Premier League UK

Kwa maoni yangu nafikiri SAF amepitwa na muda, alikuwa aachie ngazi last season wakati bado yupo kileleni. Ameshashinda kombe la ulaya na premier bado anataka nini? Baada ya mafanikio ya mwaka jana itakuwa vigumu kurudia ama kuzidi mafanikio hayo ambapo kisaikolojia itaiathiri Man United msimu huu, makosa kama hayo ndio yalifanywa na Del Bosque (Real Madrid) au Rijkaard (Barcelona) walitakiwa waachie ngazi mapema,wamuachie kocha mpya new challenge.
Mwaka 99 waliposhinda Treble, Fergie alikuwa nae Queiroz na aliachia ngazi matokeo yake walishinda Premiership tu msimu uliofuatia, na ukizingatia kiwango cha Liverpool na Chelsea bila kuisahau Arsenal na bila Queiroz, nahisi msimu huu utakuwa mgumu sana kwa ManU, sio kwenye PL bali hata CL.


Resigning is not solution, as much as you can deliver trophies why resign, anyway on top of that Manutd na Madrid wako na policy mbili tofauti juu ya ya makocha, inhali hawa wana MENEJA wa timu hawa wengine wana KOCHA.

Kabla ya ku resign SAF lazima ajue atampa nani mikoba ya ukocha, kisingi kwa klabu kubwa kama MANUTD you can not mpa ukocha just a 'tommy/jerry", nevertheless kama unachunguza vizuri kauli za SAF yuko kutayarisha kikosi cha mrithi wake na very soon ata-retire!
 
Kwa maoni yangu nafikiri SAF amepitwa na muda, alikuwa aachie ngazi last season wakati bado yupo kileleni. Ameshashinda kombe la ulaya na premier bado anataka nini? Baada ya mafanikio ya mwaka jana itakuwa vigumu kurudia ama kuzidi mafanikio hayo ambapo kisaikolojia itaiathiri Man United msimu huu, makosa kama hayo ndio yalifanywa na Del Bosque (Real Madrid) au Rijkaard (Barcelona) walitakiwa waachie ngazi mapema,wamuachie kocha mpya new challenge.
Mwaka 99 waliposhinda Treble, Fergie alikuwa nae Queiroz na aliachia ngazi matokeo yake walishinda Premiership tu msimu uliofuatia, na ukizingatia kiwango cha Liverpool na Chelsea bila kuisahau Arsenal na bila Queiroz, nahisi msimu huu utakuwa mgumu sana kwa ManU, sio kwenye PL bali hata CL.

Amepitwa na muda???????????,sikubaliani na wewe hata kidogo maana(kwa maoni yangu),SAF ni still the best manager katika Barclay Premier League kushinda kombe la ulaya na premier league si sababu ya yeye kustaafu,mzee anataka vikombe/mafanikio zaidi,,,kama ni kustaafu kwa kisingizio cha mafanikio angestaafu tangu 1999 alipochukua vikombe vitatu(03)....Babu bado ana nguvu Mtani wangu
 
Kwa maoni yangu nafikiri SAF amepitwa na muda, alikuwa aachie ngazi last season wakati bado yupo kileleni. Ameshashinda kombe la ulaya na premier bado anataka nini? Baada ya mafanikio ya mwaka jana itakuwa vigumu kurudia ama kuzidi mafanikio hayo ambapo kisaikolojia itaiathiri Man United msimu huu, makosa kama hayo ndio yalifanywa na Del Bosque (Real Madrid) au Rijkaard (Barcelona) walitakiwa waachie ngazi mapema,wamuachie kocha mpya new challenge.
Mwaka 99 waliposhinda Treble, Fergie alikuwa nae Queiroz na aliachia ngazi matokeo yake walishinda Premiership tu msimu uliofuatia, na ukizingatia kiwango cha Liverpool na Chelsea bila kuisahau Arsenal na bila Queiroz, nahisi msimu huu utakuwa mgumu sana kwa ManU, sio kwenye PL bali hata CL.

What...!!!! Bro I don't know what you ******* on but it is not doing you good(Psyche)

Yani kocha aliyetoka kushinda vikombe viwili miezi michache iliyopita unasema amepitwa na wakati duh inaonekana tumepoteza barometer yetu ya kuangalia mafanikio.....

**Carlos Queiroz alikuwa kocha wa UAE kati ya 1998-1999.
Ameenda Man U season ya 2002-03 baada ya McClaren kuondoka 2001.

 
Last edited by a moderator:
Icadon , Msimu uliopita Chelsea waliwa challenge kotekote kwenye CL na PL, na kama sio misukosuko walopata Chelsea mwanzoni mwa season (kubadili kocha) basi kuna hatari mungemaliza msimu mikono mitupu! Binafsi nampongeza Sir Alex kwa mafanikio yake katika miaka 20 lakini umri umetangulia miaka 67 ikifika Desemba! Ingekuwa busara kuachia ngazi akiwa bado kileleni, narudia SIO RAHISI kwa Man United kushinda makombe yote haya mawili season hii, nadhani Chelsea wako strong zaidi mwaka huu na nawatabiria kushinda premier league, na tofauti na wengi wanavodhania Arsenal watawa-challenge Chelsea na United all the way!!!
 
Usijali Kweli....looks like Roy Keane anaandaliwa makao, huoni signings za Babu?, its look like kama anamwandalia mtu flani soft landing!
Huenda umemchoka na staili zake za Big G, ila lets give him a respect tu, i the coming two seasons huenda akaondoka..lets wait and see!
 
Southgate and Deco clinch awards

Chelsea star Deco and Middlesbrough boss Gareth Southgate have been named the Premier League's player and manager of the month for August respectively.

bbc sports.
 
manda, Icadon, Mkandara, Masatu.......
........namna gani naona combination ya Alonso na Mu-argentina pale kati ilikuwa balaa leo......jamaa wanakaba kama nyuki........mambo leo yalikuwa mazito ile mbaya......mkuu wa wilaya ya nanihii leo atawakaribisha futari (joke)

....halafu vidic ataikosa mechi ya Chelsea.......tena mnaenda kuchezea darajani........yaaani ni balaa
 
manda, Icadon, Mkandara, Masatu.......
........namna gani naona combination ya Alonso na Mu-argentina pale kati ilikuwa balaa leo......jamaa wanakaba kama nyuki........mambo leo yalikuwa mazito ile mbaya......mkuu wa wilaya ya nanihii leo atawakaribisha futari (joke)

....halafu vidic ataikosa mechi ya Chelsea.......tena mnaenda kuchezea darajani........yaaani ni balaa

tunaweza kushinda, tunakikosi imara hata bila Vidic, nafasi yake itachukuliwa na Owen. Tatizo letu ni hao wafungaji tu may be Roone atakuwa fresh. Mtangulie tu, tutawakuta na kuwaacha na kukbeba kikombe chetu.
 
....halafu vidic ataikosa mechi ya Chelsea.......tena mnaenda kuchezea darajani........yaaani ni balaa

Good news kwa mashabiki wa Manure ni kwamba Terry naye kala red leo kwa hiyo ataikosa hiyo big game next weekend.
 
Good news kwa mashabiki wa Manure ni kwamba Terry naye kala red leo kwa hiyo ataikosa hiyo big game next weekend.

Bado Chelsea wana timu nzuri ambayo inaweza kushinda hata kama watamkosa Terry. MANU wakipigwa bao tena basi utetezi wao wa ubingwa utakuwa umeingia dosari kubwa sana.
 
Kadi alopewa Terry ya kimazabe huenda akawa rescinded kama jamaa wataa appeal noma kweli. Van de Sar katukhanis leo na babu Fergie nae is too old now aagh! naenda kulala ubwege mtupu.....
 
sport_carousel_one_557237a.jpg

Man City 1-3 Chelsea​

_45015491_lampscresd226.jpg


Frank Lampard celebrates his strike for Chelsea

obinho marked his Manchester City debut with a goal - but Chelsea spoiled the party with an impressive win to stay top of the Premier League.

The £32.5m Brazilian put City ahead with a 20-yard free-kick after 13 minutes, but Ricardo Carvalho levelled for Chelsea three minutes later.

Frank Lampard's superb strike put Chelsea ahead after 53 minutes and Nicolas Anelka slid in a third.

Chelsea's only disappointment was a red card for John Terry for a foul on Jo.

Luiz Felipe Scolari's side demonstrated exactly what Robinho might have missed out on by snubbing Chelsea for City, showing that they are in a different class to a side still under reconstruction by boss Mark Hughes.

But the sending off of Terry cast a real cloud over the win, ruling him out of next Sunday's game with Manchester United at Stamford Bridge.

Robinho was swift to demonstrate why he was at the centre of a bidding war between these two clubs when he gave City an early lead.

City were awarded a free-kick when Carvalho clipped Jo, and Robinho sent Eastlands wild with a clipped free-kick from 20 yards that beat Petr Cech via a deflection off Jon Obi Mikel.

Chelsea's response was emphatic as they drew level inside three minutes to silence the City celebrations.

Lampard's corner was met by Terry's header, and when a rebound off Joe Cole fell kindly for Carvalho, he lashed an unstoppable finish past Joe Hart.

Chelsea were then in the ascendancy, with Florent Malouda heading Joe Cole's cross against the bar and Hart saving well from Anelka after a dreadful clearance from Pablo Zabaleta.

City had moments of their own, with striker Jo seeing a shot deflected wide and Stephen Ireland shooting just over - but Chelsea were looking very impressive.

It was no surprise when they took the lead after 53 minutes as the outstanding Lampard capped a wonderful flowing move with a left-foot finish that flew low beyond Hart into the bottom corrner.

Carvalho - a goal hero at one end - then made a brilliant tackle to stop Ireland before Anelka effectively wrapped up with win after 69 minutes.

Joe Cole showed great guile to slide in a perfect pass behind City's defence and Anelka swooped to slip a cool finish beyond Hart.

Chelsea's smooth progress towards victory was interrupted when Terry received the first straight red card of his career with 13 minutes left.

He was guilty of a cynical foul on Jo, but the City striker still had a long way to go to goal and Carvalho was in close attendance, making it a contentious call by referee Mark Halsey.

City showed plenty of spirit, but it was Chelsea who had the class and fully deserved the victory.

Man City: Hart, Zabaleta, Richards, Dunne, Michael Ball (Sturridge 84), Wright-Phillips, Hamann (Gelson 61), Kompany, Ireland, Robinho, Jo.
Subs Not Used: Schmeichel, Elano, Garrido, Evans, Ben-Haim.

Goals: Robinho 13.

Chelsea: Cech, Bosingwa, Terry, Carvalho, Ashley Cole, Obi, Lampard, Deco, Joe Cole (Belletti 70), Anelka (Alex 79), Malouda (Drogba 70).
Subs Not Used: Hilario, Ivanovic, Bridge, Kalou.

Sent Off: Terry (77).

Booked: Obi.

Goals: Carvalho 16, Lampard 53, Anelka 69.

Att: 47,331

Ref: Mark Halsey (Lancashire).

BBC Sport Player Rater man of the match: Chelsea's Ricardo Carvalho 7.43 (on 90 minutes).


BBC SPORT | Football | Premier League | Man City 1-3 Chelsea
 
Hamza Kalala aliimba....'ngoma ya watoto kuwa haikeshi...'....achilia mbali kuwa nyimbo zao kufanana, toka Rukwa hadi Tanga!!

Its not over till its over!....Lets give crdt to Liverpool, they did their best na i guess leo ni 'public holiday' jijiji Liverpool...unajua since 2001 hawajawai kutufunga kwenye Ligi?

Unless otherwise we give two goals very cheaply, no doubt about that, katika last two visit Anfield, mechi ya jana at least we possess tha ball, lakini matokeo yakawa viceversa..!

Ab-Tchaz hongereni...we are coming to Roll you outttttttttttttt!
 
Hamza Kalala aliimba....'ngoma ya watoto kuwa haikeshi...'....achilia mbali kuwa nyimbo zao kufanana, toka Rukwa hadi Tanga!!

Its not over till its over!....Lets give crdt to Liverpool, they did their best na i guess leo ni 'public holiday' jijiji Liverpool...unajua since 2001 hawajawai kutufunga kwenye Ligi?

Unless otherwise we give two goals very cheaply, no doubt about that, katika last two visit Anfield, mechi ya jana at least we possess tha ball, lakini matokeo yakawa viceversa..!

Ab-Tchaz hongereni...we are coming to Roll you outttttttttttttt!

Hio rolling out naswi pia tunaisubiri babuu.Kumbuka kandada upepo mjomba!!
 
Babu SAF anaona boti linazama haraka sana na ameamua kumrudisha Ronaldo mapema mno kabla ya muda wake. If Ronaldo's recovery is not 100% then this decision can be very costly

Ronaldo set to make early return

Uefa Champions League, Group E - Man Utd v Villarreal
Venue: Old Trafford Date: Wednesday, 17 September Kick-off: 1945 BST Coverage:
BBC Sports News
--------------------------------------------------------------------------------

Winger Cristiano Ronaldo is expected to make an early return from injury for Manchester United's opening Champions League match against Villarreal.

Ronaldo, sidelined for two months after undergoing an ankle operation in July, was expected to be out until October.

But manager Sir Alex Ferguson said Ronaldo could feature on Wednesday, as well as against Chelsea next weekend.

"He's been making great strides in the direction towards first-team football," said the United boss.

Ferguson added: "Ronaldo is training now, he's with the first team and he's aiming to be a substitute at Chelsea on 21 September. He's come on leaps and bounds.

"I think we mentioned a couple of weeks ago he was making rapid progress in terms of overcoming the injury problem he had and the training he's been doing with the physios and Tony Strudwick the fitness coach."

606: DEBATE
I cannot wait until the greatest player on earth pulls the famous red jersy back on on wednesday! We've missed him a lot so far this season

Gareth89
United will be without midfielder Michael Carrick, who injured his right ankle midway through the first half of Saturday's 2-1 defeat by Liverpool, for the start of their European Cup defence.

Ferguson later revealed that an X-ray revealed no break, and the injury is not as bad as first feared, but was enough to rule him out of Wednesday's game.

The 28-year-old England international is also expected to miss the Premier League clash against Chelsea at Stamford Bridge, as is Nemanja Vidic after the defender was sent off at Anfield.
 
Back
Top Bottom