Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

lowassa mwenye maamuzi magumu.. Huko siku za nyuma aliwahi kuchangia mjadala bungeni akiishawishi serikali isiogope kukopa na ikope mapesa mengi tu...kutoka IMF na world Bank huku akisisitiza maoni yake yakubaliwe na kufanyiwa kazi kwa kutoa mfano wa America kukopa madola mengi kutoka mashirika ya fedha, mikopo iliyoikomboa America isiporomoke kiuchumi baada ya vita vya pili vya dunia....

Akiwa Rais atatimiza ndoto ya maoni yake ya kukopa na kukopa mpaka wakopeshaji wachanganyikiwe si uwezo wa maamuzi magumu utakuwa mikononi mwake.,masharti yoyote atayakubali hata yale ya wakopeshaji wa kingereza wanaoweka masharti magumu ya kukopa, moja ya masharti yao ni ndoa za jinsia moja zipewe kipaumbele ndio ukopesheke... kwa lowassa lolote liwe hakuna kuogopa ni kukopa kwa mbele zitalipwa na vizazi vijavyo ni sehemu ya maamuzi magumu..
 
Kajichukulia mali isivyo halali na yumo kwenye chama na mamlaka zinazohusika na masuala ya ubadhirifu zipo wanaishia kuzungumza tu na wao ndio wenye serikali na wana uwezo wa kupitisha sheria yoyote kutokana na wingi wao bungeni ili kudhibiti waharifu
 
Mbona kina nanii wanatumia pesa na Wana makundi ila umemuona Lowassa tu?heee acha chuki mkuu Lowassa ndo raisi tunayemuitaji,,nakuelezea mambo mengi lakini hoja yako haina mashiko:
 
Huyo alienda monduli akadhania kuna maslahi baada ya kukosa ndo hivyo
 
CCM iipoa ashamblizi haya miongni mwa wanachama wake inajimaliza polepole. Maana ilianza na Makonda akapewa cheo sasa kaanza mwingine. Je wanatumwa na wanaowapa vyeo?
WATANZANIA WANATAKIWA KUMPUUZA EDWARD LOWASSA
 
Sisi ccm tunamtaka yeye,la sivyo tutapigia kura chadema
 
Lazima unatumika kisiasa..
Uzuri wa kupewa pesa ukajikaange kwa mafuta yako mwenyewe ni kwamba huwa siri hiyo inafichuka kabla hata msemaji hajafika nyumbani kwake. Ati huyu siku moja atakuwa DC. Hajui hata AICC ilijengwa lini na Lowassa alikuwa wapi wakati huo. Hajui hata hiyo City Water ni nini.
 
Lowassa hata iweje....ndio RAIS....tatizo hawa vitoto vinavyotumika na Maembe mabovu, hawana hoja...wajinga, wa hovyo....CCM kwa sasa NI LOWASSA TU....

Watanzania wa sasa wanajua, yeye kaongea kama HOZA...kaoza huyu....yeye asimpe kura yake...sisi tutampa Lowassa...full stop..!! na aseme katumwa na nani..!!? Sbb aliyemtuma sie CCM insiders tunajua...na strategy za kipuuzi puuzi hizi...Lowassa ndio yuko mbele sana, wamechelewa...!!!

Lowassa hata angegombea mara kadhaa sio sbb, Rais wa Nigeria, Mr. Bhuhari aligombea mara 3 akashindwa..leo kawa Rais, aged 72 years ....so Hoza ushaoza ww, huna hoja, voroja vya mabwana zako....
jiandae kisaikolojia pa kwenda....!!!!
 
Sisi ccm tunamtaka yeye,la sivyo tutapigia kura chadema

Kwa andiko hili nawe ulipata elimu ya juu? Ni lini ulimpima afya Lowassa. Yaani pesa uliyotumwa imekupofusha hadi umeshindwa kutambua ni lipi la kusema na lipi la kuacha? Nani mzima katika uongozi wa juu CCM?Acha bwana, umemwaga mboga siye tutamwaga ugali. Nyamaza na usirudie upuuzi huu.
 
Wewe ndiyo unahaki miliki ya vichwa vyetu?kama ana uchafu wote huwo na unajua hawezi kupata nchi,tuachie wananchi,tunawajueni wote,tutamchagua anaetufaa,kampeni piga ndani ya chama.
 
Magamba wamechanganyikiwa kiasi kwamba kila mvaa shati la kijani ameota sharubu!!!Yote haya ni kwasababu ya kumuogopa Lowassa? Kama hawa magamba wana ubavu wawaachie wanachama wao ndio wachague nani wanampenda apeperushe bendere yao badala ya wambeya wachache kufanya hivyo!!!
 
wewe ndio wakuogompwa kama njaa bwana Hoza.masilahi yenu hayo upande wa Lowasa kuna mgombea mwingine..mnaemtaka kwaiyo nakushauri huu upuuzi kawambie wachumuatumbo uko kwenu morogoro.lakini wengine sisi waelewa tunajua na kuchuja mambo.
 
Dogo kajiandaa pesa za kulipa mawakili, maana kajiingiza kwenye kesi moja kwa moja.

Wait...misijekuwa huyu dogo katumwa na timu Lowassa aongee hayo alafu watakapomtishia kumpeleka mahakamani dogo aitishe tena waandishi wa habari aombe msamaha na kuwa alitumwa kufanya hivyo na kulipiwa kila kitu na mtu mmoja ambaye anamuona Lowassa ni tishio kwake, alafu hiyo inakuwa breaking news kwa siku kadhaaa, mtampenda tu
 
Back
Top Bottom