commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
huyu mleta uzi ndio watanzania tunaowahitaji katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu,watu wanaothubutu kujitoa mhanga kusema ukweli bila kuogopa mungu akujalie wasije team lowasa wakakutimua nyumbani kama walivyomtimua mzee kasoriDuh!! Mbona kama jamaa kavuta shuka asubuhi, Kwani kuna vyeo vilivyobaki? Nape, Makonda and the like walicheza karata zao wakati zilikuwa zinahitajika. Sasa huyu jamaa anaibuka wakati kumeshakucha