Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

Rais Magufuli kila mara amesema ni afadhali kwa kiongozi kufanya maamuzi na kukosea kwa sababu makosa yatarekebishwa huko mbeleni kuliko kutokufanya maamuzi kabisa.

Rais alienda mbele zaidi na kuwaambia Wakuu wa Mikoa watumie mpaka madaraka yao ya kisheria ambayo yanawapa uwezo wa kumuweka ndani mtu yoyote.
Kusema una ghost workers zero ndio maamuzi magumu sio, we hovyo kabisa, Magu (Hon.) mbele kwa mbele, tulipokuwa tumefikia tunahitaji kasi yako
Yeye aliuza nyumba za Serikali akasema kwenye Cabinet aliuza kwa Civil Servants, ni kweli? Hakuna hewa iliyouziwa nyumba ya serikali? Angedhalilishwa hivi angekuwa Rais Leo? Tu-deal na mfumo tusideal na individual. Rais anatengeneza picha kuwa aki-assign kazi anapredict results na atataka result iwe anavyotaka, atapewa tu ripoti za kumfurahisha. Anne angepika ripoti kuwa anao hewa 20 asingefukuzwa. Kwakuwa ni ripoti inayomfurahisha bosi.
Chadema tunasema tunafumua mfumo mzima ulioruhusu hewa kuzaliwa. Kwani wakati huo hao hewa wanatengenezwa, Mkoa haukuwa na RC? RC si alikuwepo and yet hewa wakawepo? Mbona wao walimteua Mganda kuwa Mkuu NSSF? Jamani....mtu ana malaria 1 unampa Quinine?? Sio fair kabisa!
 
You will stifle creativity & innovations in governance.

So, probably Hon. Kilango deserved it. However, such summary dismissals will scare your subordinates (ministers and below) to a point of being Zombies instead being your linchpins in perfecting your governance.

Kama kuanzia mawaziri hadi vigogo wilayani watakuwa na mtera wakiogopa kisu chako cha majipu basi utawala utakuwia mgumu sana. Wasaidizi wako wataogopa kutoa maamuzi magumu (na pengine yenye hitlafu hapa na pale - i.e., not to your liking) wakichelea kuumbuliwa na bosi.

Mkuu wa ngazi ya juu akiteleza muite (au waziri wako amuite) chemba na kumpa karipio la kirafiki (faragha) halafu mtie moyo (encourage) aendelee kuthubutu makubwa zaidi.

Hii fukuza-fukuza hii utakuja jikuta uko peke yako kifikra katika awamu hii ya tano. Watanzania wengi wangependa urudi tena 2020 na nina uhakika utarudi lakini tumia diplomasia sasa katika utawala wako.

Kila mtu sasa anajua kasi yako na nidhamu yako. Najua Rais you are not diplomatic in nature but you need diplomacy (in your rule) now more than ever. Unaweza kubaki na kasi hiyohiyo ulionayo bila kudhalilisha wasaidizi wako.

Ushauri kwako kama rafiki.

Tuondolee zogo hapa na lugha za kuunga unga...!! Diplomasia ya kitoto is what get us now still in darkness, maji hakuna, huduma za afya mbofu, mahospitalini shida, kila kitu majanga...!! We dont want dat shit anymore...
Haya haya ya kucheka cheka ndiyo yametufikisha hapa....hawa wababaishaji piga chini...kuna wa Tz 50M ( fck no kuwa atabaki peke yake no way u @#$%^..) among wapo wanaoweza kutumia akili na adabu sio kudharau dharau maboss wao--mawaziri kisa eti mke sijui wa Masey Fagasoni..!!

Wafanye kazi, bila kujai waliwahi kupigwa miti na nani au wameolewa na nani...!!! Si mlishangilia kuhesabu namba....here w go now..
 
Yeye aliuza nyumba za Serikali akasema kwenye Cabinet aliuza kwa Civil Servants, ni kweli? Hakuna hewa iliyouziwa nyumba ya serikali? Angedhalilishwa hivi angekuwa Rais Leo? Tu-deal na mfumo tusideal na individual. Rais anatengeneza picha kuwa aki-assign kazi anapredict results na atataka result iwe anavyotaka, atapewa tu ripoti za kumfurahisha. Anne angepika ripoti kuwa anao hewa 20 asingefukuzwa. Kwakuwa ni ripoti inayomfurahisha bosi.
Chadema tunasema tunafumua mfumo mzima ulioruhusu hewa kuzaliwa. Kwani wakati huo hao hewa wanatengenezwa, Mkoa haukuwa na RC? RC si alikuwepo and yet hewa wakawepo? Mbona wao walimteua Mganda kuwa Mkuu NSSF? Jamani....mtu ana malaria 1 unampa Quinine?? Sio fair kabisa!
Mimi sijaanza kuingia kwenye masuala mengine ninaomba unisaidie kwenye hili suala la mfumo ambalo kwa sasa limeanza kujitokeza sana kwenye utawala la Rais Magufuli wakati kwenye utawala la Rais Kikwete tulikuwa tunaambiwa tatizo lilikuwa ni udhaifu wa Rais Kikwete na serikali yake katika kufanya maamuzi.

Ninaomba unielimishe, mfumo ni nini na unapatikana kwa namna gani.

Nani anayeleta huo mfumo, nani anayeujenga, kuusimamia na kuulinda? Siku ngapi zinachukuchua huo mfumo kupatikana na kujengwa mpaka ukaimarika?

Huu mfumo uliopo(kama upo) nani aliuleta na aliutoa wapi? Alikoutoa kwa sasa wana hatua gani?

Tueleze ni mfumo gani ambao hauna matatizo/mapungufu katika dunia hii na kama yapo, kwa nini yapo na kwa nini yasiwepo.
 
You will stifle creativity & innovations in governance.

So, probably Hon. Kilango deserved it. However, such summary dismissals will scare your subordinates (ministers and below) to a point of being Zombies instead being your linchpins in perfecting your governance.

Kama kuanzia mawaziri hadi vigogo wilayani watakuwa na mtera wakiogopa kisu chako cha majipu basi utawala utakuwia mgumu sana. Wasaidizi wako wataogopa kutoa maamuzi magumu (na pengine yenye hitlafu hapa na pale - i.e., not to your liking) wakichelea kuumbuliwa na bosi.

Mkuu wa ngazi ya juu akiteleza muite (au waziri wako amuite) chemba na kumpa karipio la kirafiki (faragha) halafu mtie moyo (encourage) aendelee kuthubutu makubwa zaidi.

Hii fukuza-fukuza hii utakuja jikuta uko peke yako kifikra katika awamu hii ya tano. Watanzania wengi wangependa urudi tena 2020 na nina uhakika utarudi lakini tumia diplomasia sasa katika utawala wako.

Kila mtu sasa anajua kasi yako na nidhamu yako. Najua Rais you are not diplomatic in nature but you need diplomacy (in your rule) now more than ever. Unaweza kubaki na kasi hiyohiyo ulionayo bila kudhalilisha wasaidizi wako.

Ushauri kwako kama rafiki.
Kiukweli Magufuli anahitaji leadership skills sasa kuliko wakati mwingine wowote.Binafsi nadhani hata hao alio watuma hawaja mpa taarifa sahihi. unaweza ukakuta wamewaita wafanyakazi hewa hata walioko masomoni na yeye Magufuli ameridhika kuwa wamempa taarifa ya kweli!ukifanyakazi na waoga hutapata ukweli.
 
Magufuli is smarter than that!. Ukimpa namba fake, wakati yeye tayari ana namba sahihi kutoka TISS; sijui utakuwa unatarajia nini?. Tatizo watu wengi hapa mnadhani jamaa anakurupuka!.
 
Diplomasia na kubembelezana ndivyo vilivyotufikisha hapa....hata kama Magufuli akibaki peke yake kuliko kuzungukwa na mijizi na mijambazi inayoangalia njia za kuwaibia wananchi na sio kuwasaidia au kuwatumikia wananchi....
 
Tuondolee zogo hapa na lugha za kuunga unga...!! Diplomasia ya kitoto is what get us now still in darkness, maji hakuna, huduma za afya mbofu, mahospitalini shida, kila kitu majanga...!! We dont want dat shit anymore...
Haya haya ya kucheka cheka ndiyo yametufikisha hapa....hawa wababaishaji piga chini...kuna wa Tz 50M ( fck no kuwa atabaki peke yake no way u @#$%^..) among wapo wanaoweza kutumia akili na adabu sio kudharau dharau maboss wao--mawaziri kisa eti mke sijui wa Masey Fagasoni..!!

Wafanye kazi, bila kujai waliwahi kupigwa miti na nani au wameolewa na nani...!!! Si mlishangilia kuhesabu namba....here w go now..

Wewe hasa ndie aliekuwa mlengwa wa bandiko langu.

Jamani jifunzeni lugha ya malkia. Hatuwezi kuwa washindani wa Kenya, Uganda, S. Africa, EU, USA, n.k., wakati ukiguswa na ung'eng'e tu basi domo linajaa zege.

Sasa najua lugha ya malkia inakupiga, hebu nieleze katika kiSwahili fasaha ni kipi hasa kilichokukwaza katika bandiko langu. - Tafadhal.
 
Yeye aliuza nyumba za Serikali akasema kwenye Cabinet aliuza kwa Civil Servants, ni kweli? Hakuna hewa iliyouziwa nyumba ya serikali? Angedhalilishwa hivi angekuwa Rais Leo? Tu-deal na mfumo tusideal na individual. Rais anatengeneza picha kuwa aki-assign kazi anapredict results na atataka result iwe anavyotaka, atapewa tu ripoti za kumfurahisha. Anne angepika ripoti kuwa anao hewa 20 asingefukuzwa. Kwakuwa ni ripoti inayomfurahisha bosi.
Chadema tunasema tunafumua mfumo mzima ulioruhusu hewa kuzaliwa. Kwani wakati huo hao hewa wanatengenezwa, Mkoa haukuwa na RC? RC si alikuwepo and yet hewa wakawepo? Mbona wao walimteua Mganda kuwa Mkuu NSSF? Jamani....mtu ana malaria 1 unampa Quinine?? Sio fair kabisa!
Mimi bado nashindwa kuzielewa akili na mawazo ya Watanzania wenzangu sijui zimeelekea upande gani....nina uhakika kabisa kuwa kama hii report ingetoka na huyu mama asingewajibishwa....watu mapovu yangewatoka kwa kisema kuwa ni utawala wa kulindana...sasa huyu mama amewajibishwa....tena watu wanalalamika kuwa kwanini amewajibishwa....kwanini asingeonywa tu na kuachwa aendelee na kazi.....
 
Mimi bado nashindwa kuzielewa akili na mawazo ya Watanzania wenzangu sijui zimeelekea upande gani....nina uhakika kabisa kuwa kama hii report ingetoka na huyu mama asingewajibishwa....watu mapovu yangewatoka kwa kisema kuwa ni utawala wa kulindana...sasa huyu mama amewajibishwa....tena watu wanalalamika kuwa kwanini amewajibishwa....kwanini asingeonywa tu na kuachwa aendelee na kazi.....
Deal na mfumo, sio individuals
 
You will stifle creativity & innovations in governance.

So, probably Hon. Kilango deserved it. However, such summary dismissals will scare your subordinates (ministers and below) to a point of being Zombies instead being your linchpins in perfecting your governance.

Kama kuanzia mawaziri hadi vigogo wilayani watakuwa na mtera wakiogopa kisu chako cha majipu basi utawala utakuwia mgumu sana. Wasaidizi wako wataogopa kutoa maamuzi magumu (na pengine yenye hitlafu hapa na pale - i.e., not to your liking) wakichelea kuumbuliwa na bosi.

Mkuu wa ngazi ya juu akiteleza muite (au waziri wako amuite) chemba na kumpa karipio la kirafiki (faragha) halafu mtie moyo (encourage) aendelee kuthubutu makubwa zaidi.

Hii fukuza-fukuza hii utakuja jikuta uko peke yako kifikra katika awamu hii ya tano. Watanzania wengi wangependa urudi tena 2020 na nina uhakika utarudi lakini tumia diplomasia sasa katika utawala wako.

Kila mtu sasa anajua kasi yako na nidhamu yako. Najua Rais you are not diplomatic in nature but you need diplomacy (in your rule) now more than ever. Unaweza kubaki na kasi hiyohiyo ulionayo bila kudhalilisha wasaidizi wako.

Ushauri kwako kama rafiki.
Mkuu Kifyatu mimi nimekuelewa na najua kuwa una nia njema kabisa na raisi wetu katika utendaji wake....
Ninapopingana na wewe ni aina ya watumishi wa serikali ambao wewe unapendekeza itumike demokrasia na diplomasia katika kuwasimamia......kwanza tu nikuambia kuwa nina uhakika kuwa watumishi wengi hawaamini kama hivyo ambavyo wewe unaamini wapo hivyo....watumishi wengi kwenye bongo zao wanachowaza ni kukwiba tu na sio kuwatumika wananchi....na hawana hata chembe ya uzalendo kwani maslahi ya matumbo yao ndio yamewekwa mbele kuliko hata maslahi ya taifa....
Watumishi hawa na diplomasia hiyo unayoizungumzia wewe tuliiona wakati wa JK na kila mtu atakuwa shahidi kwa jinsi mambo yalivyokwenda kombo kwani kila idara baada ya kuwajibishana na kutumia diplomasia na tukaushuhudia uozo wenye kutoa harufu kali kwenye serikali ya JK.....
Diplomasia, demokrasia na majadiliano yanakuwa na manufaa ikiwa wote mna mindset moja ya kulijenga taifa lakini sio mmoja kutumia diplomasia kama ujinga na nyenzo ya yeye kurndelea kuwa katika nafasi ya uongozi na kuendelea kulitia hasara taifa......

Heshima kwako......
 
Wapo wengi tu wenye uthubutu kama kipenz kipya cha watu wanaosubiri nafasi...wengi sana, hivyo wasioweza wakae pembeni. Hajafanya uonevu hata kidogo.
 
Mimi bado nashindwa kuzielewa akili na mawazo ya Watanzania wenzangu sijui zimeelekea upande gani....nina uhakika kabisa kuwa kama hii report ingetoka na huyu mama asingewajibishwa....watu mapovu yangewatoka kwa kisema kuwa ni utawala wa kulindana...sasa huyu mama amewajibishwa....tena watu wanalalamika kuwa kwanini amewajibishwa....kwanini asingeonywa tu na kuachwa aendelee na kazi.....

Mkuu, mama Kilango aliteuliwa na Mh. Magufuli less than a month ago. Hivi alichoteleza huyu mama ndicho kinachopelekea kumdhalilisha BAYANA?

Ukiniuliza mimi Kilango asingekuwa chaguo langu la mkuu wa mkoa. Lakini baada ya Rais kumteua (less than a month ago) hivi ni stahiki kumpiga dafrau ki hivi?
 
Mkuu, mama Kilango aliteuliwa na Mh. Magufuli less than a month ago. Hivi alichoteleza huyu mama ndicho kinachopelekea kumdhalilisha BAYANA?

Ukiniuliza mimi Kilango asingekuwa chaguo langu la mkuu wa mkoa. Lakini baada ya Rais kumteua (less than a month ago) hivi ni stahiki kumpiga dafrau ki hivi?
Kama amekwenda kinyume na alichotakiwa afanye na Boss wake basi anastahili....
 
Kama kweli Magu anataka kujenga Nchi lazima aanze kujenga msingi vinginevyo kazi ya kupamba nyumba wakati msingi ni mbovu ni kazi bure hiyo nyumba lazima itaanguka tu. Kwa hiyo kila siku utakuwa unaanza upya, na Magu kafumba macho hataki kuanza na msingi na msingi ni katiba ya wananchi.
 
Mkuu Kifyatu mimi nimekuelewa na najua kuwa una nia njema kabisa na raisi wetu katika utendaji wake....
Ninapopingana na wewe ni aina ya watumishi wa serikali ambao wewe unapendekeza itumike demokrasia na diplomasia katika kuwasimamia......kwanza tu nikuambia kuwa nina uhakika kuwa watumishi wengi hawaamini kama hivyo ambavyo wewe unaamini wapo hivyo....watumishi wengi kwenye bongo zao wanachowaza ni kukwiba tu na sio kuwatumika wananchi....na hawana hata chembe ya uzalendo kwani maslahi ya matumbo yao ndio yamewekwa mbele kuliko hata maslahi ya taifa....
Watumishi hawa na diplomasia hiyo unayoizungumzia wewe tuliiona wakati wa JK na kila mtu atakuwa shahidi kwa jinsi mambo yalivyokwenda kombo kwani kila idara baada ya kuwajibishana na kutumia diplomasia na tukaushuhudia uozo wenye kutoa harufu kali kwenye serikali ya JK.....
Diplomasia, demokrasia na majadiliano yanakuwa na manufaa ikiwa wote mna mindset moja ya kulijenga taifa lakini sio mmoja kutumia diplomasia kama ujinga na nyenzo ya yeye kurndelea kuwa katika nafasi ya uongozi na kuendelea kulitia hasara taifa......

Heshima kwako......

Asante mkuu kwa hoja zako murua. Napenda sana mtu anaekushamiri (engage) kifikra. Inaonesha anakuheshimu.

Sasa katika utawala, kama umerithi timu ya bosi wa zamani basi unaweza kuwatimua watu unavyopenda.

Lakini unapoanza kujenga timu yako mpya hii ina maana unawatathmini vizuri unaowaleta kama wanafaa. Hapa ni muhimu kujenga uaminifu (loyalty). Kama mtu uliemleta hajafanya kosa la kuiporomosha timu yako basi timu nzima inapaswa kujua kuwa bosi atakuwa pamoja nao katika majaribu madogo madogo.

Kusipokuwa na hii team-loyalty, aghalabu timu husambaratika. Hiki ndio ninachojaribu kumuasa raisi.
 
You will stifle creativity & innovations in governance.

So, probably Hon. Kilango deserved it. However, such summary dismissals will scare your subordinates (ministers and below) to a point of being Zombies instead being your linchpins in perfecting your governance.

Kama kuanzia mawaziri hadi vigogo wilayani watakuwa na mtera wakiogopa kisu chako cha majipu basi utawala utakuwia mgumu sana. Wasaidizi wako wataogopa kutoa maamuzi magumu (na pengine yenye hitlafu hapa na pale - i.e., not to your liking) wakichelea kuumbuliwa na bosi.

Mkuu wa ngazi ya juu akiteleza muite (au waziri wako amuite) chemba na kumpa karipio la kirafiki (faragha) halafu mtie moyo (encourage) aendelee kuthubutu makubwa zaidi.

Hii fukuza-fukuza hii utakuja jikuta uko peke yako kifikra katika awamu hii ya tano. Watanzania wengi wangependa urudi tena 2020 na nina uhakika utarudi lakini tumia diplomasia sasa katika utawala wako.

Kila mtu sasa anajua kasi yako na nidhamu yako. Najua Rais you are not diplomatic in nature but you need diplomacy (in your rule) now more than ever. Unaweza kubaki na kasi hiyohiyo ulionayo bila kudhalilisha wasaidizi wako.

Ushauri kwako kama rafiki.

Sikubaliani na mleta post hata kidogo, kwamba kitendo hiki kitaenda kuua creativity and innovation za subordinates wa JPM.
Wewe ulitaka Mtu akionyesha creativity and innovation ktk kudanganya na kukwepa majukumu avumiliwe....!!??? Kwamba viongozi wetu watashindwa kufanya au kutoa maamuzi magumu na muhimu kwa kuogopa kutumbuliwa.....
Naomba nikukumbushe kiongozi mmoja tu aliyefanya maamuzi yenye kuonyesha creativity and innovation na akasapotiwa.

RC MAKONDA, kaagiza wenye silaha wote wahakikiwe, JPM alikuwa wa kwanza kuhakiki silaha yake kutii agizo la RC.Natafsiri kitendo kile kama Ku- promote creativity and innovation. Baadhi walitafsiri kama SHOW OFFS.
Wewe ulitaka avumilie kiongozi Muongo na asiyetimiza wajibu wake, amwite amsihi, ambembeleze, then what!!!???...Hayo ndiyo aliyofanya Mkwere tukafika haha tulipo fika. Kitendo hiki kinaujumbe mzito, ujumbe sahihi kama ule aliotuma kipindi alipotoka kukaguliwa Silaha.
 
Sioni kama diplomacy inahitajika kipindi hiki. The President knows what he is doing. Siamini kama kweli wewe uko Tanzania au unategemea media kupata taarifa ya yanayojiri nchini. Hii diplomacy ndiyo imetufikisha hapa tulipo mkuu. Watanzania tumechoka, kuleana huku na kuoneana aibu ndo kumetufikisha hapa. Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Idara na hata Wakuu wa Taasisi za serikali wao waligeuka kuwa wapigaji tu na Miungu watu. Walikuwa wakifanya madudu wanajua hawaguswi. Baadhi ya makatibu wakuu walikuwa wanadiriki kutoa maagizo kwa taasisi zilizo chini ya wizara yao ili budgets zao zipitishwe na Wizara lazima wafanye maarifa ya kumpa kitu kidogo Katibu Mkuu. Makati wakuu wengine wakawa wanakata OC za taasisi zao na pesa hizo wanachukuwa wao.
Ili kukomesha hali kama hiyo Mh.Rais lazima afanye hivyo ili hawa wasaidizi wake wawe na discipline. Mambo ya kubembelezana hayapo kwa kipindi hiki. Mbona Tanzania ina wasomi wengi tu na wazalendo!! siamini kuwa Mh. Rais atakosa watu wa kufanya naye kazi kama akiwatimua hawa waliozoea kufanyakazi kwa mazoea.
Hao wasomi ndio mazingira haya yatawafaa? Au ukiwa msomi hudanganywi? Teh teh teh.
 
Unadhani hiki hakijengi mandhari (environment) ya woga kwa watu wa karibu na rais?
Mimi nadhani hiki kitafanya kuwa chachu ya watumishi wa serikali na idara mbali mbali kutimiza wajibu wao kama inavyotakikana...kwa kuwa sababu kubwa ya kuondolewa kwakw ni kushindwa kutimiza wajibu wake kulingana na maagizo aliyopewa....(likiwamo hilo la kuwafichua watumishi hewa kwenye mkoa wake)
 
Back
Top Bottom