Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Hii kazi ya updates ungemuaachia Yericko Nyerere yule bwana ni hodari wa hekaya...ataanza sasa ni majira ya asubuh saa tatu, tupo kaskazini mwa dsm mtaa wa ufipa, nyuzi joto ni 26, naona watu wamevalia kombakti ukitaka kujua hali zao ni shwari, maara namuona kamanda mnyikaa...hiki ndicho kitu anachoweza, yaani umbeya
Mkuu unajua unaweza kuepuka madhara yatokanayo na wivu ,hofu na chuki kwa kutosoma post zake?Maana kinyume na hapo utaendelea kupata "madhara yasiyotibika"(using Albert Msando's tone!)
Last edited by a moderator: