The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,215
- 17,365
Kwa nini hiki chama kinaitwa ACT Tanzania na siyo ACT tu .........................Wanajitofautisha na ACT ip!!!!??
hongera mwenyekiti wa act naona mmekuja na ids mpya Mpya kutudanganya wa Tz ....mtashindanda lakini hamtashinda.......
Mbowe ajiandae kurudi kwenye bashara zake za kilaghai chadema lazima ipotezwe kwenye siasa za tanzania tuliwambia wamuombe msamaha zitto wakajifanya wajanja sasa fimbo wanazo.
Kwa nini hiki chama kinaitwa ACT Tanzania na siyo ACT tu .........................Wanajitofautisha na ACT ip!!!!??
usiingize udini hapa, tafadhali sana
Chadema ndio itakufa soon kama NAREA
Oooh, do you belong to chaggas party ee? Ngoja mnyolewe kwa kijinga cha moto
huyo mwenyekiti Limbu alikuwa CUF,akakimbilia ADC,nako tayari amehasi sasa ni ACT!kweli huu ni muungano wa waasi ambao utadumu tu iwapo jumapili mbili zitakuja kwa pamoja!
Nimecheka kweli mwenyekiti ni Limbu? ADC ameshahama?
Huyu ni bingwa wa kushinda pale mgahawa wa Lumumba "jobless corner"
Msukuma mmoja mpishi sana, anajinenepea kama puto, kwa sasabu ya kula "kimjini mjini"
Kama hivi ndivyo hiki ni CCM C, hongereni maccm kwa kuoa mke wa pili...
Chama chao cha Kigoma Ujiji ni chama cha kidini
Chama Chenye alama ya Nyota,kilizinduliwa MSIKITINI kwanza ndo kikaletwa uraiani
Kijinga cha moto ndio hicho chama cha waislam wa KIHA?
kwa hiyo na nyie mnavyopelekeshwa na mbowe kibabe hamuoni?
ACT chama cha kuagulia majini. Nyota ya nini kwenye bendera?
hapana. ni cha wakristo wa kichaga
Limbu ndo atawavusha kuelekea mnakotaka?