wacha tu shem.....mapendo yanamwagika.....
Preta msalimie Derimto asee!!!wacha tu shem.....mapendo yanamwagika.....
usiwe kimya hivyo!wengine tuna mipresha ati!
Basi namstua SV kuwa tukukaushie mara 4zaidi ili uwe na hasira doubledouble, hatimaye siku hiyo uzimalize kwa jazba!kitu cha mbinyo kitahusika....tih tih tih
hakika mpendwa kuanzia leo hutanikosa......nakuhakikishia
hutaki?
Preta msalimie Derimto asee!!!
Mwambie salammm kutoka makao makuu!!!............Kimya kimya! usiulize mpwa!
Basi namstua SV kuwa tukukaushie mara 4zaidi ili uwe na hasira doubledouble, hatimaye siku hiyo uzimalize kwa jazba!
Si unapajua pale tunapopewaga makoti ya kujikinga na baridi eeh?..panahusika siku hiyo!
Mhandisi safarini Libya.........
bear anatoka kusini anaenda kaskazini..........then anarudi kusuni Usalule akiwa na busara za mama busara!!ooohooo....ok....polar bear anaelekea kusini au kaskazini.......na hiyo safari ameanza lini?
shemeji?! Kwa nani tena?
Hey love!! long tym??? hata tukiwa kifungoni hamtukumbuki? mmeyasahau maagizo ya bwana wetu yesu kristo?oryt oyrt mhandisi........sie bado tunapambana na nyaya huku rhotia mpaka kimba......nyt nyt