mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 919
Mkuu mimi nakushauri utangulie mzee wako anakuja huko mlikopanga kwenda.Huyu ndiye mgombea wetu na mkimfukuza au kutompitisha tunaenda naye ACT-WAZALENDO
Mkuu mimi nakushauri utangulie mzee wako anakuja huko mlikopanga kwenda.Huyu ndiye mgombea wetu na mkimfukuza au kutompitisha tunaenda naye ACT-WAZALENDO
Natamani kukupiga risasi ili ufe, wewe na huyo lowassa
Hata yeye anaona ni sahihi, hivyo wewe na yeye siwashangai zaidi nawasikitikia.Alichoongea ni sahihi kabisa
Hata media zimepuuza fitina na majungu haya
ye ni nani awafundishe watu kuhusu lowasa ...wakt aicc inajengwa alikuwepo ...ok alete ushahidi....
n way mti wenye matunda unapigwa mawe.......GO LOWASA GOOOOOOOOOOO ITS YOUR ZAMU AWAMU YA NNE
mkuu sijakosea kuna ka awamu kamepita nchi ilikuwa inajiongoza so tunaanza upya awamu ya nneAwamu ya Tano mkuu!
mkuu sijakosea kuna ka awamu kamepita nchi ilikuwa inajiongoza so tunaanza upya awamu ya nne
Jengo lipi la AICC huyu dogo anazungumzia? AICC ilikamilika 1976. Na ilijengwa na kampuni ya Italia.Hata kama simpendi EDO hili namtetea. Ana maupuuzi kibao lakini sio ujenzi wa AICC