nyachijendi
Member
- Dec 15, 2012
- 57
- 8
iv ) Uwazi na uwajibikaji
ACT Tanzania inaamini katika uwazi kwenye mambo yote ya kijamii na kitaifa. Hivyo basi viongozi na wanachama wa ACT-Tanzania wana wajibu wa kupigania uwazi katika mambo yote wanayofanya kwa ajili ya umma. Sambamba na uwazi,
ACT - Tanzania inaamini kwamba kila mwananchi na kiongozi mwenye dhamana katika umma ana wajibu katika jamii na Taifa kwa ujumla na ni jukumu lake kutekeleza wajibu huo bila kinyongo. Aidha, mwanachama na kiongozi atokanaye na ACT Tanzania anapaswa kuwajibika kwa maneno na matendo yake katika utumishi au nje ya utumishi wa chama au taasisi
yoyote ya umma. ACT Tanzania inaamini kwamba bidii katika kazi ndiyo njia pekee ya kujipatia maendeleo.. Hivyo basi wajibu mkuu wa mwanachama wa ACT Tanzania
utakuwa ni: BIDII KATIKA KAZI.
uu wapi uwazi wa mabilioni ya uswisi? Alienda na hakurudi na kitu chochote harafu leo na M..GAMBA wanajiita wawazi kwa umma MAPRITENDER wakubwa. TZ bila cdm ni sawa baadhi ya wabunge bila uchawi haiwezekani>
ACT Tanzania inaamini katika uwazi kwenye mambo yote ya kijamii na kitaifa. Hivyo basi viongozi na wanachama wa ACT-Tanzania wana wajibu wa kupigania uwazi katika mambo yote wanayofanya kwa ajili ya umma. Sambamba na uwazi,
ACT - Tanzania inaamini kwamba kila mwananchi na kiongozi mwenye dhamana katika umma ana wajibu katika jamii na Taifa kwa ujumla na ni jukumu lake kutekeleza wajibu huo bila kinyongo. Aidha, mwanachama na kiongozi atokanaye na ACT Tanzania anapaswa kuwajibika kwa maneno na matendo yake katika utumishi au nje ya utumishi wa chama au taasisi
yoyote ya umma. ACT Tanzania inaamini kwamba bidii katika kazi ndiyo njia pekee ya kujipatia maendeleo.. Hivyo basi wajibu mkuu wa mwanachama wa ACT Tanzania
utakuwa ni: BIDII KATIKA KAZI.
uu wapi uwazi wa mabilioni ya uswisi? Alienda na hakurudi na kitu chochote harafu leo na M..GAMBA wanajiita wawazi kwa umma MAPRITENDER wakubwa. TZ bila cdm ni sawa baadhi ya wabunge bila uchawi haiwezekani>