President Kikwete visits CNN studios in New york

President Kikwete visits CNN studios in New york

Akili ya ki ccm utaijua tu:do 9 things wrong and 1 good and use the 1 good to defend the 9 wrongs. At anyrate does BRT justify endless trips abroad?

Wewe boya sana unauliza suali jengine unataka jibu jengine sio?
Ulisema huon kitu alichofanya hata kimoja si ndio nikaona nikukumbushe au daraja la Kigambon hulijui pia?
Uwanja wa taifa je? Na hizo barabara za Mikoa?
 
Mwambie amfukuze kazi balozi wa Tanzania huko USA, anakula kodi zetu bure, vikazi vidogovidogo vya kufanya na balozi yeye ndo anaenda kuvifanya, anaharibu pesa yetu huyu mukulu!

Na ndio mnapofeli siku zote kwa dharau zenu unafikiri taasisi kubwa za habari kama zile ni rahisi kama hivo ambavo unachukulia wale watu ni heshima hata kwa serikal zao
 
Jeff Zucker alikuwa busy sana mpaka akashindwa kuonana na Rais wetu. Kwa nini asimuone Ted Tunner ambaye ndio level yake kukutana na hawa anchors ni kudhalilisha ofisi ya Rais.

Kijana umeisoma vizur hio habari? Kikao kafanya na uongozi wa CNN akiwemo makamo wa rais wao.
Richard anaendesha kipindi ambacho kinafanana na lengo husika sasa ulitaka atembezwe na nan?
 
Unless kama unaamini cho
chote kilichofanyika kimefanyika by chance or by means of goodluck. But in addition, ameenda CNN na watu wa bodi ya utalii kutoa back up... sasa hapo kazi iliyobaki ni ya board ya utalii sio JK tena. Unless kama unataka hata hayo matangazo kuhusu Serengeti, Ngorongoro n.k nayo yatengenezwe na kulipiwa JK.

JK kama rais wa nchi ana-play part yake ya Chief Country PR. Let me tell you something guys... Tanzania ni kanchi kadogo sana duniani hususani kama tunataka attention ya mataifa makubwa. Kuna issue zingine ni kweli kabisa zingeweza kufanywa hata na mawaziri wetu.... lakini kutokana na udogo wetu, the same issue ambayo inaweza kuwa handled na Waziri wa UK na kupata attention, ikiwa handled na waziri kutoka Tanzania haiwezi kupata attention!

Nikupe mfano mdogo tu! Hivi kule vijijini hata akienda mkuu wa Wilaya sii kila mahali wanafahamu kwamba Mkuu wa wilaya anakuja na kila kitu kinasimama? What abput Mkuu wa Mkoa? Now let's come back to Dar es salaam! Let me assume kwambaunaishi Ubungo! Hivi siku Waziri Maghembe akija Ubungo, ile ubungo inazizima kwamba kuna national leader amekuja? Hivi Pale Ubungo shughuli zinasimama kwamba Mecky Sadick anakuja? What if huyu Maghembe akienda mkoa?

Mtu kama Membe akienda US, no one will care except pale ubalozi! Hata huyo Quesy wala asingepoteza muda wa kutafuta pozi la kupiga picha na Membe. So, kwenye mataifa makubwa, kama kuna jambo tunahitaji attention, there's no way lazima rais aende... akienda waziri, ni sawa na Meck Sadick kwenda Kinondoni halafu atarajie watu wataacha shughuli zao kwamba mkuu wa mkoa amekuja.... atahutubia makada wa CCM hao hao!

Mkuu unaongea kitu sahihi, tatiizo wabongo porojo jingi ndio maana kila kitu kwao shida
 
Hicho unachokisema tells alot kuhusu udhaifu wa uongozi....Huwezi kuwa ni rais alafu unafanya hadi kazi za manaibu waziri na wakurugenzi...Maana yake umeshindwa kuwaelekeza watende vipi.....Umeshindwa kujenga team.....

Rais Imara ni yule anayeweza kufanya mambo yatokee kupitia watu.

Mkuu ninapokwambia hakuna kilichotendeka nalinganisha mapato ya nchi kupitia kodi,Mikopo na grants na maendeleo halisi yanayofanywa....Hela nyingi inapotea...Kikwete mwenyewe alishakiri 1/3 ya bajeti hua inapotelea mifukoni kwa walaji wa CCM na serikali yao...Maana yake ni nini? ni kwamba yeye kama rais ameshindwa kuchukua hatua kuziba mianya hiyo....

Deni la taifa linazidi kukua kwa kasi ya kutisha ....lakini haliendani na maendeleo on ground.

Haya anayoyafanya JK ni usanii tu...Anapenda Camera...he likes posing for pics...Nothing.......
Suala la ufisadi halia uhusiano na safari za JK... asafiri au asisafiri, ufisadi utabaki pale pale kwa kuwa tiba ya ufisadi sio kuacha kusafiri!!

Kwamba anafanya kazi ya manaibu mawaziri natamani kukuuliza unafanya kazi wapi manake hata hali ya kawaida, assume kampuni yako inatafuta business deal, kuna sehemu utatuma just sales manager lakin kuna sehemu utataka aende mtu above sales manager hata kama Sales Manager na mwenyewe atakuwamo kwenye msafara. Kama ungekuwa serikalini, ningekupa mfano ule ule wa akina Maghembe... ningekushauri itisha mkutano pale Ubungo kisha tangaza Maghembe ndie anakuja kisha itisha mkutano mwingine Nachingwea na tangaza Naibu wa Maghembe ndie anaenda... baada ya hapo angalaia response.

Kwamba Rais imara ni yule anayefanya mambo yatokee kupitia watu, upo right lakini kwa topic kama hii haupo right! Kwa sababu, hata hao marais wenyewe, attention ya rais mmoja anapoenda country X ni tofauti na rais mwingine akienda the same country!
 
Hivi ziara yake moja hua inacost madafu mangapi? Kwani hizo safari hua zibaibuka tu ? Akiennda jana anarudi leo kesho anaenda tena... akienda ajitahidi kumaliza hizo 'tour' zake asimalize kodi zetu
 
Na hili ndio tatizo la Watanzania na utawakuta ktk vimeza vya magazeti wanasoma vichwa vya habari tu wanaridhika.
Na kwa ujinga wako umesoma juu tu kwa uvivu wako halafu unaandika ujinga hapa soma tena hio habari!

nyie wa-Syria mnanunua safi sana
 
Nadhan jamaa anaondoka huku anasononeka,bado kuwaondolea umaskin wananchi wake ameshindwa kutimiza lengo na ndo maana anasema anataman awe rais wa mwisho kuongoza Tanzania maskin,je rais ajaye ataipeleka Tanzania pale anapopawazia JK???je JK alikwama wapi?JK anaamin kuwa gas na mafuta vitaitoa hii nchi na wananchi kwenye umaskini,ni kweli umaskin wa nchi hii unatokana na matumizi mabaya ya rasilimali(madini na vihusikavyo)?au tatizo ni vipaumbele au rushwa?au nchi haiwezeshi na kutumia rasilimali watu????na rais ajaye anapaswa afanyeje kuondokana na madhila haya???asiende nje???,atume watu???akomae na rushwa???afanyeje????
 
Kuna watu wana akili ndogo kweli,eti tanzania ka nchi kadogo,hata rwanda ni ka nchi kadogo,udogo wa nchi au ukubwa wake sio sababu ya kuvuta attntn ya dunia,nyerere alikuwa akikanyaga marekani lazma itambulike kuna raisi wa nchi kaingia,j.k amejidhalilisha mara nyng na ameidhalilisha nchi yake,heshma imeshuka,bora 2015 tutawaliwe na jwtz
 
naona picha moja wote wametabasamu mpaka bodyduard du, kweli amenza zoea ruti za nje mpaka anaona kawaida tu, na nyingine kama kaweka mkono mfukoni hivi.
 
Freeland,

..umepatia haswa.

..siyo kila mahali Raisi anatakiwa aende, au awashike mkono watendaji/wateule/wasaidizi wake.

..kinachoendelea hapo ni kutengeneza mazingira ya RUSHWA kwamba hakuna jambo linalowezekana nchi hii mpaka lipitie mikononi mwa Raisi.

..Raisi anakwenda huko CNN na kukaa kikao na maofisa wawili toka CNN?! Tena kuonyesha kwamba maofisa wenyewe hata hawatilii maanani kikao hicho unawaona hapo they are no taking any notes.

cc NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Unless kama unaamini cho
chote kilichofanyika kimefanyika by chance or by means of goodluck. But in addition, ameenda CNN na watu wa bodi ya utalii kutoa back up... sasa hapo kazi iliyobaki ni ya board ya utalii sio JK tena. Unless kama unataka hata hayo matangazo kuhusu Serengeti, Ngorongoro n.k nayo yatengenezwe na kulipiwa JK.

JK kama rais wa nchi ana-play part yake ya Chief Country PR. Let me tell you something guys... Tanzania ni kanchi kadogo sana duniani hususani kama tunataka attention ya mataifa makubwa. Kuna issue zingine ni kweli kabisa zingeweza kufanywa hata na mawaziri wetu.... lakini kutokana na udogo wetu, the same issue ambayo inaweza kuwa handled na Waziri wa UK na kupata attention, ikiwa handled na waziri kutoka Tanzania haiwezi kupata attention!

Nikupe mfano mdogo tu! Hivi kule vijijini hata akienda mkuu wa Wilaya sii kila mahali wanafahamu kwamba Mkuu wa wilaya anakuja na kila kitu kinasimama? What abput Mkuu wa Mkoa? Now let's come back to Dar es salaam! Let me assume kwambaunaishi Ubungo! Hivi siku Waziri Maghembe akija Ubungo, ile ubungo inazizima kwamba kuna national leader amekuja? Hivi Pale Ubungo shughuli zinasimama kwamba Mecky Sadick anakuja? What if huyu Maghembe akienda mkoa?

Mtu kama Membe akienda US, no one will care except pale ubalozi! Hata huyo Quesy wala asingepoteza muda wa kutafuta pozi la kupiga picha na Membe. So, kwenye mataifa makubwa, kama kuna jambo tunahitaji attention, there's no way lazima rais aende... akienda waziri, ni sawa na Meck Sadick kwenda Kinondoni halafu atarajie watu wataacha shughuli zao kwamba mkuu wa mkoa amekuja.... atahutubia makada wa CCM hao hao!

blah blah blah blah

Presidential trip inakua na watu wengi, wanabeba pesa nyingi sana, we need to do an in depth analysis on return on invetiment

Nchi yenye potential za Tanzania, inahitaji kitu kimoja tu kuweza kupata watalii na investors wengi, na cho ni good governance and enabling factors to invest, sio rais kutembeza bakuli kama matonya

there is no use of rais kuzinguka huku nyumbani hatuna huduma, uwazi, integrity wala ability to deliver

Chema chajiuza, Kibaya chajitembeza.... at the moment naona rais anajitembeza
 
Kijana umeisoma vizur hio habari? Kikao kafanya na uongozi wa CNN akiwemo makamo wa rais wao.
Richard anaendesha kipindi ambacho kinafanana na lengo husika sasa ulitaka atembezwe na nan?

Mzee elewa usibishe, fikiria Obama anafanya ziara Tanzania anatembelea sema ITV anaonana na Reinfred Masako na makamu mwenyekiti wa ITV , bila kuonana na Mwenyekiti mwenyewe Mzee Mengi. Kama una mwaliko mahali lazima uonane na mtu wa level yako, Rais kwa Rais, makamu kwa makamu, Ceo kwa Ceo, etc sio rais na executive vice president na chief commercial officer (Rani Raad).
 
SHOO IMEDHAMINI NA NANI? HIVI HAJARUD...........
:target:
 
Duuu picha nzuri sana aisee! Jamaa ana kisimet huyu.Richard Quest ni mmoja wa watangazaji mahiri sana CNN ambaye huwa mara nyingi program zake ni za Aviation zaidi na anaweza sana kuripoti.Mara nyingi namtazama usiku wa manane.

Quest mimi namkubali sana. ..
 
Mimi ni CHADEMA damu lakni kwa hili alilofanya Kikwete ni jambo jema mnooo! Hongera ndugu Jakaya, hongera sana!!!!

Nimekuwa nikijiuliza ni kwanini Tanzania imeshindwa kumtumia huyu Richard Quest ambaye mataifa mengi tena zenye nguvu za kiuchumi duniani wanamtumia kutangaza utalii katika nchi zao?!

Kwa hili nampongeza sana Rais. UPUNZANI sio KUPINGA tu kila kitu. Mtu anapofanya jema na apongezwe na kutiwa moyo na anapo fanya kunyume akemewe!

Hongera Ndg Kikwete. Sasa tunamuhitaji Quest aje nchini afanye coverage ya kutosha juu ya vivutio vyetu ili kuiambia dunia ukweli juu ya rasilimali tulizojaaliwa na mwenyezi Mungu.

Lakini zaidi kuweka mambo sawa juu ya mlima wetu Kilimanjaro na madini ya Tanzanite ambapo kwa pamoja dunia imeaminishwa kuwa vinapatikana nchini Kenya.!
 
Mimi ni CHADEMA damu lakni kwa hili alilofanya Kikwete ni jambo jema mnooo! Hongera ndugu Jakaya, hongera sana!!!!

Nimekuwa nikijiuliza ni kwanini Tanzania imeshindwa kumtumia huyu Richard Quest ambaye mataifa mengi tena zenye nguvu za kiuchumi duniani wanamtumia kutangaza utalii katika nchi zao?!

Kwa hili nampongeza sana Rais. UPUNZANI sio KUPINGA tu kila kitu. Mtu anapofanya jema na apongezwe na kutiwa moyo na anapo fanya kunyume akemewe!

Hongera Ndg Kikwete. Sasa tunamuhitaji Quest aje nchini afanye coverage ya kutosha juu ya vivutio vyetu ili kuiambia dunia ukweli juu ya rasilimali tulizojaaliwa na mwenyezi Mungu.

Lakini zaidi kuweka mambo sawa juu ya mlima wetu Kilimanjaro na madini ya Tanzanite ambapo kwa pamoja dunia imeaminishwa kuwa vinapatikana nchini Kenya.!

Mimi ni CCM lakini nadhani Kikwete is licking USA boots, too much for our president kuzunguka na sidhani kama political trips zina yield more business return kuliko business trip

Kutembelea CNN wasnt necessary because they wont promote Tanzania for free

Marais wa Kenya hawakuja Marekani mara sita kwa Mwaka kuiweka Masai Mara na utalii kwa ujumla kwenye ramani kama nambari wani tourists destination for years, na hat wakija leo hawawezi kubadili haraka perception ya watalii kuhusu safety ya kenya with Alshaababu on the ground

Tusiwe kasuku, tufanye jitihada kidogo za kujua cost/benefit ya political trips to business opportunity - angekua anajaribu kushawishi serikali ya marekani kuwekeza, then this would have a good meaning, maana misaada ya kondomu, KY-Jelly, matangazo ya michepuko yangeongezeka (unfortunately misaada inapungua)

What we need ni governance na enabling environment back home na sio political study tours kukomaza sekta zetu

Quest may come, but if it takes 12 months kukamilisha investment project moja, ujue atakua kaja kula complementary trip tu

Business men have good inteligence networks za kujua business oportunity, kuna wamarekani walikua Mtwara for the past 15 years, hawakuhitaji JK kupiga picha studio ili kuwekeza

President Kibaki came to US twice only but his tenure showed kenya progressing very well

WATANZANIA TUACHE SIASA KWENYE UWEKEZAJI NA KUUKUZA MAZINGIRA YA BIASHARA
 
Back
Top Bottom