Press Conference - CHADEMA HQ

Press Conference - CHADEMA HQ

Status
Not open for further replies.
Misukule ya SLAA NA MBOWE ione inavyohangaika. Mtakoma mwaka huunwa 2014, lazima mwishoni kabisa mtaambiwa mkapike majumbanu mwao. Ma-house maid bwana, wanakazi kweli ya kujikomba kwa mabwana zao
 
Ndugu yangu Chinga One ametokomea kupanga meza unajua ndugu yangu yupo kiukereketwa zaidi maana decision makers wote ni toka Kaskazini! Mmakonde na chadema wapi na wapi?

Lazima atakuwa mbeba Viti
Tena atakuwa mmakonde chale wa msumbiji kaja kutafuta kazi Tz
 
Wakuu tunawaletea habari za moja kwa moja kutoka makao makuu chadema mkutano na waandishi wa habari, maandalizi yanaendelea hapa ukumbini makanda wanaeendelea kujongea.....stay tuned....

Tunasubiri makamanda wetu.......kazi mnayoifanya masalia hawawezi kamwe wataendelea na majungu tu ndio kazi waliyobaki nayo.
 
Yerricko Nyerere Leo Dar nyuzi joto ngapi? Mbona hutujuzi maana wengine tupo Shelui Huku vijijini
 
Tunakushukuru Mungu kwa baraka zako tele CHADEMA
 
wakuu tunawaletea habari za moja kwa moja kutoka makao makuu chadema mkutano na waandishi wa habari, maandalizi yanaendelea hapa ukumbini makanda wanaeendelea kujongea.....stay tuned....

mkuu chinga 1, itapendeza km ukitupa series of events .
 
Mkuu Mingoi umempatia sana huyo Chinga One! Ni kweli atakuwa wa Mweda Msumbiji ingawa kasema yeye ni wa Masasi lakini kakulia Mtwara Mjini
 
Tulia kamanda pata supu,chai,uji ama chochote kile kwa utulivu kabisa.....jf ipo kwa ajili yako....

Pamoja kamanda............ tupia kila neno kana kwamba wote tupo kwenye ukumbi
 
mtei amechukia sana zito kuweka pingamizi.zito akishinda kesi lisu anatimuliwa chamani

Sio Mtei tu,wote wenye mapenzi mema na Demokrasia Nchini tumechukia.Tunapenda tuone Zitto amefukuzwa ili ajaribu kazi nyingine.Mwenzake Dr.Lamwai karudi kufundisha,Maskini Zitto sijui kazi gani anayoiweza.
 
Tunakushukuru Mungu kwa baraka zako tele CHADEMA

Molemo vp Yerricko yupo wapi tunamsubiri atujuze nyuzi joto Dar ngapi, waliovaa suruali wangapi na min skirt ni wangapi maana ni hodari wa kuripoti.
 
Jamani, mlisema saa 4 na sasa ni saa 4 na nusu. Mbona kimyaaa..?
 
wakuu inafaa tamko litolewe na ben saanane na yeriko nyerere hii misukule mbowe ya mbowe kwenye ishu za kuuza sura kwenye tv na magazeti inapotezewa sana. yenyewe kazi yao ni nyuma ya keyboard tu. tunataka tuione mana wengine hatuwajui kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom