Press conference ya ACT-Tanzania

Press conference ya ACT-Tanzania

Sasa watu humu sijui mlitaka jamaa waungane na CDM ile wameingia madarakani, ngoja wao wafanye yao, kila chama kifanye yao, siri za ndani hakuna anayezijua zaidi ya wahusika wakuu sisi wengine watazamaji tu na kutoa assumption kwamba wameletwa na CCM kitu ambacho ukiambiwa u-prove unaishia kusema kwa sababu wameanza na CDM.. Ngoja tuwaone wanasemaje kwanza, japo kila walichoandika hapo juu tumekisikia hii mara ya buku nadhani, natafuta kitu kipya
 
Kwa nini Tanzania isingekua na vyama viwili au vitatu tu.. au tushindwe basi vinne. Vyama naona kama vimezidi vile, multiparty system haina ubaya ila hii ya kila mtu akijisikia kuanzisha chama anafata ka utaratibu kadogo tu afu kitu kinaruka hewani ni mambo ya ajabu
 
Heri ya Padri ana CCBRT ambako mama yako atatibiwa FISTULA, Limbu mpika ubwabwa kwenye sherehe na kwenye hitma atatupeleka wapi?

padri mzinzi anaepora wake za watu?
 
Malengo ya chama cha upinzani yanatakiwa kuwa ni kupambana na chama kilichopo madarakani.

Huwezi kuanzisha chama cha upinzani ili kupambana na chama kingine cha upinzani halafu ukapata uungwaji mkono na umma.
ADC kilianzishwa kwa ajili ya kudumaza CUF lakini matokeo yake ADC haipigi hatua yeyote ile, kama CUF inadumaa basi ni kwa makosa ya CUF yenyewe.


Hiki ATC hakiwezi hata kufikia kiwango cha ADC kwa sababu kinashambulia chama kikuu cha upinzani waziwazi, tofauti na ADC walikuwa wanafanya strategies kwa usiri.
 
wenzenu wanaanzisha makampuni makubwa nyie mnaanzisha vyama,
 
Back
Top Bottom