Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,517
- 1,869
Hapo kwenye muda mkuu ndio palinitatiza si unajua sisi huku Kilindi saa hizi inakaribia kabisa saa 4 asubuhi nikajua nimeshapitwaa...! Ahsanteni kwa taarifa ila msisahau muda huo ukifika mumwambie Yericko awahi kama alivyowahi Mahakamani
makamanda mnanipa raha. nikikumbuka story ya Yeriko. afu na hichi kibwagizo mnanipa raha.