uniseni
Senior Member
- Aug 16, 2012
- 141
- 41
Hii ya Marando inasemekana ni uzushi, Tumaini Makene ametoa taarifa kupitia wall yake ya fesibuku.
https://m.facebook.com/story.php?_e_pi_=7%2CPAGE_ID10%2C2418820102
Last edited by a moderator:
Hii ya Marando inasemekana ni uzushi, Tumaini Makene ametoa taarifa kupitia wall yake ya fesibuku.
Kiboko yako Nyamuhanga
Chadema ni Saccos ya kaskazini wakuja hawana chaoYaani kuna kundi kubwa la vijana wa CDM hapa Kiomboi wamechanyikiwa kabisa wamekosa Raha kabisa na waliowengi walijitoa kwa Mkumbo kwa 100%.
Sasa ndio mwanzo na mwisho wa CDM Iramba sasa mmoja wa vijana nilimsikia akisema huyu Mwigulu sasa Hana mpinzani" wameyataka wenyewe!
Poleni sana sie hayatuhusu
Marando thlimstukia siku nyingi plan yake imechemshaya kuua upinzani. Niliongea na Dr. Lamwai akakiri kuwa. magamba yanatumia chombo cha usalama kuua upinzani maadamu. cdm wamesha msutukia marando wako safe
amekuuliza nani kama upo wapi?
Hii ya Marando inasemekana ni uzushi, Tumaini Makene ametoa taarifa kupitia wall yake ya fesibuku.
Hatufanyi kazi ya Kitila Iramba tunafanya kazi ya Chadema! Wapo wasomi wengi tu waliotia nia Iramba Magharibi kugombea kupitia Chadema.
Ahsante kwa Akili finyu
Yaani kuna kundi kubwa la vijana wa CDM hapa Kiomboi wamechanyikiwa kabisa wamekosa Raha kabisa na waliowengi walijitoa kwa Mkumbo kwa 100%.
Sasa ndio mwanzo na mwisho wa CDM Iramba sasa mmoja wa vijana nilimsikia akisema huyu Mwigulu sasa Hana mpinzani" wameyataka wenyewe!
Poleni sana sie hayatuhusu
Naona kwa sasa mmeishiwa kabisa mapozi,
Heheee ngebe zote kwishaaa!
Nyamuhanga gani? Huyu mwizi au mwingine?
Duh. Bado niko kanisani, ndiyo kwanza padri anajiandaa kusoma injili.
Zitto na puppets wake walifikiri utani sasa akili ndio zinaanza kuwarudi.Naona kwa sasa mmeishiwa kabisa mapozi,
Heheee ngebe zote kwishaaa!
Yericko kumbuka ya kwamba mipira haitumiki mara mbili kwa sababu za kiafya na hofu ya kupasuka.Pigia mstari,baada ya kutumika kumchfua Zitto hautokuwa na matumizi tena.Naona kwa sasa mmeishiwa kabisa mapozi,
Heheee ngebe zote kwishaaa!
Mkuu hilo tamko leo la nani tumezoea kila mtu anatoa tamko lake sasa tujulishe leo anatoa nani.
Muulize Yerricko Nyerere anamjua sana na kila mtu Musoma Mjini anajulikana Kama DOI wa CCM
We uliye hai unahangaika nini na vitu vilivyokufa...kaa pembeni acha kife.mnadhani chadema ni ccm mnakaa na mizoga mnaogopa kuitimua...
Nimeshatoka Ibadani kumshukuru Mungu kwa kutupa CDM chama kisichocheka na Nyani...Asante Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia kwa kutuletea Chadema. Sasa nasubiri kusikia yatakayojiri kwenye press conferenceTulia kamanda pata supu,chai,uji ama chochote kile kwa utulivu kabisa.....jf ipo kwa ajili yako....