Press Conference - CHADEMA HQ

Press Conference - CHADEMA HQ

Status
Not open for further replies.
cdm kama chama kinachokua inabidi kiwe na maamuzi ya mara kwa mara ya kujisafisha..kuonya kwa anayeonyeka,kuaminisha wanachama kwamba kinaweza,ila hakina budi kuchukua na kufanyia kazi baadhi ya changamoto
 
Mkuu hilo tamko leo la nani tumezoea kila mtu anatoa tamko lake sasa tujulishe leo anatoa nani.
 
Kitila kafukuzwa chadema na kule anakofundisha nako kavuliwa ukuu wa idara...hahaaa pole mwalimu wangu

Wanyiramba wengi wanazi wa CDM wapo hoi bini taabani kwani kazi Yao yote juu ya Kitila ni sifuri! Wamechanganyikiwa kabisa hawa ndugu zangu! Pole sana ndio siasa hizo.

Najua Leo kwa Dr Kitila kesho kwenu pole sana!
 
Habari njema hapa Iramba kwa kuwa wanazi wengi wamehuzunishwa sana! Kweli ya Kaisari mwachie Kaisari...,

Ndio basi CDM Iramba lol..... Mkuu Mpumaminyongo utakuwa umelazwa sasa hapo Kinampanda pole kwa msiba mkubwa! Najua ulifanya kazi kubwa na Kitila sasa pole sana!

Hao ndio CDM....... Kesho watakufukuza wewe!

Chadema hatuendekezi na kulealea wasaliti.. Tunaponda kichwa tu.. Chama cha watanzania hakiwezi kuchezewa na watu wasiokitakia mema. Tunaamini wanachadema Iramba wataelewa kuwa ni Muhimu kujenga na kuimarisha chama.
 
wakuu tunawaletea habari za moja kwa moja kutoka makao makuu chadema mkutano na waandishi wa habari, maandalizi yanaendelea hapa ukumbini makanda wanaeendelea kujongea.....stay tuned....

makanda eti eeeh
 

Gongo watapewa kesho asubuhi ili wakafanye fujo mahakamani
Yaani kuna kundi kubwa la vijana wa CDM hapa Kiomboi wamechanyikiwa kabisa wamekosa Raha kabisa na waliowengi walijitoa kwa Mkumbo kwa 100%.

Sasa ndio mwanzo na mwisho wa CDM Iramba sasa mmoja wa vijana nilimsikia akisema huyu Mwigulu sasa Hana mpinzani" wameyataka wenyewe!

Poleni sana sie hayatuhusu
 
Dr mkumbo na mwigamba wamenyang'anywa uanachama na marando amerudisha kadi
Marando thlimstukia siku nyingi plan yake imechemshaya kuua upinzani. Niliongea na Dr. Lamwai akakiri kuwa. magamba yanatumia chombo cha usalama kuua upinzani maadamu. cdm wamesha msutukia marando wako safe
 
Wanyiramba wengi wanazi wa CDM wapo hoi bini taabani kwani kazi Yao yote juu ya Kitila ni sifuri! Wamechanganyikiwa kabisa hawa ndugu zangu! Pole sana ndio siasa hizo.

Najua Leo kwa Dr Kitila kesho kwenu pole sana!

Hatufanyi kazi ya Kitila Iramba tunafanya kazi ya Chadema! Wapo wasomi wengi tu waliotia nia Iramba Magharibi kugombea kupitia Chadema.
 
mind you kuna kambi ya Zitto na kambi ya Mbowe, sishangai lolote laweza kutokea,
Hii ya Mabere hata mimi siwezi amini maana huyu jamaa ni mwanamageuzi hata kabla hayajawa rasmi hapa TZ. Hawezi kukubaluana na ujinga wa kina Zitto tamaa
 
Niko hapa Airport mwanza nasubiri kubod naamini nitawahi hcho kikao pia nihudhurie kesi hyo kesho.

Watu kwa majidai,huyu mkuu anataka kujionyesha tu kuwa nae fedha zimemtembele wakati anadaiwa madeni ya fedha aliyokopa kwa ajili ya sikukuu za x-mass na mwaka mpya.. Kwa foleni ya Dar utoke sasa mwanza na fastjet utumie saa moja na nusu na kutoka Airport mpaka kwenye kikao ni takribani masaa 4. Majidai mengine bwana !!.
 
Hatufanyi kazi ya Kitila Iramba tunafanya kazi ya Chadema! Wapo wasomi wengi tu waliotia nia Iramba Magharibi kugombea kupitia Chadema.

Hakuna acha uwongo wataje? Ndio mwisho wa CDM Iramba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom