Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
- Thread starter
- #41
Asante mkuu.Gbadolite ni mji katika nchi ya Congo na sio jumba au palace kama ulivyoandika,ni huko Mobutu alijenga uwanja wa ndege mkubwa kwa wakati huo wa kuweza kutua madege makubwa ilihali haukua mji unaostahili kuwa na kiwanja kikubwa hivyo,bali alifanya hivyo kwakua ni nyumbani kwao.