako anaona mwalimu ni muhimu kuliko wewe na mtoto anakuwa na tabia za ajabu ambazo pengine wewe kama mzazi huzipendi,kaa na mtoto tafuta day school,kila jioni uone maendeleo ya mtoto kama huna wa kumtunza now days primary school zina nafasi ya day care mtoto anakaa mpaka ukitoka job unampitia.Huwezi amini shule za boarding wanazosoma watoto kwa sasa wananajisiana na kusaganani hatari kubwa sikuamini siku moja kabinti ka darasa la tano kanasimulia kanavyosagana na mwenzake mbele ya kanisa baada ya kuletwa kuombewa baada ya mama kugundua tabia chafu ya mwanae,kanisa zima lilizizima kwa huzuni.acha hizo fikira sidhani kama wewe ulisoma boarding katika umri mdogo tuache kuiga mambo ya wazungu ni hatari kwa watoto mpeleke mtoto boarding akiwa sekondari hapo sikupingi.Pima ushauri huu
 
Helo man what i can advice you achana na masuala ya kupeleka watoto borading school wakiwa wadogo,now days wazazi wanajivua majukumu ya kulea na kuwaachia waalimu unajua madhara yake?upendo wa mtoto kwa wazazi unapoa na mtoto anakuwa haoni umuhimu wa wazazi anaona hata bila wazazi anaweza akaishi yeye mwenyewe hata anapokuwa likizo unaweza ukaugua ukashangaa mbona mtoto haulizi hata hali yangu?kumbe haoni umuhimu wako anaona mwalimu ni muhimu kuliko wewe na mtoto anakuwa na tabia za ajabu ambazo pengine wewe kama mzazi huzipendi,kaa na mtoto tafuta day school,kila jioni uone maendeleo ya mtoto kama huna wa kumtunza now days primary school zina nafasi ya day care mtoto anakaa mpaka ukitoka job unampitia.Huwezi amini shule za boarding wanazosoma watoto kwa sasa wananajisiana na kusaganani hatari kubwa sikuamini siku moja kabinti ka darasa la tano kanasimulia kanavyosagana na mwenzake mbele ya kanisa baada ya kuletwa kuombewa baada ya mama kugundua tabia chafu ya mwanae,kanisa zima lilizizima kwa huzuni.acha hizo fikira sidhani kama wewe ulisoma boarding katika umri mdogo tuache kuiga mambo ya wazungu ni hatari kwa watoto mpeleke mtoto boarding akiwa sekondari hapo sikupingi.Pima ushauri huu

Oooh....God in the name of Jesus!...

Huh!....Dunia imeenda pabaya!..Hivi siku zimekimbilia wapi!:A S embarassed:

My Broda Gambler, ambu sikiliza ushauri wa huyu mdau, ukae na mwanao nyumbani!
Shule nzuri za kwenda na kurudi ziko nyingi bana!...huh!..nimechoka.


 
kama utainsist boarding, jaribu Epifan kwa Faza Bayo bagamoyo, sio mbali sana na dar, ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom