Naomba msaada kijana aliyefaulu aweze kuchaguliwa boarding

NDIMA Sir

New Member
Feb 3, 2018
1
1
Naomba msaada, naishi na kijana Ambaye Hana baba Wala mama. Nimemlea tangu darasa la kwanza. Uwezo aloo nao ni mkubwa amefauli vizuri darasa la saba Kwa wastani wa A. Natamani apate shule nzuri ya government boarding coz mambo yangu sio mazuri., Ningempeleka private. Naomba msaada Ili aweze kuchaguliwa boarding.
 
Nachojua ufaulu ndio utakao mpekeka shule nzuri

Kwa huku kigamboni kwetu shule za boarding kwa watoto waliosoma shule za serikal na kupata wastan wa A wengi hupata kipaumbele shule za bwen maeneo haya Kama wa kike ndio kabisaaaa

Kama amesoma hiz za medium awe amefaulu Sana hupata shule za bwen na akifaulu Zaid hupangiwa nje ya mkoa au special
 
Weka akilini tu kuwa atapangiwa day school Unless umpeleke private ambapo haji kupata tena ufadhili wa serikali huko mbele.
 
Mkuu unae uwezo wa kulipa ngap Kwa mwaka
Mlete huk Moshi shule SEREKALI zenye hostel

Ada 6500k-750k per year
 
Nachojua mtoto hapangiwi shule ya bweni sababu ya A anapangiwa shule kutokana na nafasi yake kihalmashauri mfano kwa upande wa wilaya yetu sisi ya Mbinga Dc wanafanyaga hivi (i mean huko tamisemi)

Kwa wasichana nilivyopiga hesabu zangu
 
Wasichana wenye A 124😳

Kumbuka
Sure, here you go:

1. Special
2. Special
3. Special
4. Technical
5. Technical
6. Technical
7. Technical
8. Boarding
9. Boarding
10. Boarding
11. Boarding
12. Boarding
13. Boarding
14.Boarding
15.Boarding


Wanafunzi 15 wenye alama xa juu zaidi watapangiwa bweni maalumu, bweni ufundi na bweni kawaida

Kuna wengine watachukuliwa kwenda shule za halmashauri (teule) kwetu huwa wanachukua 67

Hivyo basi chukua 124-15=109

109 hawatapangiwa shule za bweni za serikali hivyo basi kati yao watapangiwa mbinga girls (shule teule) wengine hawatapangiwa Mbinga girls licha ya kupata A (inasikitisha) 😢

Watakaopangiwa mbinga girls ni 67

ambao hawatapangiwa ni wangapi? 109-67=42

42 wamepata A lakini ukweli mchungu kuwa kati yao hawatapangiwa muwaambie huko mtaani wasubiri post wasichinje kuku kwanza 😁
 
Wasichana wenye A 124😳

Kumbuka
Sure, here you go:

1. Special
2. Special
3. Special
4. Technical
5. Technical
6. Technical
7. Technical
8. Boarding
9. Boarding
10. Boarding
11. Boarding
12. Boarding
13. Boarding
14.Boarding
15.Boarding


Wanafunzi 15 wenye alama xa juu zaidi watapangiwa bweni maalumu, bweni ufundi na bweni kawaida

Kuna wengine watachukuliwa kwenda shule za halmashauri (teule) kwetu huwa wanachukua 67

Hivyo basi chukua 124-15=109

109 hawatapangiwa shule za bweni za serikali hivyo basi kati yao watapangiwa mbinga girls (shule teule) wengine hawatapangiwa Mbinga girls licha ya kupata A (inasikitisha) 😢

Watakaopangiwa mbinga girls ni 67

ambao hawatapangiwa ni wangapi? 109-67=42

42 wamepata A lakini ukweli mchungu kuwa kati yao hawatapangiwa muwaambie huko mtaani wasubiri post wasichinje kuku kwanza 😁
Umetoa ufafanuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom