simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,764
- 9,680
Hata BRT huitambui?
Akili ya ki ccm utaijua tu:do 9 things wrong and 1 good and use the 1 good to defend the 9 wrongs. At anyrate does BRT justify endless trips abroad?
Hata BRT huitambui?
Mwambie amfukuze kazi balozi wa Tanzania huko USA, anakula kodi zetu bure, vikazi vidogovidogo vya kufanya na balozi yeye ndo anaenda kuvifanya, anaharibu pesa yetu huyu mukulu!Heee wewe kichekesho kweli ndio nyie munaangalia TV za Kenya ili mulinganishe na Tanzania kwa ujinga wenu tu.
Hujaona kama kulikuwa na kikao na uongozi wa CNN akiwemo makamo wa rais wao na viongoz wengine.
Richard anaendesha kipindi ambacho kinalingana na hio lengo la safari ama hujui ?
Jaribu kufuatilia kiipindi cha Richard pale CCN
Safi saana.
Ni somo tosha kwa wasiojua umuhimu wa ziara za JK nje ya nchi.
Unless kama unaamini choSlow down mkuu...Kwa kikwete huyu usitarajie tofauti yoyote.....Ameenda mikutano mingapi tangu awe raisi...? amepiga picha na watu wangapi? Kuna kipi kipya sana?
Kuna baadhi ya watu wamefundishwa kumchukia Rais Kikwete kutokana na mafanikio yake.
Being a Success Means People Hate What you Do!
Wahenga walisema, tenda wema uende zako!
Jeff Zucker alikuwa busy sana mpaka akashindwa kuonana na Rais wetu. Kwa nini asimuone Ted Tunner ambaye ndio level yake kukutana na hawa anchors ni kudhalilisha ofisi ya Rais.
No one is born hating another person because of the color of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite. ― Nelson Mandela, Long Walk to Freedom
Kuna baadhi ya watu wamefundishwa kumchukia Rais Kikwete kutokana na mafanikio yake.
Being a Success Means People Hate What you Do!
Wahenga walisema, tenda wema uende zako!
Kwa watu ambao wamejaa chuki na vinyongo, Rais Kikwete alishawahi kusema wakati akiwa USA, Hatuwezi sisi kujiingiza katika shughuli ya kupoteza muda kwa kushiriki upuuzi na ujinga. Haya ni maneno ya kipuuzi yanayosemwa na watu, ambao kazi yao usiku na mchana ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu, ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania,
Na hili ndio tatizo la Watanzania na utawakuta ktk vimeza vya magazeti wanasoma vichwa vya habari tu wanaridhika.
Na kwa ujinga wako umesoma juu tu kwa uvivu wako halafu unaandika ujinga hapa soma tena hio habari!
Nikupe mfano mdogo tu! Hivi kule vijijini hata akienda mkuu wa Wilaya sii kila mahali wanafahamu kwamba Mkuu wa wilaya anakuja na kila kitu kinasimama? What abput Mkuu wa Mkoa? Now let's come back to Dar es salaam! Let me assume kwambaunaishi Ubungo! Hivi siku Waziri Maghembe akija Ubungo, ile ubungo inazizima kwamba kuna national leader amekuja? Hivi Pale Ubungo shughuli zinasimama kwamba Mecky Sadick anakuja? What if huyu Maghembe akienda mkoa?
Duuu picha nzuri sana aisee! Jamaa ana kisimet huyu.Richard Quest ni mmoja wa watangazaji mahiri sana CNN ambaye huwa mara nyingi program zake ni za Aviation zaidi na anaweza sana kuripoti.Mara nyingi namtazama usiku wa manane.
MwanaDiwani. Saa zingine napingana na wewe kiongozi. Kiongozi sio kweli kwamba wanaomchukia Kikwete ni kwa sababu ya mafanikio yake, au kwa sababu ya ukwere wake au la, ni kwa sababu ya yeye kuongoza nchi kisanii zaidi ya kiutendaje. Hvi unajua deni la taifa limefikia trilion 30?? je zote hizo zilitumika kujenga barabara kama mnavyotaka kuona ndio mafanikio ya serikali yenu?? Je Mabilioni yanayopotea Dodoma wakati hata yeye JK amekubali kuwa hatukapatikana katiba mpya kipindi hichi ni sawa?? Hivi Tembo wetu kutolewa meno kuuwawa umesahau?? je vijana wetu kubadilika kuwa punda wa madawa nayo huioni?? JE HAYA NDIO MAFANIKIO UNAYOTAKA TUMEPENDE JK??No one is born hating another person because of the color of his skin, or his background, or his religion. People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite. ― Nelson Mandela, Long Walk to Freedom
Kuna baadhi ya watu wamefundishwa kumchukia Rais Kikwete kutokana na mafanikio yake.
Being a Success Means People Hate What you Do!
Wahenga walisema, tenda wema uende zako!
Kwa watu ambao wamejaa chuki na vinyongo, Rais Kikwete alishawahi kusema wakati akiwa USA, Hatuwezi sisi kujiingiza katika shughuli ya kupoteza muda kwa kushiriki upuuzi na ujinga. Haya ni maneno ya kipuuzi yanayosemwa na watu, ambao kazi yao usiku na mchana ni kuota jinsi ya kuyumbisha ajenda yetu, ambayo imefanikiwa sana katika kubadilisha hali ya maisha ya Watanzania,
Duuu picha nzuri sana aisee! Jamaa ana kisimet huyu.Richard Quest ni mmoja wa watangazaji mahiri sana CNN ambaye huwa mara nyingi program zake ni za Aviation zaidi na anaweza sana kuripoti.Mara nyingi namtazama usiku wa manane.